CNN yaiomba Kenya radhi kwa ripoti potofu
CNN imeomba radhi Kenya kuhusiana na taarifa iliyopeperushwa hewani,ikidai kuwa Kenya ni kitovu cha ugaidi.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo524 Jul
Mtangazaji wa zamani wa CNN mwenye asili ya Kenya, Zain Verjee atoa maoni kuhusu ripoti ya kituo hicho iliyowakera Wakenya
Wakati Rais wa Marekani, Barack Obama akianza safari ya kuelekea Kenya, CNN waliripoti habari kuwa Obama anaenda kwenye kitovu cha ugaidi na kuwakwaza wakenya wengi wanaotaka CNN iwaombe radhi. President @BarackObama isn't just heading to his father's homeland, but to a hotbed of terror: http://t.co/OkTE671wfe pic.twitter.com/ZnrhE8yFzy — CNN (@CNN) July 23, 2015 Zain Verjee, mtangazaji […]
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-OhsI3CU_Y5c/Ux235a5zPSI/AAAAAAAFSuE/IWnWGvn9tag/s72-c/8+(1).jpg)
NEWS FLASH: UHARIBIFU UWANJA WA TAIFA - TFF YAIOMBA RADHI SERIKALI, KULIPA HASARA ILIYOPATIKANA, YASEMA WANAOFANYA FUJO NA UHARIBIFU VIWANJANI KUKIONA
![](http://1.bp.blogspot.com/-OhsI3CU_Y5c/Ux235a5zPSI/AAAAAAAFSuE/IWnWGvn9tag/s1600/8+(1).jpg)
Tunaiomba radhi Serikali kwa uharibifu wa viti uliotokea kwenye mechi ya Ligi ya Mabingwa Afrika kati ya Yanga ya Tanzania na Al Ahly ya Misri iliyochezwa Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Uharibifu huo wa viti umesababisha hasara ya sh. milioni 15 kwa wamiliki wa uwanja huo ambao ni Serikali....
9 years ago
Africanjam.Com![](http://1.bp.blogspot.com/-f8eRy4uEU5U/Vc4BZhtbLyI/AAAAAAAADSk/Kc7UQKnwuFs/s72-c/cnn.jpg)
CNN APOLOGISES TO KENYA
![](http://1.bp.blogspot.com/-f8eRy4uEU5U/Vc4BZhtbLyI/AAAAAAAADSk/Kc7UQKnwuFs/s1600/cnn.jpg)
Cable News Network (CNN) has apologized to Kenya over a recent terrorism slur.In a televised CNN report preceding President Obama’s July trip to Kenya, the news network has referred to the East African country as a “hotbed of terror” while highlighting the possibility of an attack by Al-Shaabab militants during the President’s visit.
Kenyans were not amused by CNN’s labeling and immediately took to social media to hurl insults and sarcastic humor at CNN under the hashtag #SomeoneTellCNN,...
10 years ago
BBC![](http://c.files.bbci.co.uk/7390/production/_84448592_68502353.jpg)
Kenya demands CNN apology over slur
Kenya's interior minister calls on US news channel CNN to apologise for calling the region a "hotbed of terror" ahead of President Barack Obama's visit.
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-uyMDsjAwgMA/VhgdHn4kVkI/AAAAAAAH-Pg/kN_E7rRKYKQ/s72-c/unnamed%2B%252869%2529.jpg)
CNN African Journalist awards - Nairobi, kenya
![](http://4.bp.blogspot.com/-uyMDsjAwgMA/VhgdHn4kVkI/AAAAAAAH-Pg/kN_E7rRKYKQ/s640/unnamed%2B%252869%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-oq-SenEJtxU/VhgdHqx8fBI/AAAAAAAH-Pk/29poavznvpo/s640/unnamed%2B%252870%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-0igkx3h4bQ4/VhgdHjq835I/AAAAAAAH-Po/SA7VJ_g4RnE/s640/unnamed%2B%252871%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-1-fIDNHu9Ko/VhgdISCo_4I/AAAAAAAH-Ps/-zLHNYD-IQ4/s640/unnamed%2B%252872%2529.jpg)
10 years ago
BBCSwahili07 Aug
Kenya yasitisha mkataba CNN kutangaza utalii
Halmashauri ya Utalii imesema imesitisha matangazo ya kibiashara na CNN kutokana na ripoti iliyodai Kenya ni kitovu cha ugaidi.
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/VWClzmosshE/default.jpg)
TFF YAIOMBA SERIKALI KUONDOA USHURU KWA VIFAA VYA MICHEZO.
TFF yaiomba serikali kuondoa ushuru kwa vifaa vya michezo ili kutoa fursa ya kuibua vipaji vya wanamichezo.
11 years ago
BBCSwahili05 Feb
Gavana awaomba radhi wanawake Kenya
Mwanasiasa mashuhuri nchini Kenya amewaomba radhi wanawake kwa matamshi yake kuwa wanawake ambao hawajaolewa hawapaswi kushikilia nyadhifa za kisiasa.
10 years ago
GPL![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/660/amz/worldservice/live/assets/images/2014/12/24/141224135945_nkaiseri_512x288_bbc.jpg?width=650)
WAZIRI AWAOMBA RADHI WANAFUNZI KENYA
Waziri wa Usalama nchini Kenya, Joseph Nkaissery. Waziri wa Usalama nchini Kenya Joseph Nkaissery amewaomba radhi wanafunzi wa shule ya msingi waliofyatuliwa gesi ya kutoa machozi wakati walipokuwa wakiandamana kupinga unyakuzi wa kipande cha ardhi ambacho kilikuwa uwanja wao wa kuchezea. Wanafunzi waliofyatuliwa gesi ya kutoa machozi kwa kuandamana kupinga unyakuzi wa uwanja… ...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania