CHUO CHA DIPLOMASIA CHAADHIMISHA SIKU YA MAZINGIRA DUNIA
Mkurugenzi wa Chuo cha Diplomasia, Balozi Dk. Mohamed Maundi akipanda mti wa kumbukumbu katika eneo la chuo hicho ikiwa ni sehemu ya madhimisho ya siku ya mazingira Duniani. (Picha na Francis Dande)
Mkurugenzi wa Chuo cha Diplomasia, Balozi Dk. Mohamed Maundi akimwagilia maji mti wa kumbukumbu alioupanda katika eneo la chuo hicho ikiwa ni sehemu ya madhimisho ya siku ya mazingira Duniani.
Naibu Mkurugenzi wa Mipango Utawala na Fedha wa Chuo cha Diplomasia, Dk. Bernard Achiula...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLCHUO CHA IMAMU JAFAR SWADIQ CHAADHIMISHA KIFO CHA MTUME MUHAMMAD (S.A.W)
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-dgEdmVwDfl0/U4Hi5i352QI/AAAAAAAFk6I/qXDFtw5sHxQ/s72-c/unnamed+(19).jpg)
uchaguzi wa viongozi wa tawi jipya la CCM chuo cha kimataifa cha Diplomasia Dar es salaam
![](http://3.bp.blogspot.com/-dgEdmVwDfl0/U4Hi5i352QI/AAAAAAAFk6I/qXDFtw5sHxQ/s1600/unnamed+(19).jpg)
11 years ago
Michuzi09 Jul
Wanafunzi wa Chuo cha Diplomasia wapata semina Wizarani
5 years ago
MichuziSerikali yaagiza Chuo cha Diplomasia kuongeza tafiti, machapisho
Maagizo hayo yametolewaleo jijini Dar es Salaam na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano waAfrika Mashariki, Dkt. Damas Ndumbaro (Mb) wakati alipotembelea chuo hicho kuongea na wahadhiri, wafanyakazi pamoja na wanafunzi.
Dkt. Ndumbaro amesema...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-4flwAZF4dAU/U_5VIQ9Gq7I/AAAAAAAGE-A/hKr2EcHJLfo/s72-c/unnamed%2B(61).jpg)
CHUO CHA DIPLOMASIA CHAWANOA MAAFISA KUTOKA JESHI, SERIKALINI NA SEKTA BINAFSI
katika mafunzo hayo ambayo Kwa kawaida wawezeshaji wa mafunzo hayo ya muda mfupi katika Chuo...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-OD2SJNpnvS8/U9Vucbp1zHI/AAAAAAAF7Ho/AWiRZwIWYKw/s72-c/unnamed+(3).jpg)
‘PROTOCOL AND PUBLIC RELATIONS’ SHORTCOURSE: CHUO CHA DIPLOMASIA CHAWANOA MAAFISA KUTOKA SERIKALINI NA SEKTA BINAFSI
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-99CA0_hp2N0/Uyc6cOu8e_I/AAAAAAAFUPc/nL2yvd_ABMk/s72-c/unnamed+(93).jpg)
CHUO CHA DIPLOMASIA — DAR ES SALAAM, KUFANYA KOZI FUPI YA PROTOCOL AND PULIC RELATIONS TAREHE 31st March - 4th Aprili 2014
![](http://4.bp.blogspot.com/-99CA0_hp2N0/Uyc6cOu8e_I/AAAAAAAFUPc/nL2yvd_ABMk/s1600/unnamed+(93).jpg)
Kozi fupi, Bwana, Juma M. Kanuwa CHUO CHA DIPLOMASIA DAR ES SALAAM, katika kuendeleza wito na wajibu wa kutoa mafunzo ya muda mfupi na mrefu, mnamo tarehe 31stMarch - 4th Aprili 2014 kitafanya kozi fupi ya ITIFAKI NA MAHUSIANO YA UMMA (PROTOCOL AND PUBLIC RELATIONS) Chuoni Kurasini, Dar es salaam, Wawezeshaji wa Mafunzo haya ya muda mfupi kawaida huwa ni mabalozi na wakufunzi waliobobea sana katika mambo ya Diplomasia hivyo kuwapa...
10 years ago
VijimamboRAIS WA MSUMBIJI ATEMBELEA CHUO CHA DIPLOMASIA, AFUNGUA KONGAMANO LA BIASHARA NA KUZUNGUMZA NA RAIA WA MSUMBIJI WAISHIO NCHINI
Kaimu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Balozi Simba Yahya akiwajadiliana jambo na Mwenyekiti wa Bodi ya Chuo cha Diplomasia (CFR), Balozi Mwanaidi Maajar huku Mkuu wa Chuo hicho Balozi Mohammed Maundi akisiskiliza wakati viongozi hao wakisubiri kumpokea Rais wa Jamhuri ya Msumbiji, Mhe. Filipe Jacinto Nyusi alipotembelea Chuoni hapo leo tarehe 18 Mei, 2015 wakati akiendelea na ziara yake ya kitaifa ya siku tatu hapa nchini. Chuo cha Diplomasia kilichopo...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-rmtYAnFs2Hs/VHBh7IZif3I/AAAAAAAGy0Y/GaA0kCbKduI/s72-c/03.jpg)
Chuo IRDP Dodoma chaadhimisha mahali ya 28 kwa mafanikio
![](http://2.bp.blogspot.com/-rmtYAnFs2Hs/VHBh7IZif3I/AAAAAAAGy0Y/GaA0kCbKduI/s1600/03.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-kKGuMLNjD80/VHBh7Bl8fMI/AAAAAAAGy0U/T0qYPX81WUA/s1600/02.jpg)