Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


DAH, USILOLIJUA KAMA USIKU WA KIZA!

YAMEMKUTA jamaa yangu wa karibu sana, hana raha kabisaa. Ile methali ya kusema usilolijua halikusumbui, ndugu yangu kaigundua kuwa ni ya kweli. Mimi kwa kweli namuonea huruma. Naomba na wengine mtakaoisikia jifunzeni kutokupekua mambo yaliyopita, au kuuliza maswali magumu unaweza kupata majibu magumu. Sasa angalia jamaa yangu yuko hapa kwangu analia kakonda kwa muda wa nusu siku tu na hajui maisha yataendeleaje. Jamaa yangu yuko...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Bella aitikisa DARLIVE usiku wa nani kama Mama

DALLIVE15

Mfalme wa masauti, Christian Bella ‘Obama’ akifanya yake usiku wa kuamkia leo Uwanja wa Taifa wa Burudani, Dar Live uliopo Mbagala-Zakhem jijini Dar.

DALLIVE2

Nyomi ya mashabiki walijitokeza katika uzinduzi wa albamu yake mpya ya Nani Kama Mama ndani ya Uwanja wa Taifa wa Burudani, Dar Live.

Madansa wa Malaika Music bendi wakifanya yao.

Mashabiki wakicheza na Christian Bella ‘Obama’.

DALLIVE3

Mashabiki wakiwa wamepagawa na shoo ya mfalme wa masauti, Christian Bella ‘Obama’ (hayupo pichani).

Christian...

 

10 years ago

Tanzania Daima

‘Usiku wa Nani Kama Mama’ wampa uchungu Dimpoz

NYOTA wa muziki wa kizazi kipya nchini, Omary Nyembo ‘Ommy Dimpoz’ amesema mashairi aliyoimba katika wimbo wa ‘Nani Kama Mama’ alioshirikishwa na Christian Bella aliandika akiwa anamaanisha. Akizungumza jijini Dar...

 

10 years ago

GPL

BELLA AITIKISA DAR LIVE USIKU WA NANI KAMA MAMA

Mfalme wa masauti, Christian Bella ‘Obama’ akifanya yake usiku wa kuamkia leo Uwanja wa Taifa wa Burudani, Dar Live uliopo Mbagala-Zakhem jijini Dar. Nyomi ya mashabiki walijitokeza katika uzinduzi wa albamu yake mpya ya Nani Kama Mama ndani ya Uwanja wa Taifa wa Burudani, Dar Live.…

 

9 years ago

Mwananchi

Usajili Yanga bado kiza

Kocha wa Yanga, Hans Pluijm bado ana kigugumizi cha kufanya usajili katika kipindi hiki kutokana na klabu kukabiliwa na vikwazo vikubwa viwili.

 

10 years ago

GPL

USIKU WA NANI KAMA MAMA DAR LIVE BELLA KUWEKA HISTORIA LEO

DAR ES SALAAM,  Tanzania
YAMETIMIA! Baada ya kusubiriwa kwa hamu na wapenzi wa burudani, hatimaye leo, Desemba 6, mfalme wa masauti, Christian Bella ‘Obama’, anatarajiwa kuweka historia mpya katika uzinduzi wa albamu yake mpya ya Nani Kama Mama ndani ya Uwanja wa Taifa wa Burudani, Dar Live uliopo Mbagala-Zakhem jijini Dar. Mfalme wa masauti, Christian Bella ‘Obama’. Meneja wa Bella, Amiri Marusu,...

 

10 years ago

GPL

USIKU WA NANI KAMA MAMA DAR LIVE... BELLA KUWEKA HISTORIA MPYA

Stori: Showbiz WAKATI siku zikizidi kukatika kuelekea Desemba 6, katika ule Usiku wa Nani Kama Mama ndani ya Uwanja wa Taifa wa Burudani, Dar Live uliopo Mbagala-Zakhem, jijini Dar ambapo Mfalme wa Masauti, Christian Bella ‘Obama’ anatarajiwa kuweka historia mpya ndani ya ukumbi huo. Mfalme wa Masauti, Christian Bella ‘Obama’. Akipiga stori na Showbiz, Meneja wa Bella, Amiri Marusu aliongelea usiku huo...

 

11 years ago

Michuzi

Dah!

Chelsea dented Liverpool's dream of a first title in 24 years and kept their own Premier League hopes alive with victory at Anfield. The Blues led on the stroke of half-time when Reds captain Steven Gerrard slipped, allowing Demba Ba to finish. Joe Allen and Luis Suarez forced saves after the break, before substitute Willian scored in injury time after Fernando Torres unselfishly squared. The win moves Chelsea to within two points of their league-leading hosts.

 

10 years ago

Mwananchi

Viwanja vya Nyamagana, Kaitaba bado kiza

Miradi ya upandaji nyasi bandia kwenye viwanja vya Nyamagana, Mwanza na Kaitaba mkoani Kagera imekwama kutokana na Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kukosa fedha za kulipia nyasi hizo zilizokwama bandarini.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani