Pinda azihimizwa Nchi wanachama wa SADC kukuza viwanda
Waziri Mkuu Mizengo Pinda amesema Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika SADC haina budi kuweka mkakati utakaohakikisha nchi wanachama zinakuwa na mpango mahususi wa kuendeleza viwanda kama ambavyo imekubaliwa kwenye kikao chao kilichomalizika jana.
Kauli hiyo ameitoa wakati akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya kumaliza mkutano wa 35 wa wakuu wa nchi za Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) uliofanyika jijini Gaborone, Botswana.
SADC kupitia sekretarieti yake itabidi...
StarTV
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-IwBQk1F2mdI/Xl0AawbyOCI/AAAAAAACz3g/Axsc18AWnvguJkVASlgTXpK3Pec8yjSZwCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
NCHI WANACHAMA WA SADC KUIMARISHA SERA NA KUJENGA MIKAKATI YA PAMOJA YA KUKUZA AJIRA KWA VIJANA
![](https://1.bp.blogspot.com/-IwBQk1F2mdI/Xl0AawbyOCI/AAAAAAACz3g/Axsc18AWnvguJkVASlgTXpK3Pec8yjSZwCLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
Akifungua Mkutano wa Makatibu Wakuu, Maafisa Waandamizi na Wadau wa Utatu wa Jumuiya hiyo wanaosimamia Sekta ya Kazi na Ajira hii leo Machi 2, 2020 Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Bw. Andrew Massawe alisema kuwa Mkutano huo umewakutanisha...
10 years ago
Vijimambo29 Apr
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AIWAKILISHA TANZANIA KATIKA MKUTANO WA DHARURA WA VIONGOZI WA NCHI NA SERIKALI WANACHAMA WA SADC KUHUSU UENDELEZAJI VIWANDA, HARARE ZIMBABWE.
![AD1](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/04/AD1.jpg)
![AD2](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/04/AD2.jpg)
![AD3](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/04/AD3.jpg)
10 years ago
Dewji Blog30 Apr
Makamu wa Rais Dkt. bilal aiwakilisha Tanzania katika mkutano wa dharura wa viongozi wa nchi na Serikali Wanachama wa SADC, Harare Zimbabwe
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiwasili kwenye Hoteli ya Rainbow, jijini Harare, Zimbabwe kwa ajili ya kuhudhuria Mkutano wa dharura wa Viongozi wa Nchi Wanachama wa SDC, uliofunguliwa jana Aprili 29, 2015 na Rais wa Zimbabwe, Robert Mugabe, Jijini unaojadili kuhusu Uendelezaji wa Viwanda.( Picha na OMR).
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal (katikati), akiwa na baadhi ya Viongozi wenzake katika...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-ZanMv-ZIrpY/U1fR4Ac40bI/AAAAAAAFceU/fgzBCqhqIX0/s72-c/image.jpeg)
UJUMBE KUTOKA NCHI WANACHAMA WA SADC UNAOSHUGHULIKA NA MAFUNZO YA UANGALIZI WA AMANI KIMATAIFA WATEMBELEA MAKAO MAKUU YA JESHI LA MAGEREZA NCHINI
![](http://1.bp.blogspot.com/-ZanMv-ZIrpY/U1fR4Ac40bI/AAAAAAAFceU/fgzBCqhqIX0/s1600/image.jpeg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-75sr3Rb_j9M/U1fR7x4t6ZI/AAAAAAAFcec/067InqZd0hg/s1600/image_1.jpeg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-aFWpw4NgQVs/XlAEXKNjAWI/AAAAAAALewc/fG3IFMk2TYQrEGCLfezJ-Pg7lIQ4WukEwCLcBGAsYHQ/s72-c/8ad49a1a-cf94-43d2-80cb-6adc8e57f1e0.jpg)
RAIS WA ZANZIBAR DK.SHEIN AFUNGUA MKUTANO WA KWANZA WA KAMATI YA MAWAZIRI WENYE DHAMANA YA MANEJIMENTI YA MAAFA KWA NCHI WANACHAMA WA SADC
![](https://1.bp.blogspot.com/-aFWpw4NgQVs/XlAEXKNjAWI/AAAAAAALewc/fG3IFMk2TYQrEGCLfezJ-Pg7lIQ4WukEwCLcBGAsYHQ/s640/8ad49a1a-cf94-43d2-80cb-6adc8e57f1e0.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/c8ac1826-7442-4998-ac0a-7f443f3b0540.jpg)
11 years ago
Michuzi24 Apr
UJUMBE KUTOKA NCHI WANACHAMA WA SADC UNAOSHUGHULIKA NA MAFUNZO YA UANGALIZI WA AMANI KIMATAIFA WATEMBELEA MAKAO MAKUU YA JESHI LA MAGEREZA LEO, JIJINI DAR ES SALAAM
![](https://ci6.googleusercontent.com/proxy/FbsuFcw8zgwn08N49MX_r5Se8XzKw-UqKum9lDkCVHBxq87PWZLtJKofpc7e6ewyuAzWqrclz7hw0NuGCVIw2YtWPpaLw-NO-2mbcygRzmny5qzSdZo_a8T0QbblUNVWQKSsgImeMxQeMig2PhjCS2ianS3FEzJLbC60K1NCeu49hc9vSS6SMnesrv3fg_OKeYxoZzlBPCP6FFhdEm43SglJn28B3CRgcYNOQXaHAAU3Jt2TlXFS2yQuUxC5cYXfup0-dbMVSnETfTG2sFuMB5Xp4zCKUg2jwX8sXpPwNqlCvs7WG_5v5syiokKJuzyEiMIFOvujjDHUhCEVj-s=s0-d-e1-ft#https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F4.bp.blogspot.com%2F-E9bG24zigXo%2FU1e8EOEgUXI%2FAAAAAAAChD8%2FviGyRL3G65A%2Fs1600%2Fimage.jpeg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
![](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/_z_UwE_tnl3yx3srTA0bGOt-A5Ibv5lyfQNfMGazvOgbqrl8Uit7wqIaNLYA48iqYjOvFID4LKaZJ_3-D7KVXG7mZF-k5uIG8dGXPgDAm1-4hXTsnc0jG-DxkmsbwqFIfiaoaCV8TJ2ScNKxM0ZszD7bsGBT5j4iiIySEw0kzl8mgMbGAWlOSNNhWs3K_bZ2wMewMAULlgEsrYUcARkEeS0lYXIJtkvdXJiGvCk2tEctDwYLMjOG4ym5qr-udTrtGMjPnsqVylKdKJ9mofEHQZHMK3N1YnGoPLkt9ZBnda3RB1wViwB_b5U0Dh5yLHBmkzFqiEyaTxZaxw9itXVaFw=s0-d-e1-ft#https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F3.bp.blogspot.com%2F-PQiE9MSPiw0%2FU1e8D4TbhnI%2FAAAAAAAChD4%2FoFxmOIuaZxM%2Fs1600%2Fimage_1.jpeg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
9 years ago
Mwananchi02 Nov
CTI kushirikiana na Dk Magufuli kukuza viwanda
9 years ago
Press04 Dec
Mkutano wa 10 wa uhamaji kutoka mfumo wa Analogia kwenda Digitali kwa nchi za Jumuiya ya Maendeleo ya Nchi za Kusini mwa Afrika (SADC)
Mkurugenzi wa Idara ya Habari (MAELEZO) na Msemaji wa Serikali Bw. Assah Mwambene akifunga Mkutano wa 10 wa uhamaji kutoka mfumo wa Analogia kwenda Digitali kwa nchi za Jumuiya ya Maendeleo ya Nchi za Kusini mwa Afrika (SADC) kwa niaba ya Katibu Mkuu, Wizara ya Habari, Vijana Utamaduni na Michezo jana. Tanzania imepata heshima ya kuwa mwenyeji wa mkutano huo baada ya kuonekana kufanya vizuri katika uhamaji wa matumizi ya mfumo wa analogia kwenda digitali kwa wakati.
Mkurugenzi wa Idara...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-vBeveAfxw74/XnnKfc_u1cI/AAAAAAALk34/o-RfxYIGzWwoRMW7w68fJSQ1ojBaddE0ACLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-24%2Bat%2B7.33.25%2BAM.jpeg)
Tanzania ya viwanda inavyohitaji mazingira bora kukuza ubunifu wa kiteknolojia
![](https://1.bp.blogspot.com/-vBeveAfxw74/XnnKfc_u1cI/AAAAAAALk34/o-RfxYIGzWwoRMW7w68fJSQ1ojBaddE0ACLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-24%2Bat%2B7.33.25%2BAM.jpeg)
Katika hotuba yake, Mkuu wa Kitivo cha Sayansi na Elimu ya Ufundi chuoni hapo Dkt John John aliisihi Tume ya Sayansi na Teknolojia nchini (COSTECH) kutengeneza mfuko wa fedha kutambua na kusaidia vyuo na wanafunzi katika tafiti na...