CUF ‘washikilia’ urais wa Ukawa
KITENDAWILI cha Chama cha Wananchi (CUF) kuridhia hoja ya Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) kusimamisha mgombea mmoja wa nafasi ya urais kwa upande wa vyama vya upinzani, kinatarajiwa kuteguliwa Jumamosi ya wiki ijayo, ambapo Baraza Kuu la Uongozi wa Taifa wa chama hicho litakaa kujadili na kutoa uamuzi.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboLIPUMBA NDIE MGOMBEA PEKEE CUF ATAKAE WAKILISHA CUF KUGOMBEA URAIS UKAWA

11 years ago
Mwananchi19 Jul
Ukawa washikilia msimamo wao
10 years ago
Michuzi
UPDATES YA UKAWA USIKU HUU: MGOMBEA URAIS WA UKAWA KUTANGAZWA NDANI YA SIKU SABA
Akizungumza na Waandishi wa Habari usiku huu,Mwenyekiti wa chama cha NCCR Mageuzi,Mh.James Mbatia amesema kuwa kuchukua muda mrefu kwa kikao hicho imetokana na kuandaa utaratibu jinsi ya kumtoa mwali wao wa Urais kwa tiketi ya UKAWA aliye bora.Amesema kuwa mkutano huo pia umechukua muda mrefu kutokana na mambo mengi ikiwemo mgawanyo wa majimbo.

Afisa Habari wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo...
10 years ago
GPL
CUF: HATUJAJITOA UKAWA
10 years ago
Habarileo16 Feb
CUF waibipu Ukawa
CHAMA cha Wananchi (CUF) kimetangaza Mwenyekiti wa Taifa wa chama hicho, Profesa Ibrahim Lipumba, kuwa ni mmoja kati ya wanachama wa chama hicho, atakayewania nafasi ya Urais.
10 years ago
TheCitizen16 Jul
CUF: Who says we’ve ditched Ukawa?
10 years ago
Mwananchi16 Jul
CUF yaiweka Ukawa pagumu
10 years ago
IPPmedia16 Jul
CUF adamant on Ukawa candidate
IPPmedia
Civic United Front deputy secretary general (Mainland), Magdalena Sakaya (L) briefs journalists in Dar es Salaam yesterday. The Civic United Front national governing council yesterday called upon the party leadership to postpone the process of naming ...
CUF defers talks on Ukawa presidential race to July 25Daily News
all 5
10 years ago
Mwananchi15 Jul
CUF yakanusha kujitoa Ukawa