CTI kushirikiana na Dk Magufuli kukuza viwanda
Shirikisho la Viwanda Tanzania (CTI), limesema linajipanga kushirikiana na Serikali ya awamu ya tano itakayoongozwa na Dk John Magufuli ili kufanya vizuri zaidi katika sekta ya viwanda nchini.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ZGGCrW1JrgitixY1fXblQOEf0kNJ4I7szo0nOIUHM2o7TfXSwo7Cpgq8HSfI4fUI3FyoaAJDglRYkOCnOyzkHCYSDgmcut48/Untitled.png?width=650)
VETA YAKUTANA NA WADAU WA VIWANDA VYA UMEME NA MAGARI KUJADILI KUHUSU MRADI WA MAFUNZO YANAYOTOLEWA NA VETA KWA KUSHIRIKIANA NA VIWANDA
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-9D-pkfgTUoI/VPwnAbhVSQI/AAAAAAAAqn0/YjiABC1CFas/s72-c/Untitled.png)
VETA YAKUTANA NA WADAU WA VIWANDA VYA UMEME NA MAGARI KUJADILI KUHUSU MRADI WA MAFUNZO YANAYOTOLEWA NA VETA KWA KUSHIRIKIANA NA VIWANDA
Mradi huo uliopo kwenye majaribio tangu kuanzishwa kwake mwaka 2011 kwa ushirikiano kati ya Hamburg Chamber of Skills Craft ya Ujerumani na VETA,unalenga kuandaa idadi kubwa ya mafundi stadi wenye ujuzi zaidi kwa vitendo kwa...
9 years ago
StarTV20 Aug
Pinda azihimizwa Nchi wanachama wa SADC kukuza viwanda
Waziri Mkuu Mizengo Pinda amesema Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika SADC haina budi kuweka mkakati utakaohakikisha nchi wanachama zinakuwa na mpango mahususi wa kuendeleza viwanda kama ambavyo imekubaliwa kwenye kikao chao kilichomalizika jana.
Kauli hiyo ameitoa wakati akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya kumaliza mkutano wa 35 wa wakuu wa nchi za Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) uliofanyika jijini Gaborone, Botswana.
SADC kupitia sekretarieti yake itabidi...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-vBeveAfxw74/XnnKfc_u1cI/AAAAAAALk34/o-RfxYIGzWwoRMW7w68fJSQ1ojBaddE0ACLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-24%2Bat%2B7.33.25%2BAM.jpeg)
Tanzania ya viwanda inavyohitaji mazingira bora kukuza ubunifu wa kiteknolojia
![](https://1.bp.blogspot.com/-vBeveAfxw74/XnnKfc_u1cI/AAAAAAALk34/o-RfxYIGzWwoRMW7w68fJSQ1ojBaddE0ACLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-24%2Bat%2B7.33.25%2BAM.jpeg)
Katika hotuba yake, Mkuu wa Kitivo cha Sayansi na Elimu ya Ufundi chuoni hapo Dkt John John aliisihi Tume ya Sayansi na Teknolojia nchini (COSTECH) kutengeneza mfuko wa fedha kutambua na kusaidia vyuo na wanafunzi katika tafiti na...
9 years ago
StarTV31 Oct
Wakazi Chato wamuomba Dk. Magufuli kuimarisha viwanda
Wakazi wa Wilaya ya Chato Mkoani Geita wamemuomba Rais mteule wa Tanzania Dokta John Pombe Magufuli kuhakikisha analitilia mkazo suala la viwanda ambalo ni mhimili wa maendeleo ambao unakuza uchumi wa wananchi na nchi kwa ujumla.
Wameongeza kuwa zipo nguzo nyingine za maendeleo lakini hakuna hata moja inayoweza kushinda nguvu ya viwanda katika kiuchumi kwa kuongezea bidhaa thamani.
Wakizungumza wakati wa kusheherekea ushindi wa rais mteule Dk John Pombe Magufuli wamesema watanzania wengi...
9 years ago
Mwananchi05 Oct
Mghwira ataka Magufuli amtaje aliyeua viwanda
9 years ago
Mwananchi08 Sep
Magufuli: Serikali ya awamu ya tano itakuwa ya viwanda
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-7c78ShOLyCk/VfWoUjqA6_I/AAAAAAAC_Ds/zbJJ1dXdA68/s72-c/_MG_5772.jpg)
SERIKALI YA AWAMU YA TANO ITAKUWA NI YA VIWANDA-MAGUFULI
![](http://1.bp.blogspot.com/-7c78ShOLyCk/VfWoUjqA6_I/AAAAAAAC_Ds/zbJJ1dXdA68/s640/_MG_5772.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-5zvqvRy_Vb8/VfWoX5TGDII/AAAAAAAC_D0/_MQoApTYw0g/s640/_MG_5783.jpg)