Zitoto asisitiza mabadiliko nchini
NA SHABANI MATUTU, DAR ES SALAAM
KIONGOZI wa Chama Cha ACT-Wazelendo, Zitto Kabwe, amesema ni vigumu Watanzania kupata mabadiliko kwa viongozi walewale waliowahi kushiriki kuinyonya wakiwa mawaziri wakuu ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM).
Alisema Tanzania inapoteza Sh bilioni 900 kwa kila mwaka kwa wafanyabiashara wakubwa wachache wanaotumia ulaghai kukwepa kodi.
Zitto alikuwa akuzungumza kwenye mkutano wa uzinduzi wa kampeni ya uchaguzi ya chama hicho uliofanyika kwenye viwanja vya Zakhem,...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-GykVw44HF_Y/XufiPYaL0TI/AAAAAAALt9w/C7WNEcIWcDkwxesEh48Z1p_2n0LKaYZXQCLcBGAsYHQ/s72-c/JPEG.-NA.-1.jpg)
Dkt. Chaula aahidi kuleta mabadiliko Sekta ya Mawasiliano, asisitiza uwajibikaji na mahusiano bora kazini
![](https://1.bp.blogspot.com/-GykVw44HF_Y/XufiPYaL0TI/AAAAAAALt9w/C7WNEcIWcDkwxesEh48Z1p_2n0LKaYZXQCLcBGAsYHQ/s640/JPEG.-NA.-1.jpg)
Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano (Sekta ya Mawasiliano), Dkt. Zainabu Chaula akizungumza na wafanyakazi wa Sekta yake katika kikao cha wafanyakazi kilichofanyika kwenye ukumbi wa TBA, Dodoma. Kushoto kwake ni Naibu Katibu Mkuu, Dkt. Jim Yonazi na kulia kwake ni Mkurugenzi wa Utumishi na Rasilimali Watu, Kitolina Kippa.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/JPEG.-NA.-2.jpg)
Mwenyekiti wa TUGHE Tawi la Mawasiliano, Bi Laurencia Masigo, akiwasilisha hoja za wafanyakazi kwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na...
10 years ago
MichuziVIONGOZI NCHINI WATAKIWA KUSHIRIKI MKUTANO MABADILIKO YA TABIA YA NCHI NCHINI ETHIOPIA
VIONGOZI nchini wametakiwa kushiriki katika mkutano wa mabadiliko ya tabia ya nchi utakaofanyika Julai 13 na 16 Addis Ababa Ethiopia.
Akizungumza na waandishi wa habari leo jijini Dar es Salaam,Mratibu wa Mtandao wa Mabadiliko ya Tabia ya Nchi (CAN),Sixsbaty Mwanga amesema mkutano huo ni muhimu kutokana hali iliyopo sasa katika mabadiliko ya tabia ya nchi kwa kuongezeka ukame ,njaa pamoja na mafuriko, hivyo viongozi wanaweza kushawishi mkutano katika kuongeza...
10 years ago
MichuziWAZIRI MEMBE ASISITIZA UMUHIMU WA VIWANDA NCHINI
Mhe. Membe alipongeza uamuzi wa Serikali ya Jamhuri ya Watu wa China kuichagua Tanzania kuwa miongoni mwa nchi tatu za Afrika itakapohamishia baadhi ya viwanda vyake, akazitaka taasisi za uwekezaji na uendelezaji wa viwanda kuweka mikakati madhubuti ya kutumia fursa hiyo...
11 years ago
Tanzania Daima02 Apr
Waziri asisitiza utunzaji vyanzo vya maji nchini
SERIKALI imesisitiza umuhimu wa utunzaji wa vyanzo vya maji kwa faida ya ustawi wa wananchi na maendeleo ya uchumi wa taifa kwa ujumla. Kauli hiyo ilitolewa hivi karibuni mjini hapa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-0RYL_oJe_ZM/Xmd8zP17XvI/AAAAAAALiYc/xdKBAMz1EvIglmRYd96X7eONsYzhrOqdwCLcBGAsYHQ/s72-c/Ole%2BGabi.jpg)
KATIBU MKUU ASISITIZA UFUGAJI WENYE TIJA NCHINI
![](https://1.bp.blogspot.com/-0RYL_oJe_ZM/Xmd8zP17XvI/AAAAAAALiYc/xdKBAMz1EvIglmRYd96X7eONsYzhrOqdwCLcBGAsYHQ/s640/Ole%2BGabi.jpg)
Alisema kuwa mfugaji akiweza kubadilika na kufuga kisayansi kwa maana ya kufuga kwa tija na akaanza kupata mazao ya mifugo yaliyo bora, ndipo hapo atakapofaidika na kazi yake ya ufugaji.
Katibu Mkuu ametoa wito huo leo...
11 years ago
Michuzi03 Feb
Adam Mlima asisitiza umuhim wa mashine za EFD kwa wafanyabiashara nchini.
![](https://2.bp.blogspot.com/-qHurNV60oEY/Uu427IuivBI/AAAAAAACoFk/tb_8pCCMulw/s1600/113.jpg)
![](https://3.bp.blogspot.com/-A3bWdi8imd4/Uu423oBk4lI/AAAAAAACoE8/GizaFVkp7VA/s1600/33.jpg)
![](https://2.bp.blogspot.com/-cKBcNE-N-aE/Uu422l84d4I/AAAAAAACoE4/jcgc8DZ5l3o/s1600/24.jpg)
9 years ago
MichuziKAMISHNA JENERALI WA MAGEREZA NCHINI ASISITIZA UTENDAJI KAZI WENYE TIJA
WATUMISHI wa Jeshi la Magereza wametakiwa kuzingatia utendaji kazi wenye tija mahala pa kazi na kuacha kufanya kazi kwa mazoea(Business as usual).
Rai hiyo imetolewa na Kamishna Jenerali wa Magereza nchini, John Casmir Minja wakati akizungumza kwenye Baraza la kufunga Mwaka 2015 na kuukaribisha Mwaka mpya 2016 katika Ofisi za Makao Makuu ya Jeshi hilo Jijini, Dar es Salaam.
Jenerali Minja amewaagiza Watumishi wote wa Jeshi hilo kuhakikisha kuwa wanawajibika...
10 years ago
VijimamboRais Mstaafu asisitiza haja ya kuilinda na kuiendeleza amani ilyopo nchini