Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


CHELSEA WAPIGWA NA LIVERPOOL BAO 3-1

Wachezaji wa timu ya Liverpool wakimpongeza Philippe Coutinho (katikati) baada ya kufunga bao la kusawazisha dakika  45 kipindi cha kwanza katika Uwanja wa Stamford Bridge. Kocha wa Liverpool, Jurgen Klopp  akishangilia. Wachezaji wa Chelsea wakimpongeza kiungo,…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Wajasiriamali wacheza bao wapigwa jeki

MWENYEKITI wa CCM Mkoa wa Iringa, Jesca Msambatavangu amekichangia Sh 500,000 kikundi cha wajasiriamali wa Mlandege mjini Iringa kinachoundwa na wacheza bao 154.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wabaguzi wa Chelsea wapigwa marufuku

Mashabiki wanne wa kilabu ya Chelsea walioshtumiwa kwa kukataa kumrusu mtu mmoja mweusi kuingia katika treni ya Paris Metro wamepigwa marufuku kuhudhuria mechi mechi za soka kwa takriban miaka mitano.

 

10 years ago

GPL

CHELSEA YAFUNGWA NA NEWCASTLE BAO 2- 1

Mshambuliaji wa timu ya Newcastle, Pappis Cisse akishangilia baada ya kufunga bao la kwanza dakika ya 57 kipindi cha pili dhidi ya Chelsea katika  Uwanja wa St James' Park. Pappis Cisse (kushoto) akifungia bao la pili  timu yake ya Newcastle dakika ya 79.…

 

9 years ago

GPL

CHELSEA YASHINDA DHIDI YA ARSENAL BAO 2- 0

Mchezaji wa Chelsea, Kurt Zouma akifunga bao la kwanza dakika ya 53 kipindi cha kwanza dhidi ya Arsenal katika Uwanja wa Uwanja wa Stamford Bridge, London. Chelsea wameshinda bao 2-0 dhidi ya Arsenal. ...Wachezaji wa Chelsea…

 

10 years ago

GPL

CHELSEA IMETWAA UBINGWA WA CAPITAL ONE CUP KWA KUIFUNGA TOTTENHAM BAO 2- 0

Kikosi cha timu ya Chelsea kikiongozwa na Kocha wao, Jose Mourinho baada ya kutangazwa mabingwa wa Kombe la Ligi, maarufu kama Capital One Cup 2014/15 usiku wa leo Uwanja wa Wembley kufuatia ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Tottenham. Kaptani wa Chelsea, John Terry (katikati) akinyanyua Kombe akiwa na wachezaji…

 

10 years ago

Vijimambo

HAKUNA WA KUIZUIA CHELSEA KUTWAA UBINGWA, LEICESTER YACHEZEA KICHAPO CHA BAO 3-1

Mpira uliopigwa na mshambuliaji wa Leicester ( katikati ) Marc Albrighton ukimpita mlinda mlango wa Chelsea Petr Cech ( kushoto ) na beki wake Gary Cahill na kujaa wavuni kuiandikia Leicester bao la kuongoza. Mshambuliaji nguli wa Chelsea, Didier Drogba akipiga mpira uliokwenda moja kwa moja nyavuni na ukisawazishia timu yake katika dakika ya 48 muda mfupi tu baada ya kipindi cha pili kuanza.Wachezaji wa Chelsea wakiwasalimia mashabiki wao baada kumalizika kwa mchezo wao dhidi ya Leicester...

 

11 years ago

BBC

Liverpool 0-2 Chelsea

Senegal's Demba Ba scores as Chelsea dent Liverpool's title dreams and keep their own Premier League hopes alive.

 

11 years ago

BBC

Chelsea 2-1 Liverpool

Cameroon striker Samuel Eto'o scores the winner as Chelsea come from behind to beat Liverpool 2-1.

 

11 years ago

Mwananchi

Liverpool yaipumulia Chelsea

Liverpool imepanda mpaka nafasi ya pili katika msimamo wa Ligi Kuu ya England baada ya kuichapa Southampton mabao 3-0 juzi kwenye Uwanja wa St Marys ukiwa ni ushindi wa kwanza wa Liverpool kwenye uwanja huo tangu 2003.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani