Viwanja vya Nyamagana, Kaitaba bado kiza
Miradi ya upandaji nyasi bandia kwenye viwanja vya Nyamagana, Mwanza na Kaitaba mkoani Kagera imekwama kutokana na Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kukosa fedha za kulipia nyasi hizo zilizokwama bandarini.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-sFsKadoNSq4/VhYvvuJbqqI/AAAAAAAApns/2XLyOOtRt7g/s72-c/Screen%2BShot%2B2015-10-07%2Bat%2B6.56.20%2BPM.png)
PICHA KUTOKA JIMBO LA NYAMAGANA VIWANJA VYA MILONGO MKOANI MWANZA
![](http://3.bp.blogspot.com/-sFsKadoNSq4/VhYvvuJbqqI/AAAAAAAApns/2XLyOOtRt7g/s640/Screen%2BShot%2B2015-10-07%2Bat%2B6.56.20%2BPM.png)
![](http://1.bp.blogspot.com/-6Ga9fC1vGmM/VhYvx-wojDI/AAAAAAAApn0/mn9pLJhE8zg/s640/Screen%2BShot%2B2015-10-07%2Bat%2B6.57.28%2BPM.png)
![](http://2.bp.blogspot.com/-QmN-t46evNk/VhYv1NGmd_I/AAAAAAAApn8/YWhWUUvmeN0/s640/Screen%2BShot%2B2015-10-07%2Bat%2B6.58.18%2BPM.png)
![](http://1.bp.blogspot.com/-1Cs2n11UYVo/VhYv3rlWDXI/AAAAAAAApoE/frb6wSEgUwk/s640/Screen%2BShot%2B2015-10-07%2Bat%2B6.59.08%2BPM.png)
![](http://1.bp.blogspot.com/-fBK-LC6oD-Y/VhYv5yOFdQI/AAAAAAAApoM/5xKX2bTJn3U/s640/Screen%2BShot%2B2015-10-07%2Bat%2B7.04.42%2BPM.png)
![](http://2.bp.blogspot.com/-1xnChHw3O-c/VhYwlT8K_OI/AAAAAAAApoc/XPDKTpPAPrc/s640/Screen%2BShot%2B2015-10-07%2Bat%2B7.01.17%2BPM.png)
![](http://2.bp.blogspot.com/-sbMTVxr2Fe8/VhYwfsZluVI/AAAAAAAApoU/xpHocTVVC9o/s640/Screen%2BShot%2B2015-10-07%2Bat%2B7.02.13%2BPM.png)
![](http://1.bp.blogspot.com/-fff9r9yJzXI/VhYwl7wa_nI/AAAAAAAApog/csoo2b9SG4w/s640/Screen%2BShot%2B2015-10-07%2Bat%2B7.03.15%2BPM.png)
11 years ago
TheCitizen05 May
Kaitaba, Nyamagana set for artificial turf
9 years ago
Mwananchi23 Nov
Usajili Yanga bado kiza
11 years ago
Mwananchi27 May
‘Hakuna vifaa vya kugundua ‘unga’ viwanja vya Ndege’
5 years ago
BBCSwahili08 May
Virusi vya corona: Abiria kuvaa barakoa na glovu katika viwanja vya ndege
11 years ago
Mwananchi17 Feb
Viwanja vya michezo vya shule virudishwe
10 years ago
Dewji Blog23 Aug
Vifaa vya kupima Ebola kupitia joto la mwili vyawasili nchini, kuanza kutumika viwanja vya ndege
Naibu Waziri wa Afya Dkt. Kebwe Steven Kebwe akiongea na waandishi wa habari eneo la uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere wakati wa kupokea na kukabidhi vifaa vya kupima dalili za ugonjwa wa Ebola. Wengine ni Mkurugenzi Msaidizi wa Kitengo cha Dharula na Maafa (kulia) na Kaimu Mkurugenzi wa Bohari ya Dawa (MSD), Cosmas Mwaifani.
Na. Aron Msigwa –MAELEZO.
Sehemu ya vifaa vya kubaini hatua za awali za ugonjwa wa Ebola kwa kupima hali ya joto la mwili kwa wasafiri kutoka nje...
9 years ago
StarTV04 Jan
Ukosefu wa vyombo vya ufuatiliaji vitendo vya unyanyasaji  bado ni changamoto
Licha ya kuwepo kwa sheria ya kumlinda mtoto dhidi ya unyanyasaji imebainika kuwa kuna tatizo kubwa la kukosekana kwa vyombo maalumu vya ufuatiliaji wa vitendo hivyo kuanzia ngazi ya majumbani ili kuwabaini wanaotenda makosa hayo na kuchukuliwa hatua za kisheria.
Vitendo vya unyanyasaji vimekuwa vikibomoa msingi imara ambao watoto wanahitaji ili wawe na afya bora na maisha yenye tija lakini pia vinasigana na haki ya msingi ya watoto kuishi salama utotoni.
Pamoja na kudaiwa kupungua kwa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/k597Gy8eW*VZcZvMzK4F-sZbGzsUxm-G0-U-8wJkMrnFZCRKSk7HWhjZpNfS88gyhtNOf1wLOBuD9WDKT1Ws8SPmMS0EFP9S/unnamed3.jpg?width=650)
VIFAA VYA KUBAINI DALILI ZA AWALI ZA UGONJWA WA EBOLA KUPITIA JOTO LA MWILI VYAWASILI NCHINI, KUANZA KUTUMIKA VIWANJA VYA NDEGE