Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Je wajua vitu vinavyoweza kukuza au kuua ubunifu wako?

Ulimwengu tulionao na vitu vinavyoendelea vipo kwa sababu kuna watu waliweza kutumia muda wao na wanaendelea kutumia muda wao kubuni vitu mbalimbali kila siku. Hivyo basi kuna watu ambao wanajaribu kuja na wazo au kitu kipya kila siku huke wengine wakijiuliza na kusema hawawezi kubuni kitu kipya kabisa. Tofauti kati yetu na watu wengine ambao […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

Tanzania ya viwanda inavyohitaji mazingira bora kukuza ubunifu wa kiteknolojia

WIKI jana tumeona ufunguzi wa maonyesho katika Chuo Kikuu cha Sayansi na Teknolojia Mbeya. Tukio hilo muhimu lilileta pamoja wanafunzi na waalimu wa vyuo na taasisi mbalimbali za mkoa wa Mbeya kuonyesha na kujadili fursa zitokanazo na ubunifu wa kiteknolojia. 
Katika hotuba yake, Mkuu wa Kitivo cha Sayansi na Elimu ya Ufundi chuoni hapo Dkt John John aliisihi Tume ya Sayansi na Teknolojia nchini (COSTECH) kutengeneza mfuko wa fedha kutambua na kusaidia vyuo na wanafunzi katika tafiti na...

 

9 years ago

Michuzi

JE WAJUA MKATABA WAKO WA AJIRA NI WA AINA GANI KISHERIA.


Na  Bashir  Yakub
Kama  ilivyo  makubaliano  katika  shughuli  nyingine  za  kijamii  ajira  nayo  huwa  na  makubaliano  maalum  wakati   inapoingiwa. Makubaliano  haya ndiyo  huitwa  mkataba na  yumkini  huingiwa  kati  ya  wahusika  wawili  yaani  muajiriwa  na  muajiri. Aina  ya  mahusiano  wanayoingia  wahusika  ndiyo  huibua  aina za haki  na   wajibu  kwa  pande  zote  mbili. Mwenye  haki  hutakiwa  kutoa  haki  hiyo  kwa  mwenzake  naye  mwenye  wajibu  huwa  hana hiari  isipokuwa ...

 

10 years ago

Mwananchi

Utafiti: Urani inaweza kuua au kukuza uchumi nchini

Tanzania inaanza kuchimba madini ya urani katika mbuga ya wanyama ya Selous, eneo lililo chini ya udhamini wa Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughilikia mazingira maarufu kama World Heritage.

 

10 years ago

Bongo5

Fanya vitu kwa usahihi na sio vitu sahihi tu!

Inawezekana unaanza kushaangaa kuna tofauti gani kufanya vitu kwa usahihi na si kufanya vitu sahihi tu. Hiki kitu inawezekana umekutana nacho kazini kwako au siku moja utakutana nacho katika majukumu ya kila siku hapo ofisini. Mara nyingi watu tunapenda kufanya vitu sahihi ila hatujali hivyo vitu sahihi tumevifanya kwa usahihi au lah. Maeneo ya kazi […]

 

11 years ago

GPL

VIDOKEZO VINAVYOWEZA KUKUPA MAFANIKIO

Mwenyekiti Mtendaji wa Makampuni ya IPP Limited, Dk. Reginald Mengi. KILA mara nimekuwa nikiwaeleza watu wangu wa karibu kuwa maisha yako ya baadaye yanaanza na kile unachokifanya leo. Kama wewe unatamani maisha ya kitajiri, basi msingi wake unakutegemea jinsi utakavyoanza kuujenga hivi sasa. Wapo baadhi ya watu wana ndoto za maisha mazuri na ya kitajiri kwa kutegemea yaje kama wanavyoota. Wengine utawasikia ipo siku watakutana...

 

9 years ago

GPL

VYAKULA VINAVYOWEZA KUMPA HESHIMA MWANAUME FARAGHA!

Wanawake wengi walio kweye ndoa wanalalamikia uvivu wa waume zao wanapokutana faragha. Utasikia mwanamke akisema kuwa mumewe ni mchomvu hali inayomfanya wakati mwingine apate mawazo ya kumsaliti. Hiki siyo kitu kizuri na nimekuwa nikisema mara kwa mara kwamba, wanandoa wana jukumu la kushibishana chakula cha usiku bila visingizio. Kama mke au mume ana tatizo ‘sirias’ linalomfanya asiwe fiti, ni vyema jitihada zikafanyika ili...

 

5 years ago

Michuzi

LISHE BORA PAMOJA NA MAZOEZI VINAVYOWEZA KUIMARISHA KINGA YA MWILI

Poleni na majukumu ya kazi huku tukiendelea kujikinga na janga hili la ugonjwa wa  COVID-19 unaosababishwa na Virusi vya Corona

Nimeona ni vizuri  kuandika ujumbe huu mfupi kutokana na sintofahamu ya watu wengi  katika jamii yetu kuhusiana na baadhi ya vyakula kutibu ugonjwa wa COVID-19 .

Kutokana na janga hili watu wengi wamejikuta wakila kundi moja la vyakula kwa madai  ya kuuwa virusi vya  Corona. Kuna baadhi ambao wanaamini wakitumia juice za limao na tangawizi zitawasaidia kupona ugonjwa...

 

9 years ago

BBCSwahili

Je,utakubali mshahara wako kukatwa na kupewa mzazi wako?

Sera isio ya kawaida na ambayo imeanzishwa na kampuni moja nchini Uchina kwa wafanyikazi kutoa kiwango kidogo cha mishahara yao kwa wazazi wao imezua mjadala mkubwa

 

11 years ago

GPL

UMUHIMU WAKO KWA MWENZI WAKO UKO WAPI?

KUNA wakati inatokea kwenye uhusiano, mmoja wao  akadhauriwa na mpenzi wake na kuonekana wa kawaida tu. Athari kubwa zaidi katika kuonekana wa kawaida au kudharauliwa ni kuachana wakati wowote – kwa ghafla. Mara nyingi tendo la kuachana kwa wenzi wa aina hii huwa hakuna sababu kubwa sana. Jambo dogo tu linaweza kukatisha uhusiano lakini kumbe ndani kuna siri nyingine kubwa zaidi; kushuka thamani – kupoteza...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani