Liverpool yaipumulia Chelsea
Liverpool imepanda mpaka nafasi ya pili katika msimamo wa Ligi Kuu ya England baada ya kuichapa Southampton mabao 3-0 juzi kwenye Uwanja wa St Marys ukiwa ni ushindi wa kwanza wa Liverpool kwenye uwanja huo tangu 2003.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBC![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/71991000/jpg/_71991549_71990037.jpg)
Chelsea 2-1 Liverpool
Cameroon striker Samuel Eto'o scores the winner as Chelsea come from behind to beat Liverpool 2-1.
11 years ago
BBC![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/74474000/jpg/_74474301_74474146.jpg)
Liverpool 0-2 Chelsea
Senegal's Demba Ba scores as Chelsea dent Liverpool's title dreams and keep their own Premier League hopes alive.
10 years ago
BBCSwahili08 Nov
Chelsea yaisambaratisha Liverpool 2 - 1
Chelsea imendeleza ubabe wake baada ya kuifunga Liverpool mbele ya mashabiki wao 2 - 1 katika mechi iliyochezwa jumamosi
11 years ago
BBCSwahili27 Apr
Chelsea yaiadhibu Liverpool 2-0
Chelsea wamewanyamazisha vinara wa ligi kuu ya England, Liverpool kwa kuwacharaza 2-0
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ZF50gJ1IzcWBaN6XuRacdNCy8iNqUUIpdyEakOY3hpkkN8htRylFq-SgaQjxHMyAEYvkQO-XBxFt72FRYeZUEGf4vjOhCRb6/etoo.jpg)
CHELSEA YAIPIGA LIVERPOOL 2-1
Wachezaji wa Chelsea wakishangilia bao lililofungwa na Samuel Eto'o dhidi ya Liverpool leo. Chelsea imeibuka na ushindi wa bao 2-1 dhidi ya Liverpool katika mechi ya Ligi Kuu ya England iliyopigwa Uwanja wa Stamford Bridge!
9 years ago
BBCSwahili30 Aug
Liverpool, Chelsea zafungwa nyumbani
Liverpool na Chelsea zimeadhibiwa baada ya kupokea vichapo kutoka kwa wapinzani wao.
11 years ago
BBCSwahili27 Apr
Liverpool, Chelsea hapatoshi England
Vinara wa ligi kuu ya England Liverpool na Chelsea zinapambana kuwania ushindi
10 years ago
Mwananchi19 Dec
Liverpool yatupwa kwa Chelsea
Liverpool itakutana na Chelsea katika nusu fainali ya Kombe la Ligi baada ya Raheem Sterling kufunga mabao mawili katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Bournemouth juzi, wakati Tottenham ikishinda kirahisi 4-0 mbele ya Newcastle.
10 years ago
BBCSwahili18 Dec
Ni Liverpool na Chelsea Capital Cup
Liverpool wameibuka na ushindi wa goli 3-1 dhidi ya Bournemouth katika michuano ya kombe la Capital Cup.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania