Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


DARAJA LA UBUNGO SAM NUJOMA HATARINI

Maji yakiwa mengi chini ya daraja hilo. Vijana wakichimba mchanga chini ya daraja hilo. Muonekano…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Sam Nujoma: Rais aliyeokolewa na wana-TANU

Samuel Daniel Shafiishuna Nujoma, au Sam Nujoma kama alivyokuwa akijulikana na wengi, ni rais wa kwanza wa Namibia kuanzia mwaka 1990 hadi 2005.

 

10 years ago

Mwananchi

Sam Nujoma: Shujaa aliyeokolewa na wana-TANU 2

Kama tulivyoona wiki jana, Sam Nujoma, alikuwa Rais wa kwanza wa Namibia huru ambaye baadaye aliamua kung’atuka kwa hairi yake na kuacha madaraka yake kwa Hifikepunye Pohamba.

 

11 years ago

Michuzi

RAIS KIKWETE AONANA NA RAIS MSTAAFU WA NAMIBIA MHE. SAM NUJOMA,IKULU JIJINI DAR LEO

 Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akimtembezea sehemu mbali mbali za Ikulu na Rais Mstaafu wa Namibia Mhe. Sam Nujoma aliyemtembelea leo April 27, 2014. Mhe Nujoma alikuwa ni mmoja wa watu mashuhuri waliohudhuria sherehe za miaka 50 ya Uhuru jana. Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akiwa na Rais Mstaafu wa Namibia Mhe. Sam Nujoma Ikulu jijini Dar es salaam aliyemtembelea leo April 27, 2014. Mhe Nujoma alikuwa ni mmoja wa watu mashuhuri waliohudhuria sherehe za miaka 50 ya Uhuru...

 

10 years ago

Mwananchi

Timu 11 hatarini kushuka daraja

Hesabu ni mchezo wa ajabu. Hivyo, kwa kuangalia mwenendo wa Ligi Kuu msimu huu ambao umekuwa na ushindani mkubwa ndiyo maana kati ya klabu 14 zinazoshiriki ligi hiyo, 11 ziko bado kwenye hatari ya kushuka daraja, iwapo zitateleza.

 

10 years ago

GPL

DARAJA LA KIVULE DAR HATARINI KUKATIKA

Daraja linalolalamikiwa na wakazi wa eneo la Kivule jijini Dar. Watembea kwa miguu pamoja na gari wakionekana kupita katika daraja hilo.…

 

5 years ago

Michuzi

RAIS DKT. MAGUFULI AKAGUA UJENZI WA DARAJA LA JUU UBUNGO NA BARABARA, AONGEA NA KUSIKIL|IZA KERO ZA WANANCHI MBEZI MWISHO, MLOGANZILA, MLANDIZI,CHALINZE

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akipita kukagua Maendeleo ya ujenzi katika sehemu ya  gorofa ya pili ya barabara ya juu Ubungo Interchange ambayo iko katika hatua za mwisho kukamilika kwa ajili ya magari kuanza kupita. Mradi mzima wa Makutano hayo ya Ubungo umefikia asilimia 75. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwa pamoja na Mke wake Mama Janeth Magufuli wakimsikiliza Mtendaji Mkuu wa TANROADS Eng....

 

10 years ago

Michuzi

WIZARA YA UJENZI KUJENGA DARAJA JIPYA LITAKALOPITA BAHARINI PEMBEZONI MWA DARAJA SELANDER

Waziri wa Ujenzi Dkt. John Magufuli akionesha sehemu ambazo daraja hilo jipya litakapojengwa pembezoni mwa daraja Selander kuanzia hospitali ya Aghakan hadi barabara Kenyata. Sehemu ya Daraja hilo pekee litakuwa na urefu wa km 1.03 Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha Dkt.Servacius Likwelile akiwa na ujumbe kutoka Serikali ya Korea Kusini pamoja na Wizara ya Ujenzi mara baada ya kusaini Mkataba wa Muhtasari wa Majadiliano leo jijini Dar es Salaam. Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha Dkt.Servacius...

 

10 years ago

Michuzi

11 years ago

BBCSwahili

Sam Nyamweya:''Sing'atuki ng'o!''

Mwenyekiti wa shirikisho la kandanda la Kenya amesema hatajiuzulu kufuatia matokeo duni ya timu ya taifa

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani