Timu 11 hatarini kushuka daraja
Hesabu ni mchezo wa ajabu. Hivyo, kwa kuangalia mwenendo wa Ligi Kuu msimu huu ambao umekuwa na ushindani mkubwa ndiyo maana kati ya klabu 14 zinazoshiriki ligi hiyo, 11 ziko bado kwenye hatari ya kushuka daraja, iwapo zitateleza.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLDARAJA LA KIVULE DAR HATARINI KUKATIKA
Daraja linalolalamikiwa na wakazi wa eneo la Kivule jijini Dar. Watembea kwa miguu pamoja na gari wakionekana kupita katika daraja hilo.…
11 years ago
GPLDARAJA LA UBUNGO SAM NUJOMA HATARINI
Maji yakiwa mengi chini ya daraja hilo. Vijana wakichimba mchanga chini ya daraja hilo. Muonekano…
10 years ago
BBCSwahili24 Apr
Ligi ya England timu 20 kushuka dimbani
Jumla ya timu 20 zinazoshiriki ligi ya England zinatarajiwa kushuka dimbani mwishoni mwa wiki.
10 years ago
VijimamboKLABU YA RUVU SHOOTING YAUNGANA NA POLISI MORO SC KUSHUKA DARAJA LIGI KUU TANZANIA BARA MSIMU WA MWAKA 2014/2015.
![](https://ramadhaniabubakari.files.wordpress.com/2012/10/81.jpg?w=593&h=311)
Ndanda FC imefanikiwa kubaki ligi kuu Tanzania bara baada ya kuilaza Yanga SC bao 1-0 katika uwanja wa Nangwanda mjini Mtwara.
Kipigo walichopata Polisi Moro SC cha bao 1-0 dhidi ya Mbeya City kimewafanya kupata tikiti ya kushuka daraja na kuungana na Ruvu Shooting.
![](http://shaffihdauda.co.tz/wp-content/uploads/2015/04/00.1stand-united-Vs-mtibwa11.jpg)
Kwa upande wa Stend United yenyewe imepata matokeo mazuri ya bao 1-0 dhidi ya Ruvu Shooting na kuinusuru timu hiyo kushuka daraja huku ikiiachia dhahama Ruvu Shooting.
![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/03/TFF-Tanzania-Prisons.jpg)
Kikosi cha Prison.
Klabu za Polisi Moro SC na Ruvu...
10 years ago
BBCSwahili24 Jan
Man U sare na timu ya daraja la pili
Mkufunzi wa Manchester United Louis Van Gaal amesema kuwa kila kitu kilikwenda kinyume na matarajio ya timu hiyo
10 years ago
Mwananchi11 May
MAONI: Karibuni timu zilizopanda daraja, pole zilizoshuka
>Safari ndefu ya Ligi Kuu ya soka Tanzania Bara iliyoanza Septemba 20 mwaka jana ilikamilika Jumamosi baada ya mechi 14 za kukamilisha ratiba hiyo kuchezwa kwenye viwanja mbalimbali nchini.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania