Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


CUF ‘washikilia’ urais wa Ukawa

Wafuasi wa vyama vinavyounda Ukawa.KITENDAWILI cha Chama cha Wananchi (CUF) kuridhia hoja ya Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) kusimamisha mgombea mmoja wa nafasi ya urais kwa upande wa vyama vya upinzani, kinatarajiwa kuteguliwa Jumamosi ya wiki ijayo, ambapo Baraza Kuu la Uongozi wa Taifa wa chama hicho litakaa kujadili na kutoa uamuzi.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

LIPUMBA NDIE MGOMBEA PEKEE CUF ATAKAE WAKILISHA CUF KUGOMBEA URAIS UKAWA


Chama cha wananchi CUF kimesema kuwa siku ya Jumapili ya Tarehe 14 mwezi huu wa sita ndiyo siku rasmi ya kumkabidhi rasmi form ya kuomba kugombea urais wa jamhuri ya muunganoi wa Tanzania mwenyekiti wa chama hicho Profesa IBRAHIM LIPUMBA baada ya kujitokeza mwenyewe katika chama hicho kuomba nafasi hiyo licha ya chama hicho kutangaza kwa muda mrefu watu kujitokeza kutangaza nia.Naibu Mkurugenzi Uchaguzi na Mipango wa CUF, Shaweji Mketo akizngumza na wanahabari mbalimbali makao makuu ya chama...

 

11 years ago

Mwananchi

Ukawa washikilia msimamo wao

Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) umeshikilia msimamo wake kuwa uko tayari kufanya mazungumzo ya kumaliza mpasuko uliojitokeza katika Bunge Maalumu la Katiba na siyo kurudi bungeni.

 

10 years ago

Michuzi

UPDATES YA UKAWA USIKU HUU: MGOMBEA URAIS WA UKAWA KUTANGAZWA NDANI YA SIKU SABA

Umoja wa Katiba ya Wananchi UKAWA umesema kuwa mgombea wao wa Urais watamtoa baada ya siku saba.
Akizungumza na Waandishi wa Habari usiku huu,Mwenyekiti wa chama cha NCCR Mageuzi,Mh.James Mbatia amesema kuwa kuchukua muda mrefu kwa kikao hicho imetokana na kuandaa utaratibu jinsi ya kumtoa mwali wao  wa Urais kwa tiketi ya UKAWA aliye bora.Amesema kuwa mkutano huo pia umechukua muda mrefu  kutokana na mambo mengi ikiwemo mgawanyo wa majimbo.
Afisa Habari wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo...

 

10 years ago

GPL

CUF: HATUJAJITOA UKAWA

CHAMA cha Wananchi (CUF) kimesema hakikushiriki kikao cha jana cha UKAWA kutokana na sababu za kikatiba za ndani ya chama hicho na si kwamba wamejitoa. Taarifa hiyo imetolewa leo na Naibu Katibu Mkuu wa chama hicho Bara, Mhe. Magdalena Sakaya aliyesema kuwa kwa sasa wamekuwa na vikao vinavyojadili kwa upana juu ya namna watakavyogawana madaraka endapo wakishinda uchaguzi mkuu wa mwezi Oktoba. Sakaya amesema wanachokifanya ni sawa...

 

10 years ago

Habarileo

CUF waibipu Ukawa

Mwenyekiti wa CUF, Profesa Ibrahim Lipumba.CHAMA cha Wananchi (CUF) kimetangaza Mwenyekiti wa Taifa wa chama hicho, Profesa Ibrahim Lipumba, kuwa ni mmoja kati ya wanachama wa chama hicho, atakayewania nafasi ya Urais.

 

10 years ago

TheCitizen

CUF: Who says we’ve ditched Ukawa?

Dar es Salaam. The Civic United Front (CUF) yesterday sent conflicting signals saying though it was still an active member of the Coalition of People’s Constitution (Ukawa), the decision on whether it will continue working with the other opposition parties who comprise this grouping would be made by its supreme council.

 

10 years ago

Mwananchi

CUF yaiweka Ukawa pagumu

Baraza Kuu la Uongozi wa Taifa la Chama cha Wananchi (CUF), limeutaka uongozi wa chama hicho kusitisha uamuzi wa kumpata mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia vyama vinavyounda Ukawa hadi suala hilo litakapojadiliwa kikatiba ndani ya chama hicho Julai 25.

 

10 years ago

IPPmedia

CUF adamant on Ukawa candidate


CUF adamant on Ukawa candidate
IPPmedia
Civic United Front deputy secretary general (Mainland), Magdalena Sakaya (L) briefs journalists in Dar es Salaam yesterday. The Civic United Front national governing council yesterday called upon the party leadership to postpone the process of naming ...
CUF defers talks on Ukawa presidential race to July 25Daily News

all 5

 

10 years ago

Mwananchi

CUF yakanusha kujitoa Ukawa

>Chama cha Wananchi CUF kimekanusha taarifa zilizoenea kuwa kimejitoa kwenye Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) CUF imesema kuwa haikuhudhuria katika kikao cha Ukawa kilichoendelea jana kwa sababu kwanza hawakupata taarifa na pia walikuwa na kikao cha ndani ya chama kama katiba yao inavyotaka.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani