Dah, kunijua ndiyo unanizingua?
Kuna teminoloji moja ya kitasha huwa naizimia sana kutokana na jinsi ilivyokaa kiukweli ingawa ukiicheki kimagumashi inaweza kuwa teminoloji ya kinoko kuliko zote ambazo umewahi kuzisikia mwanangu mwenyewe. Si unajua wenzetu tena faza?
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-4_ijrXhvF-8/U10ihxOGrBI/AAAAAAAFdew/_bdk4jPuNZc/s72-c/_74474189_74474188.jpg)
Dah!
![](http://2.bp.blogspot.com/-4_ijrXhvF-8/U10ihxOGrBI/AAAAAAAFdew/_bdk4jPuNZc/s1600/_74474189_74474188.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/3QgTREgG9e*6WIIoAsLGKQFQ-jyiwQDXQwNQ20lX1wYAEocl0Ulblo6C0-R-nizL6UA8tHcN4-nDFmSrOg9WFNKw1Zewvohy/MAMAWEMA.jpg?width=650)
DAH SHEMEJI FAIZA, UNATUANGUSHA!
MIAKA mitatu iliyopita nilimuona kwa mara ya kwanza huyu dada anayeitwa Faiza Ally, hotelini De France, pale Sinza jijini Dar es Salaam. Aliyenikutanisha naye ni Joseph Mbilinyi, Mbunge wa Mbeya Mjini kupitia Chadema. Mbilinyi, mkongwe wa Hip Hop aliye miongoni mwa alama za Bongo Fleva, ambaye wengi tunamfahamu zaidi kama Sugu, ni mmoja kati ya mastaa niliopata kuwa nao karibu, hata baada ya kazi. Alinitambulisha kwake kama...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/O3p1FaWf5AcQT3v5YMV07wQpKR53SmCsHvEe-xGe9aCxt7-RBvUz9Mn9iWl3fbA1nZkBmkY7JrDCKEn8hnviP8Yq2SM5OI2r/CHEKANAKITIME.jpg)
DAH, JIMBONI KWA BOSI NOMA!
MWILI wote unauma, macho yanawasha kwa usingizi na kila nikikumbuka kuwa na leo usiku zoezi linarudia tena hamu sina. Juzi bosi kanambia nimdraiv anataka kwenda kutembelea ndugu zake kijijini kwao. Unajua ameshaanza matayarisho ya kugombea Ubunge baadaye mwaka huu, sijui kwa nini anapoamua kuja huku hasemi naenda jimboni kwangu anajidai anaenda kutembelea ndugu zake. Najua akishinda ubunge hawezi tena kusema anaenda kusalimia...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/JeioNtmyO2bbxM2lovJu3qekSJ0I-kuWGxlDs7f8h6C65-KGXVw3bkv9AzyudTdbORbiAf*GJZv9rb3jXqd4ALXtxxsKtGuZ/CHEKANAKITIME.jpg)
DAH, USILOLIJUA KAMA USIKU WA KIZA!
YAMEMKUTA jamaa yangu wa karibu sana, hana raha kabisaa. Ile methali ya kusema usilolijua halikusumbui, ndugu yangu kaigundua kuwa ni ya kweli. Mimi kwa kweli namuonea huruma. Naomba na wengine mtakaoisikia jifunzeni kutokupekua mambo yaliyopita, au kuuliza maswali magumu unaweza kupata majibu magumu. Sasa angalia jamaa yangu yuko hapa kwangu analia kakonda kwa muda wa nusu siku tu na hajui maisha yataendeleaje. Jamaa yangu yuko...
10 years ago
Mwananchi11 Jun
Sumaye kwake ndiyo ni ndiyo
Wakazi wa Hanang’ wana maneno tofauti ya kumsifu na kumshukuru Waziri Mkuu mstaafu, Frederick Sumaye ambaye alikuwa mbunge wa Hanang kwa miaka 20 mfululizo.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania