Croatia yafunga vituo vya kuvukia mpaka
Maafisa wa Croatia wamesema wamelazimika kufunga vituo saba vya kuvukia mpaka wake na Serbia baada ya wahamiaji 10,000 kuingia taifa hilo.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo24 Mar
EWURA yafunga vituo 3 vya mafuta
MAMLAKA ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA), imefunga vituo vitatu vya kuuzia mafuta kwa tuhuma za kuuza mafuta yenye ubora hafifu pamoja na kufanya biashara hiyo bila ya kuwa na leseni.
10 years ago
Mtanzania28 Mar
Serikali yafunga vituo vya watoto yatima
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam
SERIKALI imevifunga baadhi ya vituo vya kulelea watoto yatima katika maeneo mbalimbali nchini kwa kukiuka sheria ya uanzishwaji wake na wamiliki kujinufaisha binafsi.
Sambamba na hilo, pia imefuta kutoka kwenye orodha ya kutoa huduma ya kulea watoto yatima baadhi ya vituo vya aina hiyo vilivyo kwenye mikoa ya Dar es Salaam, Arusha, Kilimanjaro, huku vile vya mkoani Iringa vikiendelea kufanyiwa uchunguzi.
Tangazo la kufungwa na kufutwa kwa vituo hivyo...
10 years ago
BBCSwahili10 Jul
Indonesia yafunga viwanja 5 vya ndege
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-MIynK5lAjbk/VMitlyfJbQI/AAAAAAAAUWw/A8LZao1f42Q/s72-c/Maswali%2B40%2BCover%2BPhoto.jpg)
January Makamba na ndoto ya vituo vya Michezo vya Kanda
![](http://1.bp.blogspot.com/-MIynK5lAjbk/VMitlyfJbQI/AAAAAAAAUWw/A8LZao1f42Q/s1600/Maswali%2B40%2BCover%2BPhoto.jpg)
Azma hizo zimo katika katika mazungumzo yake na Padre Privatus Karugendo ambayo yamechapishwa katika kitabu ambacho gazeti hili imekipata nakala yake ambapo...
10 years ago
GPLZIARA YA WAANDISHI WA HABARI KATIKA VITUO VYA UMEME VYA MBAGALA, G/MBOTO NA KINYEREZI
10 years ago
MichuziZIARA YA WAANDISHI WA HABARI KATIKA VITUO VYA UMEME VYA MBAGALA,G/MBOTO NA KINYEREZI
5 years ago
BBCSwahili11 May
Virusi vya corona: Je roboti zinatumika vipi kwenye vituo vya Covid-19 Rwanda?
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-ie32M8C9n90/Xs5urEFiwaI/AAAAAAALrvc/hrAG3mLWDjsaIFPE8t1HJc9ZctIspanFACLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-27%2Bat%2B4.25.25%2BPM.jpeg)
MKURUGENZI CCBRT AKABIDHI VIFAA VYA KUJIKINGA NA CORONA KWA HOSPITALI, VITUO VYA AFYA 22
![](https://1.bp.blogspot.com/-ie32M8C9n90/Xs5urEFiwaI/AAAAAAALrvc/hrAG3mLWDjsaIFPE8t1HJc9ZctIspanFACLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-27%2Bat%2B4.25.25%2BPM.jpeg)
Lengo la CCBRT ni kuunga mkono juhudi za Serikali na wadau wengine hapa nchini katika kuwakinga wahudumu wa afya na janga la Corona.
“Tumekusudia vifaa hivi vitumike katika vitengo vya afya ya uzazi katika hospitali hizo ili kuwakinga wahudumu wa afya...
5 years ago
CCM BlogSERIKALI YAFUNGA SHULE ZA AWALI HADI KIDATO CHA SITA KWA SIKU 30 KUIHAMI NCHI NA CORONA, YAFUNGA PIA MIKUSANYIKO YA SIASA NA MICHEZO
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akizungumza na waandishi wa habari, Dar es Salaam jana kuhusu hatua za awali zilizochukuliwa na Serikali kutokana na kuwepo nchini virusi vya ugonjwa wa Corona.
DAR ES SALAAM, Tanzania
Serikali imezifunga shule za awali hadi kidato cha sita kwa siku 30 na pia kuzuia mikusanyiko yoyote ikiwemo ya siasa na michezo ili kuihami nchi na ugonjwa wa Corona ambao umethibishwa kuingia nchini kufuatia kupatikana kwa mgonjwa mmoja wa ugonjwa huo hapa nchini.
Hatua hizo...