Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tanzania ya viwanda inavyohitaji mazingira bora kukuza ubunifu wa kiteknolojia

WIKI jana tumeona ufunguzi wa maonyesho katika Chuo Kikuu cha Sayansi na Teknolojia Mbeya. Tukio hilo muhimu lilileta pamoja wanafunzi na waalimu wa vyuo na taasisi mbalimbali za mkoa wa Mbeya kuonyesha na kujadili fursa zitokanazo na ubunifu wa kiteknolojia. 
Katika hotuba yake, Mkuu wa Kitivo cha Sayansi na Elimu ya Ufundi chuoni hapo Dkt John John aliisihi Tume ya Sayansi na Teknolojia nchini (COSTECH) kutengeneza mfuko wa fedha kutambua na kusaidia vyuo na wanafunzi katika tafiti na...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

Sekta ya mawasiliano ya simu inavyoweza kuboresha ubunifu wa kiteknolojia Tanzania

Dismas Mafuru, UDSM

Katika miaka ya hivi karibuni serikali ya Tanzania ikishirikiana na sekta binafsi imechukua hatua mbalimbali kuimarisha uchumi. Nyingi ya juhudi hizi ni sehemu ya mpango wa dira ya kuifanya Tanzania kuwa nchi ya uchumi wakati ya viwanda ifikapo mwaka 2025.
Dira hii inaonyesha mwelekeo wa wapi nchi inakusudia kufika ifikapo mwaka 2025. Moja ya malengo makubwa ya dira hiyo ni kuhakikisha Tanzania inakuwa na uchumi imara, shindani na stahimilivu. 
Kuwekeza katika miundombinu ni...

 

10 years ago

Dewji Blog

Serikali ya Marekani yazindua mradi wa dola milioni 14.5 wa kulinda mazingira, kukuza uhifadhi na utalii nchini Tanzania

unnamed

Balozi  wa Marekani nchini Tanzania Mark Childress akizungumza katika uzinduzi wa mradi wa PROTECT  wa dola za kimarekani Milioni 14.5 wa kulinda mazingira, kukuza uhifadhi na utalii nchini hapa unaolenga kujenga uwezo wa uhifadhi na kukabiliana na ujangili na usafirishaji haramu wa wanyamapori nchini kote Tanzania,uzinduzi huu ulifanyika jana katika eneo la hifadhi ya wanyamapori linalosimamiwa na jumuiya ya uhifadhi ya wanyamapori {WMA} la Randilen linalopakana na hifadhi ya taifa...

 

10 years ago

Bongo5

Je wajua vitu vinavyoweza kukuza au kuua ubunifu wako?

Ulimwengu tulionao na vitu vinavyoendelea vipo kwa sababu kuna watu waliweza kutumia muda wao na wanaendelea kutumia muda wao kubuni vitu mbalimbali kila siku. Hivyo basi kuna watu ambao wanajaribu kuja na wazo au kitu kipya kila siku huke wengine wakijiuliza na kusema hawawezi kubuni kitu kipya kabisa. Tofauti kati yetu na watu wengine ambao […]

 

9 years ago

Mwananchi

CTI kushirikiana na Dk Magufuli kukuza viwanda

Shirikisho la Viwanda Tanzania (CTI), limesema linajipanga kushirikiana na Serikali ya awamu ya tano itakayoongozwa na Dk John Magufuli ili kufanya vizuri zaidi katika sekta ya viwanda nchini.

 

9 years ago

StarTV

Pinda azihimizwa Nchi wanachama wa SADC kukuza viwanda

Waziri Mkuu Mizengo Pinda amesema Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika SADC haina budi kuweka mkakati utakaohakikisha nchi wanachama zinakuwa na mpango mahususi wa kuendeleza viwanda kama ambavyo imekubaliwa kwenye kikao chao kilichomalizika jana.

Kauli hiyo ameitoa wakati akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya kumaliza mkutano wa 35 wa wakuu wa nchi za Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) uliofanyika jijini Gaborone, Botswana.

 

SADC kupitia sekretarieti yake itabidi...

 

10 years ago

Michuzi

Washindi bora wa ubunifu wa program za simu wapatikana

Mshindi wa shindano la kutafuta vipaji vya ugunduzi wa program za simu la AppyStar lililoandaliwa na Vodacom Tanzania Bw.Roman Mbwasi(kushoto)akimsikiliza jambo Meneja wa Uhusiano wa Nje wa Vodacom Tanzania Abigail Ambweni(kulia)alipotembelea makao makuu ya mtandao huo uliopo Mlimani City jijini Dares Salaam,Mshindi huyu amejinyakulia zawadi ya shilingi milioni 2 na atakwenda Bangalore nchini India kushiriki katika awamu ya pili ya shindano hili ngazi ya kimataifa litakalofanyika Januari...

 

9 years ago

Mwananchi

Ujenzi wa bandari, viwanda kuathiri mazingira Bagamoyo

Serikali imetakiwa ianze kujipanga kukabiliana na athari za mabadiliko ya tabianchi kabla ya kukamilika kwa ujenzi wa bandari mpya wilayani hapa Mkoa wa Pwani.

 

11 years ago

Habarileo

Viwanda 3 kutozwa mil 90/- kwa kuvuruga mazingira

WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Mazingira), Dk. Binilith MahengeVIWANDA vitatu vinakabiliwa na adhabu ya faini ya Sh milioni 90 kutokana na kushindwa kutimiza masharti ya kuhifadhi mazingira katika uendeshaji wake.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani