MAONI: Karibuni timu zilizopanda daraja, pole zilizoshuka
>Safari ndefu ya Ligi Kuu ya soka Tanzania Bara iliyoanza Septemba 20 mwaka jana ilikamilika Jumamosi baada ya mechi 14 za kukamilisha ratiba hiyo kuchezwa kwenye viwanja mbalimbali nchini.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi23 Mar
Timu zilizopanda Ligi Kuu zijipange
Nazipongeza African Sport ya Tanga, Mwadui ya Shinyanga, Toto Africa ya Mwanza na Majimaji ya Songea kwa kupanda daraja na kuingia Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara.
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-yLnL7vEcd8k/Va3lwgYCTRI/AAAAAAAASig/c91DBTiY86E/s72-c/11709601_10153511100892938_3918727445950212145_n.jpg)
NASSARI ASHIRIKI UJENZI WA DARAJA LA KWA POLE,ATOA MIFUKO 50 YA SARUJI NA VIPANDE 30 VYA NONDO.
![](http://2.bp.blogspot.com/-yLnL7vEcd8k/Va3lwgYCTRI/AAAAAAAASig/c91DBTiY86E/s640/11709601_10153511100892938_3918727445950212145_n.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-y95inVzkEnI/Va3lv1L-V-I/AAAAAAAASis/Q6aM8sHyWiE/s640/11705369_10153511102137938_5247209604509754294_n.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-NG_5yoVbSaM/Va3lw0sWAfI/AAAAAAAASik/ZxEJ3SGACRM/s640/11743007_10153511101427938_3598942863258596882_n.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-wYBksCO7x1g/Va3lut06rPI/AAAAAAAASiM/UsZXtK21beA/s640/11694771_10153511100737938_1941814336703242686_n.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-o-4T_zDr8YY/Va3lx7as-EI/AAAAAAAASiw/Tdwr5axdpMo/s640/11745459_10153511101932938_1915725732152340799_n.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-FTj9hxP2Hx0/Va3lu_CLaWI/AAAAAAAASiU/QbqV-fOrWeE/s640/11695987_10153511101752938_3529203723152088777_n.jpg)
10 years ago
Dewji Blog21 Jul
Nassari ashiriki ujenzi wa daraja la Kwa Pole, atoa mifuko 50 yasaruji na vipande 30 vya nondo
![](http://2.bp.blogspot.com/-yLnL7vEcd8k/Va3lwgYCTRI/AAAAAAAASig/c91DBTiY86E/s640/11709601_10153511100892938_3918727445950212145_n.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-y95inVzkEnI/Va3lv1L-V-I/AAAAAAAASis/Q6aM8sHyWiE/s640/11705369_10153511102137938_5247209604509754294_n.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-NG_5yoVbSaM/Va3lw0sWAfI/AAAAAAAASik/ZxEJ3SGACRM/s640/11743007_10153511101427938_3598942863258596882_n.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-wYBksCO7x1g/Va3lut06rPI/AAAAAAAASiM/UsZXtK21beA/s640/11694771_10153511100737938_1941814336703242686_n.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-o-4T_zDr8YY/Va3lx7as-EI/AAAAAAAASiw/Tdwr5axdpMo/s640/11745459_10153511101932938_1915725732152340799_n.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-FTj9hxP2Hx0/Va3lu_CLaWI/AAAAAAAASiU/QbqV-fOrWeE/s640/11695987_10153511101752938_3529203723152088777_n.jpg)
10 years ago
Mwananchi25 Mar
Timu 11 hatarini kushuka daraja
Hesabu ni mchezo wa ajabu. Hivyo, kwa kuangalia mwenendo wa Ligi Kuu msimu huu ambao umekuwa na ushindani mkubwa ndiyo maana kati ya klabu 14 zinazoshiriki ligi hiyo, 11 ziko bado kwenye hatari ya kushuka daraja, iwapo zitateleza.
10 years ago
BBCSwahili24 Jan
Man U sare na timu ya daraja la pili
Mkufunzi wa Manchester United Louis Van Gaal amesema kuwa kila kitu kilikwenda kinyume na matarajio ya timu hiyo
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-6szd10Sw8T8/Vk2mvIGuAuI/AAAAAAABpUg/lga7ZXRgW00/s72-c/SFDL%2BPIX%2B2.jpg)
STARTIMES YAKABIDHI JEZI KWA TIMU ZA LIGI DARAJA LA KWANZA SFDL
![](http://3.bp.blogspot.com/-6szd10Sw8T8/Vk2mvIGuAuI/AAAAAAABpUg/lga7ZXRgW00/s640/SFDL%2BPIX%2B2.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Rs7824QSYGc/Vk2mvNiiqOI/AAAAAAABpUk/xdZddAtcNOM/s640/SFDL%2BPIX%2B3.jpg)
9 years ago
Michuzi04 Jan
TIMU YA KILUVYA UNITED YAITUNGUA AFRICAN LYON KWA MABAO 2-1 LIGI DARAJA LA KWANZA
NA VICTOR MASANGU.KIVUMBI cha ligi daraja la kwanza (FDL) kwa msimu wa mwaka 2015-2016 kinazidi kushika kasi ambapo timu ya Kiluvya United (Wabishi wa Pwani) jana iliweza kuifunga timu ya African Lyon kwa mabao 2-1 katika mchezo uliopingwa katika uwanja wa Karume Jijini Dar es Salaam.
Katika mchezo huo wa Kundi 'A' ulikuwa na upinzani wa hali ya juu kutokana na kila timu kucheza kufa na kupona kwa lengo la kuweza kuibuka na ushindi na kujinyakulia pointi tatau muhimu ili iweze kujiwekea...
Katika mchezo huo wa Kundi 'A' ulikuwa na upinzani wa hali ya juu kutokana na kila timu kucheza kufa na kupona kwa lengo la kuweza kuibuka na ushindi na kujinyakulia pointi tatau muhimu ili iweze kujiwekea...
10 years ago
Mwananchi04 May
MAONI: Msimu wa ligi unaisha, timu zijitathmini
>Ligi Kuu ya Soka ya Tanzania Bara inatarajiwa kufikia mwisho Mei 9, huku Yanga ikiwa imeshatwaa ubingwa licha ya kuwa mechi mbili mkononi. Kumalizika kwa ligi ambayo imeshuhudia matukio mengi, yakiwamo mengine ambayo si ya kupendeza, wala si kiuanamichezo, ni mwanzo wa msimu mpya wa ligi ambao utakuwa na timu 16 badala ya 14 za msimu huu.
10 years ago
Bongo518 Sep
New Music: Steve RnB — Pole Pole (Tropical Riddim)
Baada ya tour ndefu za nje ya nchi akiwa na bendi ya In Africa, mwimbaji wa RnB Tanzania, leo September 18th, 2014, ameachia single yake mpya inayoitwa ‘Pole Pole’ ambayo iko kwenye midundo ya Reggae (Tropical Riddim). Isikilize
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania