China remembers Salim 43 years on
China, so the story goes, never forgets its allies along the many decades of the country’s rich and prosperous history.
TheCitizen
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo30 Jun
Dk. Salim kufundisha China
SERIKALI ya Jamhuri ya Watu wa China, imemualika aliyekuwa Katibu Mkuu wa Umoja wa Nchi za Afrika (OAU) ambayo sasa ni Umoja wa Afrika (AU), Dk Salim Ahmed Salim, kwenda jijini Beijing kwa ajili ya kufundisha vijana juu ya mapambano ya uhuru katika nchi za Afrika.
11 years ago
MichuziDkt. Salim Ahmed Salim akutana na Waziri wa Mambo ya Nje wa Misri
Waziri Mkuu Mstaafu,Dkt. Salim Ahmed Salim akiwa katika mazungumzo na mgeni wake ambaye ni Waziri wa Mambo ya Nje wa Misri,Balozi Nabil Fahmy wakati alipomtembelea nyumbani kwake leo Jumamosi 22 Februari 2014.
Waziri Mkuu Mstaafu,Dkt. Salim Ahmed Salim na mgeni wake Wakiangalia picha za ukumbusho. Picha ya pili juu kushoto Dr Salim akiwakilisha credentials zake kwa Rais wa Zamani wa Misri, Gamal Abdul Nasser akiwa kama balozi wa Kwanza wa Tanzania nchini humo.
11 years ago
Michuzibalozi mpya wa ujerumani nchini amtembelea Dkt Salim Ahmed Salim leo
Waziri Mkuu Mstaafu na Mwenyekiti wa Mwalimu Nyerere Foundation Mhe Dkt. Salim Ahmed Salim akimkaribisha ofisini kwake balozi mpya wa Ujerumani nchini Tanzania Bwana Egon Kochanke ambaye alifika kujitambulisha kwake na kumjulia hali leo Jumatano 23 Julai 2014
Waziri Mkuu Mstaafu na Mwenyekiti wa Mwalimu Nyerere Foundation Mhe Dkt. Salim Ahmed Salim akiongea na balozi mpya wa Ujerumani nchini Tanzania Bwana Egon Kochanke ambaye alifika kujitambulisha kwake na kumjulia hali leo Jumatano 23...
Waziri Mkuu Mstaafu na Mwenyekiti wa Mwalimu Nyerere Foundation Mhe Dkt. Salim Ahmed Salim akiongea na balozi mpya wa Ujerumani nchini Tanzania Bwana Egon Kochanke ambaye alifika kujitambulisha kwake na kumjulia hali leo Jumatano 23...
10 years ago
TheCitizen02 Aug
SALIM SAID SALIM : Journalism facing challenges in election
For journalists facing challenges of objectivity, impartiality and balance reporting are a daily encounter, but there is no test of professionalism greater than that posed in the heat and pressure of a bitterly-fought political election.
9 years ago
TheCitizen23 Aug
SALIM SAID SALIM : Poll campaigns should address rights
For many years after the 1964 armed uprising that led to the overthrow of sultan Jemshid bin Abdulla El Busaidy of Omani dynasty and his coalition government of the Zanzibar Nationalist Party (ZNP) and the Zanzibar and Pemba Peoples Party (ZPPP) Zanzibar was known as notorious for human rights violations.
11 years ago
TheCitizen18 Feb
China could become Africa’s top ‘colonial’ enemy in 30 years
China is not seizing territory on the continent and calling it a gathering of colonies, the way European powers did. Instead, it is negotiating with governments, various business entities and crooks and gaining access to Africa’s vast natural resources.
10 years ago
TheCitizen29 Mar
SALIM SAID SALIM:Let our leaders be honest with us
Nearly a decade back I read an article in the Gulf newspaper in which one columnist said that there are some occupations whose members are very good in lying, even in mosques and churches.
9 years ago
BBC28 Nov
Pope remembers martyrs in Uganda
Pope Francis celebrates Mass at a shrine where dozens of Ugandan Christians were martyred for their faith on the latest stage of his African trip.
10 years ago
BBCSurvivor remembers Lampedusa wreck
"I feel so happy, I feel so bad" says migrant who lived after wreck
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania