Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ujenzi holela unavyoliweka Jiji la Dar es Salaam hatarini

Miaka ya karibuni Jiji la Dar es Salaam limeshuhudia kuporomoka kwa maghorofa matano katika maeneo tofauti likiwamo tukio la mwaka 2013, ambapo ghorofa lililokuwa Mtaa wa Indira Ghandi lilianguka na kupoteza maisha ya watu wapatao 34.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

TWIGA CEMENT YAMWAGA MSAADA WA VIFAA VYA UJENZI KWA JESHI LA MAGEREZA KATIKA MRADI WA UJENZI WA MAKAZI YA ASKARI GEREZA WAZO JIJINI DAR ES SALAAM

  Mkurugenzi Mkuu Mtendaji wa Kampuni ya Twiga Cement, Bw. Alphonso Rodrudges(suti ya bluu) akikabidhi mfano wa hundi yenye kiasi cha Tsh. Millioni Miamoja kwa Uongozi wa Jeshi la Magereza zitakazotumika katika ujenzi wa nyumba zenye hadhi kwa Maofisa na Askari wa Gereza Wazo,Wilayani Kinondoni (wa pili kulia) ni Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Bw. Mbarak Abdulawakil(wa tatu kushoto) ni Kamishna Jenerali wa Magereza, John Casmir Minja. hafla hiyo imefanyika leo Novemba 17, 2014...

 

11 years ago

Dewji Blog

Jiji la Dar Es Salaam kuendelea kusafishwa

RC DSM - 1

Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Saidi Meck Sadiki akitoa taarifa ya kikao cha kamati ya ushauri ya mkoa (RCC) ofisini kwake jijini Dar es salaam.

Na. Aron Msigwa –MAELEZO.

Jumla ya kata 22 katika manispaa za Ilala, Kinondoni na Temeke zitaingizwa katika  mpango wa utengaji wa maeneo maalum (smart area) kwa ajili ya kuboresha usafi wa mazingira jijini Dar es salaam.

Akitoa taarifa ya kikao cha kamati ya ushauri ya mkoa wa Dar es salaam (RCC) jijini Dar es salaam, Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam...

 

10 years ago

BBCSwahili

Dar es Salaam jiji ghali kuishi

Utafiti unaeleza Dar es Salaam ni Jiji ghali zaidi kuishi kuliko majiji mengine Afrika Mashariki

 

10 years ago

Michuzi

10 years ago

Mwananchi

Ujenzi holela unachangia kudorora uchumi

Kwa miaka ya hivi karibuni suala la ujenzi holela wa makazi limezidi kuongezeka katika maeneo mbalimbali nchini.

 

11 years ago

GPL

MANISPAA YA IRINGA YALIA NA UJENZI HOLELA

Meya wa Manispaa ya Iringa Aman Mwamwindi akizungumza na wanahabari  leo kuhusu  mambo mbali mbali yanayoendelea. Mstahiki Meya wa Manispaa ya Iringa, Aman Mwamwindi akizungumza na wanahabari  ofisini  kwake. …

 

10 years ago

Habarileo

Rais akemea ujenzi holela Zanzibar

Rais wa Zanzibar, Dk Mohamed Ali Shein.RAIS wa Zanzibar, Dk Ali Mohammed Shein amezitaka mamlaka husika kuhakikisha wananchi waliovamia eneo la bwawa la Mwanakwerekwe wanaondolewa mara moja ili kuepuka athari zaidi za kimazingira.

 

9 years ago

Mwananchi

Waliofumbia, kuidhinisha ujenzi holela wawajibishwe

Baada ya onyo la muda mrefu, hatimaye wiki hii Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi kwa kushirikiana na halmashauri za manispaa za Kinondoni na Temeke, zimeanza kazi ya ubomoaji nyumba zote zilizojengwa, bila kufuata utaratibu, kwenye maeneo ya wazi na hifadhi za barabara.

 

11 years ago

Habarileo

Jiji Dar es Salaam lahaha na dampo Pugu

HALMASHAURI ya Jiji la Dar es Salaam inahitaji zaidi ya Sh bilioni 15/- kuboresha dampo la Pugu Kinyamwezi katika Manispaa ya Ilala na kulifanya kuwa la kisasa, huku ikisisitiza waliovamia eneo hilo, lazima waondoke.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani