Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Dah!

Chelsea dented Liverpool's dream of a first title in 24 years and kept their own Premier League hopes alive with victory at Anfield. The Blues led on the stroke of half-time when Reds captain Steven Gerrard slipped, allowing Demba Ba to finish. Joe Allen and Luis Suarez forced saves after the break, before substitute Willian scored in injury time after Fernando Torres unselfishly squared. The win moves Chelsea to within two points of their league-leading hosts.

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Dah, kunijua ndiyo unanizingua?

Kuna teminoloji moja ya kitasha huwa naizimia sana kutokana na jinsi ilivyokaa kiukweli ingawa ukiicheki kimagumashi inaweza kuwa teminoloji ya kinoko kuliko zote ambazo umewahi kuzisikia mwanangu mwenyewe. Si unajua wenzetu tena faza?

 

10 years ago

GPL

DAH SHEMEJI FAIZA, UNATUANGUSHA!

MIAKA mitatu iliyopita nilimuona kwa mara ya kwanza huyu dada anayeitwa Faiza Ally, hotelini De France, pale Sinza jijini Dar es Salaam. Aliyenikutanisha naye ni Joseph Mbilinyi, Mbunge wa Mbeya Mjini kupitia Chadema. Mbilinyi, mkongwe wa Hip Hop aliye miongoni mwa alama za Bongo Fleva, ambaye wengi tunamfahamu zaidi kama Sugu, ni mmoja kati ya mastaa niliopata kuwa nao karibu, hata baada ya kazi. Alinitambulisha kwake kama...

 

10 years ago

GPL

DAH, JIMBONI KWA BOSI NOMA!

MWILI wote unauma, macho yanawasha kwa usingizi na kila nikikumbuka kuwa na leo usiku zoezi linarudia tena hamu sina. Juzi bosi kanambia nimdraiv anataka kwenda kutembelea ndugu zake kijijini kwao. Unajua ameshaanza matayarisho ya kugombea Ubunge baadaye mwaka huu, sijui kwa nini anapoamua kuja huku hasemi naenda jimboni kwangu anajidai anaenda kutembelea ndugu zake. Najua akishinda ubunge hawezi tena kusema anaenda kusalimia...

 

10 years ago

GPL

DAH, USILOLIJUA KAMA USIKU WA KIZA!

YAMEMKUTA jamaa yangu wa karibu sana, hana raha kabisaa. Ile methali ya kusema usilolijua halikusumbui, ndugu yangu kaigundua kuwa ni ya kweli. Mimi kwa kweli namuonea huruma. Naomba na wengine mtakaoisikia jifunzeni kutokupekua mambo yaliyopita, au kuuliza maswali magumu unaweza kupata majibu magumu. Sasa angalia jamaa yangu yuko hapa kwangu analia kakonda kwa muda wa nusu siku tu na hajui maisha yataendeleaje. Jamaa yangu yuko...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani