Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


COSTECH YAHITIMISHA MRADI WA PICTURE AFRICA MKOANI NJOMBE

Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia(COSTECH) imehitimisha rasmi Mradi wa Picture Afrika,tukio lililofanyika kwenye ukumbi wa Chuo cha Maendeleo ya Wananchi Mjini NjombeKaimu Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia(COSTECH) Dkt Dugushilu Mafunda akizungumza wakati wa kutamatisha Mradi wa Picyure Afrika.Pamoja naye ni Mkuu wa Mkoa wa Njombe Mh Dkt Rehema Nchimbi(wa pili kulia),Mkuu wa Wilaya ya Njombe,Mh Sara Dumba(wa kwanza kushoto) pamoja na Mwakilishi wa Katibu Tawala...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

OFISI YA RAIS, TUME YA MIPANGO YAKAGUA MAENDELEO YA MRADI WA CHUMA LIGANGA MKOANI NJOMBE

 Katibu Mtendaji wa Ofisi ya Rais, Tume ya Mipango, Dkt. Philip I. Mpango (wa tatu kushoto) akipata maelezo kuhusu Mradi wa Chuma Liganga kutoka kwa Nie Zhiyan (kulia), ambae ni Makamu Afisa Muendeshaji Mkuu wa Tanzania China International Mineral Resources Ltd (TCIMRL). Hili  ni eneo ambalo kiwanda cha chuma chenye uwezo wa kuzalisha tani milioni moja kwa mwaka kitajengwa. Kutoka kushoto, wengine ni Bw. Ramson Mwilangali, Kaimu Mkurugenzi wa Viwanda Mama - NDC , Bw. Erasmus Masumbuko,...

 

10 years ago

Vijimambo

MAGUFULI ALIVYOPOKELEWA NDANI YA WILAYA YA NJOMBE MKOANI NJOMBE.

Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia chama cha CCM,Dkt John Pombe Magufuli akiwasalimia wakazi wa Ludewa mjini kabla ya kuanza kuwahutubia ,kwenye mkutano wa hadhara wa kampeni uliofanyika mjini humo na kuhudhriwa na maelfu ya watu.Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia chama cha CCM,Dkt John Pombe Magufuli akiwahutubia wananchi wa Ludewa waliojitokeza kwa wingi kwenye mkutano wa hadhara wa kampeni uliofanyika mjini humo.

Mgombea Ubunge wa jimbo...

 

5 years ago

Digital Information World

Google Will Let Users Resize Picture-In-Picture Window With Android 11 Update

Google Will Let Users Resize Picture-In-Picture Window With Android 11 Update  Digital Information WorldiOS 14 Code Shows Apple Maps Improvements, CarPlay Support For Wallpapers  redmondpie.comView Full coverage on Google News

 

10 years ago

BBC

What a viral picture tells us about child poverty in Africa

What a viral picture tells us about child poverty in Africa

 

10 years ago

Michuzi

COSTECH in Partnership with US Embassy Dar es Salaam award winners of the Powering Africa Research Paper Competition

May 5th, 2015, The Tanzania Commission for Science and Technology (COSTECH) in partnership with the US Embassy Dar es Salam have awarded a total amount of 15,000 USD to the Winners of the Powering Africa Research Competition in a special ceremony at COSTECH Head quarters Kijitonyama Dar es Salaam
This is one of the measures towards realizing Power Africa initiative, the programme that was announced in 2013 by President of the US, Mr. Barrack Obama when he visited Tanzania.
Jury Chairperson of...

 

10 years ago

Vijimambo

MAGUFULI ATINGA MKOANI NJOMBE LEO

 Mgombea urais wa Tanzania kupitia CCM, Dk John Magufuli akihutubia katika mkutano wa hadhara wa kampeni kwenye Uwanja wa Sabasaba mjini NjombeMakamu Mwenyekiti wa CCM, Tanzania Bara, Philip Mangula akihutubia kwa kumnadi Mgombea urais wa Tanzania kupitia CCM, Dk John Magufuli  katika mkutano wa hadhara wa kampeni kwenye Uwanja wa Sabasaba mjini Njombe

 Mgombea urais wa Tanzania kupitia CCM, Dk John Magufuli akimtambulisha Naibu Waziri wa Ujenzi, ambaye anagombea ubunge Jimbo la Njombe...

 

5 years ago

Michuzi

Radi yaua mwanafunzi mkoani Njombe

Na Amiri Kilagalila, Njombe
Wanafunzi 16 na mwalimu mmoja wa shule ya sekondari Chief Kidulile iliyopo wilayani Ludewa mkoani Njombe wamepigwa radi februari 19 majira ya saa tisa alasiri na kusababisha kifo cha mwanafunzi mmoja na kuacha majeruhi 16.
Akifafanua kuhusu tukio hilo kwa njia ya simu, Kamanda wa Polisi mkoa wa Njombe Hamis Issa akiwa mkoani Morogoro kikazi amesema amepokea taarifa za tukio hilo kutoka kwa vijana wake aliowatuma ambapo  amesema katika tukio hilo mwanafunzi mmoja wa...

 

5 years ago

Michuzi

Mkandarasi amchefua waziri Mbalawa mkoani Njombe

Na Amiri Kilagalila,Njombe
Waziri wa maji Prof.Makame Mbalawa ameagiza kuwekwa kizuizini msimamizi wa ujenzi wa mradi wa maji wa Igando Kijombe unaotekelezwa na kampuni ya  STC JV YELL LMT wilayani Wanging'ombe mkoani Njombe Erick Mlema kwa kushindwa kukamilisha mradi kwa wakati.

Waziri Mbalawa  amesema mpaka sasa mradi umefikia asilimia 17 pekee huku wananchi wakilalamikia kero ya upatikanaji wa maji wilayani humo.

Mradi wa Igando- kijombe unatajwa kugharimu takribani billioni 12 na ulianza...

 

10 years ago

Michuzi

Ziara ya naibu waziri maji mkoani Njombe

Naibu Waziri Maji,Mh. Amos Makalla ametembelea mamlaka ya maji na usafi wa mazingira mkoani Njombe (NJUWASA) na kutembelea vyanzo vya maji vya Magoda,Hagafilo,Njenga na Kibena pia Amekagua ujenzi wa mradi wa kuboresha maji mji wa Njombe kuanzia kwenye chanzo cha Mto Njenga,ulazaji mabomba na matanki makubwa.
Mradi wa Njenga utagharimu kiasi cha sh. 3.5 bilioni na tayari umeshagharimu sh 2.2 bilioni na utakamilika mapema machi mwaka huu na kuongeza upataikanaji maji kutoka asilimia 43 hadi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani