Coronavirus: Ugonjwa wa corona unavyoathiri mazishi na maombolezo
Mataifa mengi duniani yamechukua hatua ya kupiga marufuku mikusanyiko ya watu kama sherehe na misiba ilikuepeuka kuenea kwa maambukizi.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili15 May
Virusi vya Corona: Jinsi ugonjwa usio wa kawaida aina ya kawasaki unavyoathiri watoto
"Hilo halistahili kufanya wazazi wasiwaruhusu watoto kutoka nje."
5 years ago
BBCSwahili19 Mar
Coronavirus: Maswali yako kuhusu ugonjwa wa corona yanajibiwa
Kuna utofauti gani kati ya mafua na corona? Barakoa inasaidia? Ngono inaweza kusababisha maambukizi ya ucorona?
5 years ago
BBCSwahili22 Mar
Coronavirus: Kenya yatangaza visa 8 vipya vya ugonjwa wa corona
Ongezeko hilo linafikisha 15 idadi ya wagonjwa waliambukizwa virusi vya corona nchini Kenya.
5 years ago
BBCSwahili24 Mar
Coronavirus: Wafahamu watu mashuhuri waliofariki kwa ugonjwa wa corona Afrika
Kifo cha nguli wa muziki wa Jazz, Manu Dibango kimeongeza idadi ya watu mashuhuri barani Afrika waliofariki kutokana na ugonjwa wa corona au hali ya afya ya awali ambayo ilizoroteshwa na maambukizi ya virusi hivyo.
5 years ago
BBCSwahili04 May
Virusi vya Corona: Mazishi ya usiku na hofu ya corona Tanzania
Baadhi wana hofu kuwa mamlaka nchini Tanzania halichukulii janga kwa uzito wake.
5 years ago
BBCSwahili11 May
Virusi vya corona: Jinsi ‘mazishi ya kisiri’ Afrika Kusini huenda ikasaidia kukabiliana na corona
Hatua ya Afrika Kusini kupiga marufuku mikusanyiko mikubwa ya watu mazishini imesaidia kuvumbuliwa tenda kwa tamaduni za jadi.
5 years ago
BBCSwahili27 Jun
Virusi vya corona: Ugonjwa wa corona sasa ni tatizo kuu Marekani
Daktari mkuu wa magonjwa ya kuambukizwa nchini Marekani Dkt Anthony Fauci anasema Marekani ina tatizo kubwa sasa la maambukizi ya virusi vya corona, baadhi ya majimbo yamesitisha mpango wa kufungua
5 years ago
BBCSwahili14 Jun
Virusi vya corona: Je unajua ugonjwa wa corona huenda ulianza mapema mno?
Kuanza kufurika kwa watu hospitalini huenda kunaashiria kwamba corona ilianza mapema mno, utafiti unaonesha
5 years ago
BBCSwahili07 Jun
Virusi vya corona: Rais Magufuli asema ana imani ugonjwa wa corona umeondolewa kwa nguvu za Mwenyezi Mungu
Rais Magufuli aliwaomba raia wa taifa hilo kutumia siku tatu kuanzia tarehe 17 hadi 19 Aprili 2020, kumuomba Mwenyezi Mungu ili kuwaepusha na janga la ugonjwa wa corona.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania