Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


chukwani United yanyakuwa Kombe la Muungano Zanzibar

Hatimae Bingwa wa Mashindano ya Kombe ya Muungano yaliyoanza kutimua vumbi tarehe 23 April Mwaka huu na kushirikisha Timu za Soka zipatazo Kumi na Moja za Jimbo la Kiembe Samaki Wilaya ya Magharibi amepatikana na kufikia hatma yake kwenye uwanja wa michezo wa Kiembe Samaki.
Chukwani United ilitawadhwa kuwa bingwa wa kombe hilo baada ya kuikung’uta New Generation ya Kiembe samaki kwa Magoli mawili kwa bila kwenye pambano la fainali ambapo mgeni rasmi alikuwa Makamu wa Pili wa Rais wa...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

Timu ya Zanzibar Diaspora USA Yanyakua Kombe la Muungano Washington DC, Kwa Ushindi wa Mabao 7-1 dhidhi ya Tanganyika

Katika shamrashamra za kusherehekea Miaka 51 kuungana Tanganyika na Zanzibar na kuwa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, Timu ya Zanzibar Diaspora​ nchini Marekani imeifunga bao jirani zake timu ya Tanganyika USA bao 7-1. Kikosi cha timu ya Tanganyika Tanganyika na Zanzibar kama ishara ya Muungano

 

5 years ago

Michuzi

SHEREHE ZA UVUNJAJI WA BARAZA LA 9 LA WAWAKILISHI ZANZIBAR-CHUKWANI LEO

Rais  wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein  (katikati) akiagana na Spika wa  Baraza la Wawakilishi Zanzibar Mhe.Zubeir Ali Maulid pamoja na Viongozi mbali mbali baada ya kumalizika kwa sherehe za  kulivunja Baraza la 9 la Wawakilishi Zanzibar,katika Ukumbi wa Baraza hilo leo Chukwani nje ya Mji wa Zanzibar.[Picha na Ikulu]...

 

10 years ago

Vijimambo

TANZANIA STARS UNITED BARA NDIO MABINGWA WA KOMBE LA TAMASHA 2015 LA AFRIKA MASHARIKI YAIFUNGA RWANDA 5-1 NA KUIFUNGA ZANZIBAR 4-0 MECHI YA FAINALI

Wachezaji wa timu ya Tanzania Stars United Bara  wakifurahia kikombe cha utamaduni walichoshinda leo katika mashindao ya Tamasha 2015 yaliyoshirikisha timu 4, Kenya, Rwanda, Zanzibar na Tanzania Stars United Bara. Maratibu wa mashindano hayo Kaka DC (kushoto akiongea na akiwaweka sawa marefa toka Malawi.Manahodha wa timu ya Tanzania Stars United Bara na Rwanda wakiwa katika picha ya pamoja na marefa katika mechi ya kwanza ambayo Tanzania Stars United Bara waliibamiza Rwanda mabao 5-1Kwa...

 

11 years ago

Mwananchi

Tanganyika kuwamo ndani ya Katiba ya Muungano bila Zanzibar ni kuua Muungano

Leo nijikite katika kuongeza uelewa juu ya tofauti iliyopo kati ya mambo ya muungano na yasiyo ya muungano. Nchi yetu inatokana na muungano wa zilizokuwa nchi mbili huru kwa maana ya Jamhuri ya Tanganyika na Jamhuri ya Watu wa Zanzibar, ambazo ziliwezesha kuundwa kwa nchi mpya, Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

 

11 years ago

Mwananchi

KUTOKA ZANZIBAR: Yako wapi mapato ya Zanzibar katika Muungano?

>Tumesikia matamshi ya mbunge wa Nkasi Kaskazini kupitia CCM, Ally Mohammed Keissy alipochangia bajeti ya Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa akisema Zanzibar haichangii katika Muungano, hivyo haina haki ya kuhoji mambo ya upande wa pili.

 

11 years ago

Tanzania Daima

TBF yabadili mfumo Kombe la Muungano

SHIRIKISHO la Mpira wa Kikapu Tanzania (TBF), limesema mashindano ya Kombe la Muungano kwa mwaka huu yatafanyika kwa mfumo wa ligi itakayokuwa na timu 16. Mashindano hayo yaliyopangwa kuanza Juni...

 

10 years ago

BBCSwahili

Manchester United kutwa kombe?

Manchester United moja ya timu vigogo wa ligi kuu ya England ambayo kabla ya ushindi wa sita mfululizo ilikuwa na wakati mgumu.

 

11 years ago

Michuzi

ZANZIBAR PETROLEUM LTD BINGWA KOMBE LA MAZINGIRA ZANZIBAR

Meneja wa Zanzibar Petroleum LTD Altaf Jiwan akiwapongeza wachezaji wake kwa kuchukua ubingwa wa Kombe la Mazingira lililoandaliwa na Ofisi ya Makamo wa Kwanza wa Rais Zanzibar, kwa kuifunga tim ya Wizara ya Fedha kwa mikwaju ya penanti 4 kwa 3.Sherehe hizo ilifanyika Ofisini kwao Mtoni Zanzibar. Kocha wa Tim ya Zanzibar Petroleum LTD Ali Hakiba Hassan alieshika kombe na kikosi kamili cha Zanzibar Petroleum kilicho twaa ubingwa wa Kombe la Mazingira kwaka 2014/2015. Wachezaji wa Tim ya...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wadau wamwangukia mratibu Kombe la Muungano Mufindi

WADAU wa michezo wamemwomba Mratibu wa Kombe la Muungano Mufindi, Daud Yassin, kufikiria zaidi uamuzi wake wa kustaafu kuandaa mashindano hayo na kuongeza muda zaidi wa kuratibu kwa lengo ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani