Je wajua vitu vinavyoweza kukuza au kuua ubunifu wako?
Ulimwengu tulionao na vitu vinavyoendelea vipo kwa sababu kuna watu waliweza kutumia muda wao na wanaendelea kutumia muda wao kubuni vitu mbalimbali kila siku. Hivyo basi kuna watu ambao wanajaribu kuja na wazo au kitu kipya kila siku huke wengine wakijiuliza na kusema hawawezi kubuni kitu kipya kabisa. Tofauti kati yetu na watu wengine ambao […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-vBeveAfxw74/XnnKfc_u1cI/AAAAAAALk34/o-RfxYIGzWwoRMW7w68fJSQ1ojBaddE0ACLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-24%2Bat%2B7.33.25%2BAM.jpeg)
Tanzania ya viwanda inavyohitaji mazingira bora kukuza ubunifu wa kiteknolojia
![](https://1.bp.blogspot.com/-vBeveAfxw74/XnnKfc_u1cI/AAAAAAALk34/o-RfxYIGzWwoRMW7w68fJSQ1ojBaddE0ACLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-24%2Bat%2B7.33.25%2BAM.jpeg)
Katika hotuba yake, Mkuu wa Kitivo cha Sayansi na Elimu ya Ufundi chuoni hapo Dkt John John aliisihi Tume ya Sayansi na Teknolojia nchini (COSTECH) kutengeneza mfuko wa fedha kutambua na kusaidia vyuo na wanafunzi katika tafiti na...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-NB_lyrZRum0/VfdHfnCnlNI/AAAAAAAH40s/zqWPN0RLQ-A/s72-c/download.jpg)
JE WAJUA MKATABA WAKO WA AJIRA NI WA AINA GANI KISHERIA.
![](http://4.bp.blogspot.com/-NB_lyrZRum0/VfdHfnCnlNI/AAAAAAAH40s/zqWPN0RLQ-A/s640/download.jpg)
Na Bashir Yakub
Kama ilivyo makubaliano katika shughuli nyingine za kijamii ajira nayo huwa na makubaliano maalum wakati inapoingiwa. Makubaliano haya ndiyo huitwa mkataba na yumkini huingiwa kati ya wahusika wawili yaani muajiriwa na muajiri. Aina ya mahusiano wanayoingia wahusika ndiyo huibua aina za haki na wajibu kwa pande zote mbili. Mwenye haki hutakiwa kutoa haki hiyo kwa mwenzake naye mwenye wajibu huwa hana hiari isipokuwa ...
10 years ago
Mwananchi13 Nov
Utafiti: Urani inaweza kuua au kukuza uchumi nchini
Tanzania inaanza kuchimba madini ya urani katika mbuga ya wanyama ya Selous, eneo lililo chini ya udhamini wa Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughilikia mazingira maarufu kama World Heritage.
10 years ago
Bongo504 Feb
Fanya vitu kwa usahihi na sio vitu sahihi tu!
Inawezekana unaanza kushaangaa kuna tofauti gani kufanya vitu kwa usahihi na si kufanya vitu sahihi tu. Hiki kitu inawezekana umekutana nacho kazini kwako au siku moja utakutana nacho katika majukumu ya kila siku hapo ofisini. Mara nyingi watu tunapenda kufanya vitu sahihi ila hatujali hivyo vitu sahihi tumevifanya kwa usahihi au lah. Maeneo ya kazi […]
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Y4MVF3b94yLuWfnvECz2oJzZc2rprNwBHXXjAy1W*bBE1*Zp4r1J8daHysio-IfljappERMTE67Nsg-IfBzmAGniDFfHP08D/mengi2.jpg?width=650)
VIDOKEZO VINAVYOWEZA KUKUPA MAFANIKIO
Mwenyekiti Mtendaji wa Makampuni ya IPP Limited, Dk. Reginald Mengi. KILA mara nimekuwa nikiwaeleza watu wangu wa karibu kuwa maisha yako ya baadaye yanaanza na kile unachokifanya leo. Kama wewe unatamani maisha ya kitajiri, basi msingi wake unakutegemea jinsi utakavyoanza kuujenga hivi sasa. Wapo baadhi ya watu wana ndoto za maisha mazuri na ya kitajiri kwa kutegemea yaje kama wanavyoota. Wengine utawasikia ipo siku watakutana...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/hA00SIFl6AX9AFDuVV4glL-mA5UA5w5hOx8R7063F9QIXHEx1cYOqwAYX88-q5-NPEfvKFO5MQWvrLqyEZaEbD0LWow8QqCT/xcouplehugging57435359.jpg.pagespeed.ic.nmphfXYcZ4.jpg?width=650)
VYAKULA VINAVYOWEZA KUMPA HESHIMA MWANAUME FARAGHA!
Wanawake wengi walio kweye ndoa wanalalamikia uvivu wa waume zao wanapokutana faragha. Utasikia mwanamke akisema kuwa mumewe ni mchomvu hali inayomfanya wakati mwingine apate mawazo ya kumsaliti. Hiki siyo kitu kizuri na nimekuwa nikisema mara kwa mara kwamba, wanandoa wana jukumu la kushibishana chakula cha usiku bila visingizio. Kama mke au mume ana tatizo ‘sirias’ linalomfanya asiwe fiti, ni vyema jitihada zikafanyika ili...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-HYDE6yYB_F4/Xp2orjufrqI/AAAAAAALnk8/HTV9cEEQbHcdVRHJKKXn_w-0wCbqj5fbACLcBGAsYHQ/s72-c/4bhkd6730dde371m5w_620C350.jpg)
LISHE BORA PAMOJA NA MAZOEZI VINAVYOWEZA KUIMARISHA KINGA YA MWILI
![](https://1.bp.blogspot.com/-HYDE6yYB_F4/Xp2orjufrqI/AAAAAAALnk8/HTV9cEEQbHcdVRHJKKXn_w-0wCbqj5fbACLcBGAsYHQ/s640/4bhkd6730dde371m5w_620C350.jpg)
Nimeona ni vizuri kuandika ujumbe huu mfupi kutokana na sintofahamu ya watu wengi katika jamii yetu kuhusiana na baadhi ya vyakula kutibu ugonjwa wa COVID-19 .
Kutokana na janga hili watu wengi wamejikuta wakila kundi moja la vyakula kwa madai ya kuuwa virusi vya Corona. Kuna baadhi ambao wanaamini wakitumia juice za limao na tangawizi zitawasaidia kupona ugonjwa...
9 years ago
BBCSwahili14 Oct
Je,utakubali mshahara wako kukatwa na kupewa mzazi wako?
Sera isio ya kawaida na ambayo imeanzishwa na kampuni moja nchini Uchina kwa wafanyikazi kutoa kiwango kidogo cha mishahara yao kwa wazazi wao imezua mjadala mkubwa
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/mK50tPAXydWWQKXTbhj3*-mF1qOgY0m92*oxbs4uWYE98cy7Z5q8xuTVUL6bUOIxQFNDpKOR1dRpMqetqEz6Q5A4c6W4nyfB/mahaba.jpg?width=650)
UMUHIMU WAKO KWA MWENZI WAKO UKO WAPI?
KUNA wakati inatokea kwenye uhusiano, mmoja wao akadhauriwa na mpenzi wake na kuonekana wa kawaida tu. Athari kubwa zaidi katika kuonekana wa kawaida au kudharauliwa ni kuachana wakati wowote – kwa ghafla. Mara nyingi tendo la kuachana kwa wenzi wa aina hii huwa hakuna sababu kubwa sana. Jambo dogo tu linaweza kukatisha uhusiano lakini kumbe ndani kuna siri nyingine kubwa zaidi; kushuka thamani – kupoteza...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania