Collabo 5 mashabiki wa muziki Bongo wanatamani kuzisikia
Miaka kadhaa nyuma kila mtu alikuwa na hamu ya kusikia collabo za mahasimu wawili kwenye Bongo Flava kwa wakati ule. Walikuwa ni washkaji wazuri kutoka Temeke ila baadaye wakaja kuwa maadui wazuri mno. Mzee wa Busara remix ya Juma Nature aliyempa collabo adui yake Inspector Haroun, ilikuja kubadili vitu vingi mno kwenye Bongo Flava. Ilikuwa […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo521 Dec
Trey Songz athibitisha mbele ya mashabiki wa Nigeria juu ya collabo aliyofanya na Davido
![trey n dav](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/trey-n-dav-300x194.jpg)
Kwenye orodha ya nyimbo za album mpya ya Davido “B.A.D.D.E.S.T” ambayo ilikuwa itoke mwishoni mwa mwaka huu kabla ya kusogezwa hadi mwakani 2016, kuna wimbo ambao staa huyo wa Nigeria amemshirikisha muimbaji wa R&B kutoka Marekani, Trey Songz.
Licha ya kuwa aliwahi kuthibitisha kupitia Twitter, Trey Songz ambaye Ijumaa iliyopita (Dec.18) alitumbuiza Lagos, Nigeria kwenye tamasha kubwa la kila mwaka Rhythm Unplugged, mitandao ya Nigeria imeripoti kuwa Trey alithibitisha kwa mara nyingine...
9 years ago
Bongo528 Oct
Nawaomba radhi mashabiki wangu sitaweza kutoa collabo yangu na Jose Chameleone Ijumaa hii — Barnaba
5 years ago
Bongo Movies02 Mar
Alichosema Jay Moe kuhusu kutofanya collabo na wakongwe wa Bongo fleva
Mashabiki wengi hujiuliza inakuaje kwenye upande wa Bongo Fleva mastaa wakongwe katika game hii wanashindwa kufanya collaboration wao kwa wao , ugumu unakuwa wapi?? Je ni kwamba ladha ya muziki itapungua kutokana na wao kuwa wakongwe katika muziki?
Majibu yote anayo Jay Moe, alisema
“Naona watu wanacho jaribu kukitafuta saivi ni kitu kipya , Solo nipo naye karibu lakini badala solo ashiriki nyimbo na mimi nitamshauri afanye na Godzilla, afanye na billnass. Kwa sababu naona kabisa kwamba...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/afJNJUtdOc62stI1a9Ex4V113Vytsb4cLZZP-FRO-I9xWeLXjOLUlzfRo0cQ2Yb8lNqCcOiFKsAt-ho3Ab6kRKvyQEFxBxCK/alikiba.gif?width=650)
ALI KIBA MASHABIKI WATARAJIE MAPINDUZI YA MUZIKI
10 years ago
GPLEFM 93.7 KUFANYA TAMASHA LA MUZIKI MNENE KUWASHUKURU MASHABIKI
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vnQhPUwEod3d2Vwj07IJba96wNByToLLg*ikW*YNB8uWNby2ReT*ki-FDF6Wp9JyU1Gj7MYNlXLrsMk3EAlpgImnkMQRjJli/darlive9.jpg?width=650)
MASHABIKI WA TAARAB WAJINOMA KWA MUZIKI WA JAHAZI DAR LIVE
9 years ago
Bongo501 Dec
Christian Bella kuachia collabo yake na Koffi Olomide kabla Koffi hajatua Bongo
![Bella na Koffi](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/Bella-na-Koffi-300x194.jpg)
Mwanamuziki mkongwe wa DRC, Koffi Olomide anatarajiwa kuja Tanzania kutumbuiza wiki Ijayo, na hiyo ndio sababu iliyomfanya Christian Bella kupanga kuachia collabo aliyofanya na mkali huyo mapema kabla hajatua Bongo.
Bella ameiambia Bongo5 kuwa wimbo tayari umekamilika na amepanga kuuachia mapema kabla Koffi hajaja ili aweze kutumbuiza naye wimbo huo ambao ni collabo inayosubiriwa kwa hamu na mashabiki wake.
“Ninajipanga wiki hii au next week ndio nitaachia, kwasababu Koffi anakuja Tanzania...
11 years ago
Tanzania Daima13 Jan
Minenguo Extra Bongo yapagawisha mashabiki
MASHABIKI wa bendi ya muziki wa dansi ya Extra Bongo Next Level ‘Wazee wa Kizigo’, juzi usiku walibaki midomo wazi baada ya wanenguaji wake wa kiume kucheza staili ya kipekee....