Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Chupi zazua kihoha Bungeni

Mbunge mmoja nchini Zimbabwe amezua kizaazaa bungeni alipotumia chupi za kina mama kusisitiza hatma ya raia masikini wa nchini hiyo ambao hawana uwezo wa kununua chupi mpya.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Chupi inayobana yamtoa m'bunge bungeni

Mbunge mmoja wa Canada alitoa sababu ambayo haijawahi kusikika iliomlazimu kutoka bungeni kwa haraka.

 

10 years ago

Mwananchi

Ajira za wageni zazua mjadala bungeni

Dodoma. Serikali imewasilisha bungeni muswada wa Sheria ya Udhibiti wa Ajira za Wageni kwa ajili ya kuimarisha usimamizi wa ajira za wageni nchini, ikiwamo kuwabana wanaofanya kazi bila kuwa na elimu stahiki.

 

11 years ago

BBCSwahili

Chupi za Afrika zinazosifika Ufaransa

Kampuni ya chupi Ufaransa, Atelier Augusti, imeamua kuwatumia mafundi Burkina Faso kushona nguo za ndani za wanawake

 

10 years ago

BBCSwahili

Je,unaweza kuvaa chupi ya mpenzi wako?

Chupi inayoweza kuvaliwa na watu wa jinsia zote sasa imeanza kuuzwa madukani nchini Marekani.

 

9 years ago

BBCSwahili

Kondomu yenye umbo la chupi Uganda

Kondomu hii ina umbo la suruali ya ndani ya wanawake, Inaweza kuvaliwa siku nzima na wanawake sawa na chupi aina ya ''g-string''

 

10 years ago

Mwananchi

Nyumba za Serikali zazua utata

Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Mbeya imegundua viwanja na nyumba zaidi ya 10 za Serikali zikitumiwa na watu binafsi katika mazingira ya kutatanisha.

 

11 years ago

Mwananchi

Tiketi za elektroniki zazua jambo

>Bodi ya Ligi (PTL) inayosimamia Ligi Kuu Bara, imeamua kuingilia kati suala la kutumika kwa tiketi za elektroniki baada ya kuomba kupata taarifa ya fedha zinazoingia kutokana na mauzo ya tiketi.

 

10 years ago

Habarileo

Daladala zazua taharuki Mwanza

MKUU wa Mkoa wa Mwanza, Magesa MulongoWAKAZI wa jiji la Mwanza jana wamekumbana na taharuki baada ya barabara ya Nyerere kushindwa kupitika kufuatia madereva wa daladala yanayofanya safari zake kati ya Airport, Bwiru – Igoma/Kishiri kuegesha kwenye barabara hiyo hivyo kusababisha msongamano wa magari.

 

11 years ago

Mwananchi

Tiketi za elektroniki zazua balaa

>Utoaji tiketi za ki-eletroniki kwenye mechi ya kirafiki iliyozikutanisha timu za Mbeya City na Tanzania Prisons kwenye Uwanja wa Sokoine, Mbeya, umeingia dosari baada ya wengi kutoingia uwanjani kwa madai ya kukosa tiketi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani