Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


DARAJA LA KIVULE DAR HATARINI KUKATIKA

Daraja linalolalamikiwa na wakazi wa eneo la Kivule jijini Dar. Watembea kwa miguu pamoja na gari wakionekana kupita katika daraja hilo.…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

MVUA ZILIVYOATHIRI DARAJA LA KIVULE, DAR

Daraja la Kivule lilivyoathiriwa na mvua zinazoendelea kunyesha jijini Dar. Hali ya usafiri imezidi kuwa ngumu. Mkondo wa maji yanavyotoka…

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kivule wajenga daraja la muda

DIWANI wa Kivule, Nyansika Ngemo, kwa kushirikiana na wananchi wake wamechanga sh 710,000 kwa ajili ya ujenzi wa daraja la muda la watembea  kwa miguu baada ya daraja la Mto...

 

10 years ago

Mwananchi

Timu 11 hatarini kushuka daraja

Hesabu ni mchezo wa ajabu. Hivyo, kwa kuangalia mwenendo wa Ligi Kuu msimu huu ambao umekuwa na ushindani mkubwa ndiyo maana kati ya klabu 14 zinazoshiriki ligi hiyo, 11 ziko bado kwenye hatari ya kushuka daraja, iwapo zitateleza.

 

11 years ago

GPL

DARAJA LA UBUNGO SAM NUJOMA HATARINI

Maji yakiwa mengi chini ya daraja hilo. Vijana wakichimba mchanga chini ya daraja hilo. Muonekano…

 

9 years ago

Mwananchi

Dar hatarini kwa mafuriko

Mvua zilizonyesha Dar es Salaam alfajiri ya kuamkia jana, zimebainisha kuwa jiji hilo lipo katika hatari ya kukumbwa majanga ya mafuriko na magonjwa ya mlipuko.     

 

10 years ago

Mtanzania

Wabunge:Dar hatarini kuteketea kwa moto

mngSHABANI MATUTU NA AZIZA MASOUD, DAR ES SALAAM

KAMATI ya Nishati na Madini, imeonyesha hofu juu ya Jiji la Dar es Salaam kuteketea kwa moto, kutokana na uwezekano wa kulipuka kwa mabomba ya kusafirishia mafuta kunakochangiwa na wizi wa mafuta unaohusisha utoboaji wa mabomba hayo.
Kutokana na hali hiyo, wabunge wametaka vyombo vya ulinzi, hususan Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) na Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) wapewe jukumu la kulinda miundombinu ya kusafirishia mafuta, huku baadhi ya...

 

10 years ago

Mwananchi

Ujenzi holela unavyoliweka Jiji la Dar es Salaam hatarini

Miaka ya karibuni Jiji la Dar es Salaam limeshuhudia kuporomoka kwa maghorofa matano katika maeneo tofauti likiwamo tukio la mwaka 2013, ambapo ghorofa lililokuwa Mtaa wa Indira Ghandi lilianguka na kupoteza maisha ya watu wapatao 34.

 

11 years ago

Mwananchi

Dar hatarini kwa unga wa lishe, visima vya maji

>Visima vingi vya maji vilivyochimbwa jijini Dar es Salaam na unga wa lishe kwa watoto umeelezwa kutokuwa salama kwa afya za watumiaji, kulingana na utafiti uliofanywa hivi karibuni na Ofisi ya Wakala wa Mkemia Mkuu wa Serikali (GCLA).

 

10 years ago

Michuzi

WIZARA YA UJENZI KUJENGA DARAJA JIPYA LITAKALOPITA BAHARINI PEMBEZONI MWA DARAJA SELANDER

Waziri wa Ujenzi Dkt. John Magufuli akionesha sehemu ambazo daraja hilo jipya litakapojengwa pembezoni mwa daraja Selander kuanzia hospitali ya Aghakan hadi barabara Kenyata. Sehemu ya Daraja hilo pekee litakuwa na urefu wa km 1.03 Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha Dkt.Servacius Likwelile akiwa na ujumbe kutoka Serikali ya Korea Kusini pamoja na Wizara ya Ujenzi mara baada ya kusaini Mkataba wa Muhtasari wa Majadiliano leo jijini Dar es Salaam. Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha Dkt.Servacius...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani