Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


utitiri wa bodaboda jijini Hanoi, Vietnam, na nidhamu ya waendeshaji wake...


Kwa taswira zaidi za bodaboda jijini Hanoi, Vietnam, BOFYA HAPA

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

cheki songombingo la bodaboda mjini hanoi, vietnam

Wingi wa pikipiki na baiskeli katika mji Mkuu wa Vietnam, Hanoi, ni balaa. Yeyote aliyewahi kutembelea mji huo mkongwe anakiri kwamba songombingo la pikipiki na baiskeli si la kawaida, hasa ikiwa unatembea kwa miguu. Takwimu rasmi zinasema kulikuwa na pikipiki milioni 4 mwaka 1996 katika Vietnam yote. Leo idadi hiyo ipo mjini Hanoi peke yake, ambapo inaaminika kuna jumla ya pikipiki milioni 39 nchi nzima, ikimaanisha kwamba, ukiondoa wazee sana, na watoto, karibu kila M-Vietnam ana...

 

10 years ago

Michuzi

President Kikwete in Hanoi,Vietnam today

President Dr Jakaya Mrisho Kikwete lies a wreath at the Mausoleum of the First President Ho Chi Minh in Hanoi on his last leg of his two-day official visit to Vietnam today October 28, 2014.President Dr Jakaya Mrisho Kikwete visits the Hung Fen Food Stuff Corporation at Trung Son in Hanoi on his last leg of his two-day official visit to Vietnam today October 28, 2014. President Dr Jakaya Mrisho Kikwete in a souvenir photo with workers of the Garment 10 Corporation textile mill he visited...

 

9 years ago

Mwananchi

Kocha Pluijm ataka nidhamu kwa nyota wake Yanga

Mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Bara, Yanga wanacheza na Mbeya City leo kwenye Uwanja wa Sokoine, lakini kocha wao mkuu, Hans Pluijm amewaambia vijana wake ili mchezo huo uwe na manufaa kwao, waache na utovu wa nidhamu, wasiwaige wapinzani wao.

 

10 years ago

Michuzi

BALOZI WA VIETNAM AMTEMBELEA WAZIRI MIGIRO OFISINI KWAKE JIJINI DAR LEO

Waziri wa Katiba na Sheria Dkt. Asha-Rose Migiro akiongea na Balozi wa Vietnam nchini Bw. Vothanh Nam wakati Balozi huyo alipomtembelea Waziri ofisini kwake jijini Dar es Salaam leo (Alhamisi, Januari 22, 2015). Waziri wa Katiba na Sheria Dkt. Asha-Rose Migiro na Balozi wa Vietnam nchini Bw. Vothanh Nam wakiwa ofisini kwa Waziri jijini Dar es Salaam leo (Alhamisi, Januari 22, 2015). Balozi Nam alimtembelea Waziri Migiro ili kubadilishana mawazo. Waziri wa Katiba na Sheria Dkt. Asha-Rose...

 

11 years ago

Michuzi

KINANA AKUTANA NA WAENDESHA BODABODA JIJINI MBEYA LEO

1 Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akisalimiana na Inspekta Isack Lema Mlezi wa Bodaboda Mkoa wa Mbeya kwa upande wa jeshi la Polisi wakati alipowasili kwenye ukumbi wa Mtenda uliopo Soweto mjini Mbeya kwa ajili ya kuzungumza na waendesha Bodaboda wa mjini Mbeya, ambapo wamemweleza matatizo mbalimbali wanayokumbana nayo na jinsi wanavyoshirikiana na jeshi la polisi na polisi jamii katika kulinda usalama wa wananchi, wao wenyewe na mali kwa ujumla, Chanagamoto...

 

10 years ago

Michuzi

MADEREVA WA BODABODA NA BAJAJI JIJINI MBEYA WAZUA TAFRAN MCHANA WA LEO

 Madereva wa bajaji jijini Mbeya, Mapema wameandamana kuanzia eneo la Mafiati kuelekea Mwanjelwa huku wakichoma moto mataili ya gari kwenye baarabara kuu Tunduma katika makutano ya eneo hilo, kwa madai ya kwamba wanahitaji wapewe ruhusa ya kutembea na kuruhusiwa kupita barabara kuu na kupunguziwa mapato ya ushuru wa bajaji hizo, hali ya usalama ilitetereka kidogo mjini hapa, hadi pale  jeshi la polisi lilipofika  kutuliza gasia kwa kupiga mabomu ya machozi kukabili hali hiyo.picha zote...

 

10 years ago

Dewji Blog

Kampuni ya Simu za Mkononi Tigo yawawezesha waendesha BodaBoda Jijini Mwanza

mkurugenzi wa tigo (1)

Mkurugenzi wa Tigo kanda ya ziwa Ally Maswanya akizungumza na waendesha bodaboda mkoani Mwanza juzi wakati wa mafunzo ya kuwajengea uwezo na mpango wa Tigo kuwapa lita moja ya mafuta bure waongezapo lita tatu au zaidi na kulipia kupitia Tigo Pesa.

RTO (1)

Mkurugenzi wa Tigo kanda ya ziwa Ally Maswanya akizungumza na waendesha bodaboda mkoani Mwanza, wakati wa mafunzo ya kuwajengea uwezo madereva wa Bodaboda na mpango wa Tigo kuwapa lita moja ya mafuta bure waongezapo lita tatu au zaidi kulipia...

 

10 years ago

AllAfrica.Com

Globe Turns Attention to SDGs As 132nd IPU Assembly Closes Curtains in Hanoi


IPPmedia
Globe Turns Attention to SDGs As 132nd IPU Assembly Closes Curtains in Hanoi
AllAfrica.com
Arusha, Tanzania — The curtain has closed on the 132nd Inter-Parliamentary Union Assembly and related meetings in Hanoi, the Socialist Republic of Vietnam with a sustained call on legislators to take more ownership on the implementation of Sustainable ...
IPU members commend Tanzania's ParliamentIPPmedia
IPU hails Parliament of Tanzania, UN relationsDaily News

all 5

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani