Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Viwanja vya Nyamagana, Kaitaba bado kiza

Miradi ya upandaji nyasi bandia kwenye viwanja vya Nyamagana, Mwanza na Kaitaba mkoani Kagera imekwama kutokana na Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kukosa fedha za kulipia nyasi hizo zilizokwama bandarini.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Vijimambo

PICHA KUTOKA JIMBO LA NYAMAGANA VIWANJA VYA MILONGO MKOANI MWANZA

Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akihutubia wakazi wa Milongo mkoani Mwanza kwenye mkutano wa kampeni za CCM.
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akihutubia wakazi wa Milongo mkoani Mwanza kwenye mkutano wa kampeni za CCM ambapo aliwaeleza wananchi hao kuwa CCM imewaletea Rais mchapakazi, mwenye rkodi nzuri ya ufuatiliaji na anayechukia rushwa.Mgombea ubunge wa jimbo la Nyamagana Ndugu Stanslaus Mabula akihutubia wakazi wa Milongo kwenye mkutano wa kampeni za Chama Cha...

 

11 years ago

TheCitizen

Kaitaba, Nyamagana set for artificial turf

Plans to install artificial turf at Nyamagana and Kaitaba venues are now on course following the arrival of an expert from the world football governing body (Fifa), Ian McClemen.

 

9 years ago

Mwananchi

Usajili Yanga bado kiza

Kocha wa Yanga, Hans Pluijm bado ana kigugumizi cha kufanya usajili katika kipindi hiki kutokana na klabu kukabiliwa na vikwazo vikubwa viwili.

 

11 years ago

Mwananchi

‘Hakuna vifaa vya kugundua ‘unga’ viwanja vya Ndege’

 Mwakilishi wa Viti Maalumu, Marina Joo Tomasi amesema Uwanja wa Ndege wa Zanzibar, hauna mashine za kutambua dawa za kulevya na akaitaka Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) kuachana na kujenga vituo kurekebisha tabia na badala yake wazidishe ulinzi bandarini na kwenye viwanja vya ndege.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Abiria kuvaa barakoa na glovu katika viwanja vya ndege

Abiria wanaosafiri katika viwanja kadhaa vya ndege vya Uingereza sasa watahitajika kuvalia barakoa na glavu kwa sababu ya maradhi ya Covid- kumi na tisa

 

11 years ago

Mwananchi

Viwanja vya michezo vya shule virudishwe

Mara nyingi tumeandika kwamba Serikali inatakiwa kuhakikisha shule zote, kuanzia za awali, msingi na sekondari zinakuwa na viwanja vya michezo mbalimbali kwa sababu michezo ni sehemu ya mtaala wa masomo, ambapo mwanafunzi anatakiwa afanye bidii katika masomo darasani na kufanya bidii katika michezo.

 

10 years ago

Dewji Blog

Vifaa vya kupima Ebola kupitia joto la mwili vyawasili nchini, kuanza kutumika viwanja vya ndege

Ebola - 4

Naibu Waziri wa Afya Dkt. Kebwe Steven Kebwe akiongea na waandishi wa habari eneo la uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere wakati wa kupokea na kukabidhi vifaa vya kupima dalili za ugonjwa wa Ebola. Wengine ni Mkurugenzi Msaidizi wa Kitengo cha Dharula na Maafa (kulia) na Kaimu Mkurugenzi wa Bohari ya Dawa (MSD), Cosmas Mwaifani.

Na. Aron Msigwa –MAELEZO.

 Sehemu ya vifaa vya kubaini hatua za awali za ugonjwa wa Ebola kwa kupima hali ya joto la mwili kwa wasafiri kutoka nje...

 

9 years ago

StarTV

Ukosefu wa vyombo vya ufuatiliaji vitendo vya unyanyasaji  bado ni changamoto

Licha ya kuwepo kwa sheria ya kumlinda mtoto dhidi ya unyanyasaji imebainika kuwa kuna tatizo kubwa la kukosekana kwa vyombo maalumu vya ufuatiliaji wa vitendo hivyo kuanzia ngazi ya majumbani ili kuwabaini wanaotenda makosa hayo na kuchukuliwa hatua za kisheria.

Vitendo vya unyanyasaji vimekuwa vikibomoa msingi imara ambao watoto wanahitaji ili wawe na afya bora na maisha yenye tija lakini pia vinasigana na haki ya msingi ya watoto kuishi salama utotoni.

Pamoja na kudaiwa kupungua kwa...

 

10 years ago

GPL

VIFAA VYA KUBAINI DALILI ZA AWALI ZA UGONJWA WA EBOLA KUPITIA JOTO LA MWILI VYAWASILI NCHINI, KUANZA KUTUMIKA VIWANJA VYA NDEGE

Naibu Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dkt. Kebwe Steven Kebwe (kulia) akimkabidhi Mkurugenzi wa Afya na Usafi wa Mazingira wa Wizara ya Afya na Ustawi Dkt. Elias Chinamo moja ya kifaa (kamera) itakayotumika kupima dalili za ugonjwa wa Ebola kwa wasafiri wanaoingia nchini kupitia viwanja vya ndege ili kuhakikisha kuwa wananchi wanakuwa salama kwa kuuzuia ugonjwa huo kuingia nchini.… ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani