Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MAONI: Karibuni timu zilizopanda daraja, pole zilizoshuka

>Safari ndefu ya Ligi Kuu ya soka Tanzania Bara iliyoanza Septemba 20 mwaka jana ilikamilika Jumamosi baada ya mechi 14 za kukamilisha ratiba hiyo kuchezwa kwenye viwanja mbalimbali nchini.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Timu zilizopanda Ligi Kuu zijipange

Nazipongeza African Sport ya Tanga, Mwadui ya Shinyanga, Toto Africa ya Mwanza na Majimaji ya Songea kwa kupanda daraja na kuingia Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara.

 

10 years ago

Vijimambo

NASSARI ASHIRIKI UJENZI WA DARAJA LA KWA POLE,ATOA MIFUKO 50 YA SARUJI NA VIPANDE 30 VYA NONDO.

Wananchi katika jimbo la Arumeru Mashariki wakishiriki katika shughuli za Ujenzi wa daraja la Kwa Pole ambalo limekuwa likitumiwa na kina mama hasa wauzaji wa Ndizi.Ujenzi ukiendelea katika eneo la Ka Pole.
Mbunge wa Jimbo la Arumeru Mashariki Joshua Nassari akikabidhi mifuko 50 ya saruji ,vioande 30 vya nondo pamoja na tanki la maji kwa ajili ya Choo cha soko la Ndizi .Mbunge Nassari akishiki katika shughuli za Ujenzi wa daraja la kwa Pole.Ramani ya Ujenzi wa Daraja hilo.Nassari akikabidhi...

 

10 years ago

Dewji Blog

Nassari ashiriki ujenzi wa daraja la Kwa Pole, atoa mifuko 50 yasaruji na vipande 30 vya nondo

Wananchi katika jimbo la Arumeru Mashariki wakishiriki katika shughuli za Ujenzi wa daraja la Kwa Pole ambalo limekuwa likitumiwa na kina mama hasa wauzaji wa Ndizi. Ujenzi ukiendelea katika eneo la Ka Pole. Mbunge wa Jimbo la Arumeru Mashariki, Joshua Nassari akikabidhi mifuko 50 ya saruji ,vioande 30 vya nondo pamoja na tanki la maji kwa ajili ya Choo cha soko la Ndizi . Mbunge Nassari akishiki katika shughuli za Ujenzi wa daraja la kwa Pole. Ramani ya Ujenzi wa Daraja hilo. Nassari...

 

10 years ago

Mwananchi

Timu 11 hatarini kushuka daraja

Hesabu ni mchezo wa ajabu. Hivyo, kwa kuangalia mwenendo wa Ligi Kuu msimu huu ambao umekuwa na ushindani mkubwa ndiyo maana kati ya klabu 14 zinazoshiriki ligi hiyo, 11 ziko bado kwenye hatari ya kushuka daraja, iwapo zitateleza.

 

10 years ago

BBCSwahili

Man U sare na timu ya daraja la pili

Mkufunzi wa Manchester United Louis Van Gaal amesema kuwa kila kitu kilikwenda kinyume na matarajio ya timu hiyo

 

9 years ago

Michuzi

STARTIMES YAKABIDHI JEZI KWA TIMU ZA LIGI DARAJA LA KWANZA SFDL

 Kaimu Afisa Mtendaji Mkuu wa StarTimes Tanzania, Bw. Lanfang Liao (katikati) akimkabidhi jezi mmoja wa wawakilishi wa timu zinazoshiriki ligi daraja la kwanza ya StarTimes (SFDL) wakati wa hafla ya kukabidhi jezi hizo iliyofanyika jijini Dar es Salaam Jumatano. Kushoto akipiga makofi ni Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Bw. Jamal Malinzi. (Picha na mpiga picha wetu). Kaimu Afisa Mtendaji Mkuu wa StarTimes Tanzania, Bw. Lanfang Liao (Kushoto) akimkabidhi jezi mmoja...

 

9 years ago

Michuzi

TIMU YA KILUVYA UNITED YAITUNGUA AFRICAN LYON KWA MABAO 2-1 LIGI DARAJA LA KWANZA

NA VICTOR MASANGU.KIVUMBI cha ligi daraja la kwanza (FDL) kwa msimu wa mwaka 2015-2016 kinazidi kushika kasi ambapo timu ya Kiluvya United (Wabishi wa Pwani) jana iliweza kuifunga timu ya African Lyon kwa mabao 2-1 katika mchezo uliopingwa katika uwanja wa Karume Jijini Dar es Salaam.
Katika mchezo huo wa Kundi 'A' ulikuwa na upinzani wa hali ya juu kutokana na kila timu kucheza kufa na kupona kwa lengo la kuweza kuibuka na ushindi na kujinyakulia pointi tatau muhimu ili iweze kujiwekea...

 

10 years ago

Mwananchi

MAONI: Msimu wa ligi unaisha, timu zijitathmini

>Ligi Kuu ya Soka ya Tanzania Bara inatarajiwa kufikia mwisho Mei 9, huku Yanga ikiwa imeshatwaa ubingwa licha ya kuwa mechi mbili mkononi. Kumalizika kwa ligi  ambayo imeshuhudia matukio mengi, yakiwamo mengine ambayo si ya kupendeza, wala si kiuanamichezo, ni mwanzo wa msimu mpya wa ligi ambao utakuwa na timu 16 badala ya 14 za msimu huu.

 

10 years ago

Bongo5

New Music: Steve RnB — Pole Pole (Tropical Riddim)

Baada ya tour ndefu za nje ya nchi akiwa na bendi ya In Africa, mwimbaji wa RnB Tanzania, leo September 18th, 2014, ameachia single yake mpya inayoitwa ‘Pole Pole’ ambayo iko kwenye midundo ya Reggae (Tropical Riddim). Isikilize

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani