Daktari asisitiza saratani inatibika
KAIMU Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Saratani ya Ocean Road, Dk Diwani Msemo amesema kuna umuhimu wa jamii kutambua kuwa saratani inatibika.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziDAKTARI BINGWA WA MAGONJWA YA SARATANI YA MATITI KUTOKA INDIA ATOA SEMINA YA UGONJWA HUO JIJINI DAR
ULAJI wa nyama nyekundu imeelezwa uchangia kwa kiasi kikubwa kupatwa na ugonjwa wa saratani ya matiti ambao umekuwa ni tishio duniani.
Hayo yalibainishwa na Daktari bingwa wa ugonjwa wa saratani ya matiti Profesa Anthony Pais kutoka Bangarole India katika semina ya siku moja kwa madaktari wa Tanzania na wadau wa sekta ya afya iliyofanyika Dar es Salaam juzi.
“Ulaji wa nyama nyekundu na vyakula vyenye mafuta unachangia kwa kiasi kikubwa kupata ugonjwa huo ambao umekuwa tishio...
9 years ago
Mwananchi28 Aug
Bawasiri inatibika kwa njia za kisayansi
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-QXIIoSI6nbc/U5SbiZp5oWI/AAAAAAAFpAY/h9YIonXjV80/s72-c/tbr7.jpg)
Rais Kikwete azindua huduma za uchunguzi wa saratani ya mlango wa kizazi na saratani ya matiti Mkoani Tabora
![](http://4.bp.blogspot.com/-QXIIoSI6nbc/U5SbiZp5oWI/AAAAAAAFpAY/h9YIonXjV80/s1600/tbr7.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-CiBi1_fdBOQ/U5SbxpbgT_I/AAAAAAAFpAk/1cQtJRg3LiU/s1600/tbr8.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-iYYrbJWmS3w/U5SbxuiQx2I/AAAAAAAFpAg/F-uVi2Fi9p8/s1600/tbr6.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-Vr2pW1Irbog/U5ScG76Ga6I/AAAAAAAFpAw/CFLGEbAxZCI/s1600/tbr1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-d1HDHIIyWTE/U5ScuHNl9aI/AAAAAAAFpBI/E1RtH2vHR1o/s1600/tbr5.jpg)
10 years ago
Michuzi06 Feb
Benki ya Exim yaadhimisha Siku ya Saratani Duniani na Watoto wenye Saratani Hospitali ya Taifa Muhimbili
![exim1](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/02/exim1.jpg)
9 years ago
Habarileo10 Sep
JK asisitiza uchaguzi wa amani
TANZANIA imeendelea kusisitiza kuwa, Uchaguzi Mkuu wa Rais, Wabunge, Wawakilishi, Madiwani na Masheha unaotarajiwa kufanyika Oktoba 25, mwaka huu utafanyika kwa amani na utulivu ambapo Watanzania watakuwa na uhuru wa kupiga kura bila woga kuwachagua viongozi wanaowataka.
9 years ago
Habarileo09 Sep
Migiro asisitiza amani
WAZIRI wa Katiba na Sheria, Dk Asha-Rose Migiro, amewataka Watanzania kukataa kugawanywa kwa misingi ya dini na itikadi za vyama vya siasa, badala yake waendelee kulinda amani taifa livuke salama katika uchaguzi mkuu.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/4O6eIqcn6-7a-qy-7*oMkNTXRiqijA3LR-sEhj0Fv*aH10EtsFPeRZENGgUy63GHax-JObGdEel9DaB4-xuG8FxDnfaX11h9/FRONT.jpg?width=650)
DAKTARI, MGONJWA...
9 years ago
Mtanzania31 Aug
Zitoto asisitiza mabadiliko nchini
NA SHABANI MATUTU, DAR ES SALAAM
KIONGOZI wa Chama Cha ACT-Wazelendo, Zitto Kabwe, amesema ni vigumu Watanzania kupata mabadiliko kwa viongozi walewale waliowahi kushiriki kuinyonya wakiwa mawaziri wakuu ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM).
Alisema Tanzania inapoteza Sh bilioni 900 kwa kila mwaka kwa wafanyabiashara wakubwa wachache wanaotumia ulaghai kukwepa kodi.
Zitto alikuwa akuzungumza kwenye mkutano wa uzinduzi wa kampeni ya uchaguzi ya chama hicho uliofanyika kwenye viwanja vya Zakhem,...
10 years ago
Habarileo08 Jul
Asisitiza umuhimu wa takwimu sahihi
MKURUGENZI Mkuu wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu, Dk Albina Chuwa amesisitiza umuhimu wa kuwa na takwimu sahihi za mazingira ili kuepuka madhara yatokanayo na mabadiliko ya tabia nchi.