Man U sare na timu ya daraja la pili
Mkufunzi wa Manchester United Louis Van Gaal amesema kuwa kila kitu kilikwenda kinyume na matarajio ya timu hiyo
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-j-_cqw-T2tA/VZj5NkiD89I/AAAAAAAHnC8/ERbVjow04_U/s72-c/images.jpg)
Ligi Daraja la Pili kuanza Oktoba 7, kuchezwa makundi manne ya timu sita sita nyumbani na ugenini
Kwa kuzingatia marekebisho ya Kanuni ya Ligi Daraja la Pili (SDL) yaliyofanywa na Kamati ya Utendaji ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) hivi karibuni, SDL kwa msimu wa 2015/2016 itachezwa katika makundi manne ya timu sita sita kwa mtindo wa nyumbani na ugenini.
Timu itakayoongoza kundi itacheza Ligi Daraja la Kwanza (FDL) msimu wa 2016/2017 wakati ya mwisho katika kila kundi itarudi kucheza Ligi ya Mkoa wake kwa msimu wa 2016/2017. Makundi ya SDL ni kama ifuatavyo; Kundi A ni...
![](http://4.bp.blogspot.com/-j-_cqw-T2tA/VZj5NkiD89I/AAAAAAAHnC8/ERbVjow04_U/s400/images.jpg)
10 years ago
MichuziMWIJAGE AIUNGA MKONO TIMU YA RAS KAGERA FOOTBALL CLUB KWA KUICHANGIA MILIONI MOJA ILI ISHIRIKI LIGI DARAJA LA PILI NGAZI YA KANDA
Na Faustine Ruta,Bukoba
Katika kutengeneza ajira kwa vijana na kuuendeleza mkoa wa Kagera kwa kushirikiana na wadau wa maendeleo kutoka sehemu mbalimbali na ndani ya mkoa, Katibu Tawala wa Mkoa Bw. Nassor Mnabila aliamua kuanzisha timu ya mpira ya mkoa wa Kagera.
Madhumuni ya kuanzisha timu hiyo ni kuuleta mkoa wa Kagera pamoja, kutoa ajira kwa vijana wenye vipaji vya michezo aidha kuutangaza mkoa nje na ndani ya nchi kuhusu fursa za uwekezaji zinazopatikana ndani ya mkoa wetu wa Kagera.
10 years ago
MichuziNAIBU WAZIRI CHARLES MWIJAGE AIUNGA MKONO TIMU YA RAS KAGERA FOOTBALL CLUB KWA KUICHANGIA MILIONI MOJA ILI ISHIRIKI LIGI DARAJA LA PILI NGAZI YA KANDA
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-h5p2bHM8mNM/XlKk9X6q7nI/AAAAAAALe7g/1I8O22076GQAUq2J0hIfMcbPDSzZckgIwCLcBGAsYHQ/s72-c/tariq%252Bpic.jpg)
MATOKEO YA SARE NNE MFULULIZO KWA TIMU YA YANGA YAPOTEZA MATUMAINI YA MBIO ZA UBINGWA...YATOA TENA SARE KWA COASTAL UNION ...
Yassir Simba, Michuzi Tv
MATUMAINIA ya timu ya soka ya Yanga ya jijini Dar es Salaam kuwamo kwenye mbio za kuwania ubingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara msimu huu yamezidi kuyeyuka baada ya mchezo wake wa leo dhidi ya Coastal Union a.k.a Wagosi Wakaya kumaliza kwa sare ya bila kufungana.
Mchezo wa Yanga dhidi ya Coastal Union umefanyika leo Februari 23 mwaka huu wa 2020 ambapo kila timu ilionekana kuhitaji kuibuka na ushindi wa alama tatu lakini hadi dakika 90 zimalizika wamemaliza kwa kupata...
10 years ago
MichuziMWadui FC na Panone FC zatoka sare 1-1 mtanange wa ligi daraja la kwanza mjini moshi
10 years ago
Mwananchi25 Mar
Timu 11 hatarini kushuka daraja
Hesabu ni mchezo wa ajabu. Hivyo, kwa kuangalia mwenendo wa Ligi Kuu msimu huu ambao umekuwa na ushindani mkubwa ndiyo maana kati ya klabu 14 zinazoshiriki ligi hiyo, 11 ziko bado kwenye hatari ya kushuka daraja, iwapo zitateleza.
10 years ago
BBCSwahili01 Jan
Man United yatoka sare
Bingwa wa zamani wa ligi ya Uingereza Manchester United kwa mara nyingine wamezuiliwa na timu ya Stoke City
9 years ago
Africanjam.Com![](http://4.bp.blogspot.com/-JQupduqY3tk/Vh5rK6xaqWI/AAAAAAAADtk/U8iuR6pd8NM/s72-c/artist_483172c8f7a2aa8c3c776baf641d5d2a16bc.jpg)
NEW MUSIC: NIKKI WA PILI - DARAJA MBILI (Download)
![](http://4.bp.blogspot.com/-JQupduqY3tk/Vh5rK6xaqWI/AAAAAAAADtk/U8iuR6pd8NM/s640/artist_483172c8f7a2aa8c3c776baf641d5d2a16bc.jpg)
Africanjam is website that came into service December 2013(with another domain) and on April 2014 the new domain Africanjam(dot)com came into use. It was found by John Kapela who is currently in Dar es Salaam Tanzania. This site provides news from Africa and all over the world in Politics, Sports, Entertainment as well as Technology tips and some Amazing Facts. We also provide Football updates from all over the world. Visit this site everyday for being in touch with everything happening in...
10 years ago
Mwananchi29 Dec
Mbao FC yakamata usukani Ligi Daraja la Pili
Timu ya Mbao FC ya Mwanza imejikita kileleni msimamo wa Kundi B la Ligi Daraja la Pili (SDL) baada ya kuichapa JKT Rwamkoma ya Mara mabao 2-1 kwenye Uwanja wa CCM Kirumba juzi.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania
Magazeti ya Leo
Zinazosomwa Sasa
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10