DAH, JIMBONI KWA BOSI NOMA!
![](http://api.ning.com:80/files/O3p1FaWf5AcQT3v5YMV07wQpKR53SmCsHvEe-xGe9aCxt7-RBvUz9Mn9iWl3fbA1nZkBmkY7JrDCKEn8hnviP8Yq2SM5OI2r/CHEKANAKITIME.jpg)
MWILI wote unauma, macho yanawasha kwa usingizi na kila nikikumbuka kuwa na leo usiku zoezi linarudia tena hamu sina. Juzi bosi kanambia nimdraiv anataka kwenda kutembelea ndugu zake kijijini kwao. Unajua ameshaanza matayarisho ya kugombea Ubunge baadaye mwaka huu, sijui kwa nini anapoamua kuja huku hasemi naenda jimboni kwangu anajidai anaenda kutembelea ndugu zake. Najua akishinda ubunge hawezi tena kusema anaenda kusalimia...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/szrS1FfaDDJ1AxM30qrOZWwQz1EYXtyv-36NrKDLEkQ77thGg8LbPNO122QCUL3kYYR8hUQ6cVRyJi6evvNH8NDeTRp9MpBZ/noma.jpg)
FIESTA 2014: KAMA NOMA NA IWE NOMA!
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-4_ijrXhvF-8/U10ihxOGrBI/AAAAAAAFdew/_bdk4jPuNZc/s72-c/_74474189_74474188.jpg)
Dah!
![](http://2.bp.blogspot.com/-4_ijrXhvF-8/U10ihxOGrBI/AAAAAAAFdew/_bdk4jPuNZc/s1600/_74474189_74474188.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/BMX2CDnBHSIEczhAg73wJQDyGGYfq6Jewza7PfKfwvqZDQk7gNbxH8Rc2x42zNXwG3gYzHtRZHtaZOAJEvG2ZFTcBa1RJ8uT/12.gif?width=650)
Yanga noma, yatua kwa ndugu wa Adebayor
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/*whl3J3XpWS1c2QXFmYSlSnVTjrmG8Fh8P-tWEfPaKMwgsPvIS3hVRV66YKZqhw9sPFnFkWEdgbtJCtGyXnUioUKyMg9NpJF/bosi.jpg?width=650)
BOSI ALIVYONUSURIKA KUUAWA KWA RISASI
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/3QgTREgG9e*6WIIoAsLGKQFQ-jyiwQDXQwNQ20lX1wYAEocl0Ulblo6C0-R-nizL6UA8tHcN4-nDFmSrOg9WFNKw1Zewvohy/MAMAWEMA.jpg?width=650)
DAH SHEMEJI FAIZA, UNATUANGUSHA!
10 years ago
Mwananchi17 Jan
Dah, kunijua ndiyo unanizingua?
9 years ago
Global Publishers05 Jan
Bosi zantel azikwa kwa tamko zito!
Jeneza lililobeba mwili wa marehemu likiwa Kanisani kwa ajili ya kuombewa.
Na Waandishi Wetu, UWAZI
DAR ES SALAAM: Tamko zito limetolewa na waombolezaji kufuatia kifo cha bosi wa Kitengo cha Huduma kwa Wateja wa Kampuni ya Zanzibar Telecom Limited (Zantel), Gabriel Kamukara, 39, (pichani) kuuawa kwa kupigwa risasi na watu wanaosadikiwa kuwa ni majambazi.
Kamukara alipigwa risasi Desemba 22, mwaka jana eneo la Barabara ya Cocacola jijini Dar na kuporwa shilingi milioni 10 alizotoka...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/JeioNtmyO2bbxM2lovJu3qekSJ0I-kuWGxlDs7f8h6C65-KGXVw3bkv9AzyudTdbORbiAf*GJZv9rb3jXqd4ALXtxxsKtGuZ/CHEKANAKITIME.jpg)
DAH, USILOLIJUA KAMA USIKU WA KIZA!
11 years ago
Uhuru Newspaper07 Aug
Ofisa Usalama kizimbani kwa mauaji ya bosi wake
NA FURAHA OMARY
OFISA Usalama wa Taifa, Mohammed Kazembe, anayetuhumiwa kumuua bosi wake, amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, kwa shitaka la mauaji, akiwa hoi hajiwezi.
Kazembe (33), alifikishwa mahakamani hapo jana asubuhi, akiwa amebebwa na watu wawili huku mguu wake wa kushoto ukiwa umefungwa bandeji kutoka kwenye kisigino hadi ugokoni na mkononi alikuwa na njia ya kuwekea dripu ya maji.
Mshitakiwa huyo, mkazi wa Mwananyamala, ambaye hakuwa na uwezo wowote wa...