Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Dk. Salim kufundisha China

SERIKALI ya Jamhuri ya Watu wa China, imemualika aliyekuwa Katibu Mkuu wa Umoja wa Nchi za Afrika (OAU) ambayo sasa ni Umoja wa Afrika (AU), Dk Salim Ahmed Salim, kwenda jijini Beijing kwa ajili ya kufundisha vijana juu ya mapambano ya uhuru katika nchi za Afrika.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

TheCitizen

China remembers Salim 43 years on

China, so the story goes, never forgets its allies along the many decades of the country’s rich and prosperous history.

 

11 years ago

Michuzi

Dkt. Salim Ahmed Salim akutana na Waziri wa Mambo ya Nje wa Misri

Waziri Mkuu Mstaafu,Dkt. Salim Ahmed Salim akiwa katika mazungumzo na mgeni wake ambaye ni Waziri wa Mambo ya Nje wa Misri,Balozi Nabil Fahmy wakati alipomtembelea nyumbani kwake leo Jumamosi 22 Februari 2014. Waziri Mkuu Mstaafu,Dkt. Salim Ahmed Salim na mgeni wake Wakiangalia picha za ukumbusho. Picha ya pili juu kushoto Dr Salim akiwakilisha credentials zake kwa Rais wa Zamani wa Misri, Gamal Abdul Nasser akiwa kama balozi wa Kwanza wa Tanzania nchini humo.

 

11 years ago

Michuzi

balozi mpya wa ujerumani nchini amtembelea Dkt Salim Ahmed Salim leo

Waziri Mkuu Mstaafu na Mwenyekiti wa Mwalimu Nyerere Foundation Mhe Dkt. Salim Ahmed Salim akimkaribisha ofisini kwake balozi mpya wa Ujerumani nchini Tanzania Bwana Egon Kochanke ambaye alifika kujitambulisha kwake na kumjulia hali leo Jumatano 23 Julai 2014


Waziri Mkuu Mstaafu na Mwenyekiti wa Mwalimu Nyerere Foundation Mhe Dkt. Salim Ahmed Salim akiongea na  balozi mpya wa Ujerumani nchini Tanzania Bwana Egon Kochanke ambaye alifika kujitambulisha kwake na kumjulia hali leo Jumatano 23...

 

9 years ago

TheCitizen

SALIM SAID SALIM : Poll campaigns should address rights

For many years after the 1964 armed uprising that led to the overthrow of sultan Jemshid bin Abdulla El Busaidy of Omani dynasty and his coalition government of the Zanzibar Nationalist Party (ZNP) and the Zanzibar and Pemba Peoples Party (ZPPP) Zanzibar was known as notorious for human rights violations.

 

10 years ago

TheCitizen

SALIM SAID SALIM : Journalism facing challenges in election

For journalists facing challenges of objectivity, impartiality and balance reporting are a daily encounter, but there is no test of professionalism greater than that posed in the heat and pressure of a bitterly-fought political election.

 

10 years ago

TheCitizen

SALIM SAID SALIM:Let our leaders be honest with us

Nearly a decade back I read an article in the Gulf newspaper in which one columnist said that there are some occupations whose members are very good in lying, even in mosques and churches.

 

10 years ago

Habarileo

Chuo kufundisha uandaaji wa minofu

Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dk Shukuru KawambwaWAKATI serikali imejielekeza katika kuvifanya Vyuo vya Ufundi vilivyoko Lindi na Mtwara kufundisha masomo yanayohusu rasilimali za gesi na mafuta, Chuo cha Lindi kitaanza pia kutoa mafunzo ya uandaaji wa minofu ya samaki kwa utaratibu wa kozi fupi.

 

9 years ago

Habarileo

Makocha watakiwa kufundisha soka

RAIS wa Shirikisho la Soka nchini (TFF), Jamal Malinzi, amefunga kozi ya makocha lesseni C inayotambuliwa na Shirikisho la Soka barani Afrika (CAF) na kuwataka wahitimu hao kufanyia kazi mafunzo waliyoyapata.

 

11 years ago

Habarileo

Tusiime kufundisha kwa kompyuta

SHIRIKA la Opportunity Education Foundation (OEF) la nchini Marekani, limeichagua Shule ya Sekondari Tusiime ya Tabata kuwa ya majaribio katika ufundishaji kwa njia ya kielektroniki mkoani Dar es Salaam na kuipatia kompyuta ndogo 100.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani