Dar es Salaam jiji ghali kuishi
Utafiti unaeleza Dar es Salaam ni Jiji ghali zaidi kuishi kuliko majiji mengine Afrika Mashariki
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi18 May
11 years ago
Dewji Blog24 Apr
Jiji la Dar Es Salaam kuendelea kusafishwa
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Saidi Meck Sadiki akitoa taarifa ya kikao cha kamati ya ushauri ya mkoa (RCC) ofisini kwake jijini Dar es salaam.
Na. Aron Msigwa –MAELEZO.
Jumla ya kata 22 katika manispaa za Ilala, Kinondoni na Temeke zitaingizwa katika mpango wa utengaji wa maeneo maalum (smart area) kwa ajili ya kuboresha usafi wa mazingira jijini Dar es salaam.
Akitoa taarifa ya kikao cha kamati ya ushauri ya mkoa wa Dar es salaam (RCC) jijini Dar es salaam, Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam...
10 years ago
Vijimambo29 Dec
MVUA KUBWA ‘YALILOWESHA’ JIJI LA DAR ES SALAAM
MTANDAO wetu leo umefanikiwa kuzunguka baadhi ya maeneo katika viunga vya jiji la Dar es Salaam na kujionea baadhi ya maeneo baada ya mvua kubwa ‘kuanguka’ katika jiji hili na maeneo ya jirani na kusababisha...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-ta_EnrsS8fA/UvccUMFKhvI/AAAAAAAFL4U/UIfwNLOGwpY/s72-c/unnamed+(28).jpg)
WAKAZI WA JIJI LA DAR ES SALAAM WATIMKA NA BODABODA
![](http://2.bp.blogspot.com/-ta_EnrsS8fA/UvccUMFKhvI/AAAAAAAFL4U/UIfwNLOGwpY/s1600/unnamed+(28).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-zjSusBh9Ge8/UvccUU1D1tI/AAAAAAAFL4c/zptspmpe43s/s1600/unnamed+(29).jpg)
10 years ago
Habarileo14 Jan
Wabunge wataka jiji Dar es Salaam livunjwe
KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali za Mitaa (LAAC), imehoji kwanini halmashauri ya jiji la Dar es Salaam isivunjwe na kuwa na kitengo kidogo kutokana na kutokuwa na majukumu ya moja kwa moja kwa wananchi.
11 years ago
Habarileo20 Apr
Jiji Dar es Salaam lahaha na dampo Pugu
HALMASHAURI ya Jiji la Dar es Salaam inahitaji zaidi ya Sh bilioni 15/- kuboresha dampo la Pugu Kinyamwezi katika Manispaa ya Ilala na kulifanya kuwa la kisasa, huku ikisisitiza waliovamia eneo hilo, lazima waondoke.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/zbcSW1D04asOwmW*SKgn3TimauSV90U8GbhosZxDIUVmDtkymzbIbrR3xZEBx5OLgW1QVTszl7vqi*pfL776P6StFi2Bwzdp/IMG20140408WA0012.jpg?width=650)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-UTGfO7AHjis/U1f4rYA7tFI/AAAAAAAAeQ4/07ER6li_7wA/s72-c/unnamed.jpg)
JIJI LA DAR ES SALAAM KUENDELEA KUSAFISHWA - MKUU WA MKOA
![](http://4.bp.blogspot.com/-UTGfO7AHjis/U1f4rYA7tFI/AAAAAAAAeQ4/07ER6li_7wA/s1600/unnamed.jpg)
Na. Aron Msigwa –MAELEZO,Dar es salaam.
Jumla ya kata 22 katika manispaa za Ilala, Kinondoni na Temeke zitaingizwa katika mpango wa utengaji wa maeneo maalum (smart area) kwa ajili ya kuboresha usafi wa mazingira jijini Dar es salaam.
Akitoa taarifa ya kikao cha kamati ya ushauri ya mkoa wa Dar es salaam (RCC) leo jijini Dar es salaam, Mkuu wa...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-eB3fzuYfX08/VgBEPpYF26I/AAAAAAAH6q8/QDnZs_Nbpdo/s72-c/unnamed1.jpg)
WADAU WA DAWA WAKUTANA JIJI DAR ES SALAAM LEO
![](http://2.bp.blogspot.com/-eB3fzuYfX08/VgBEPpYF26I/AAAAAAAH6q8/QDnZs_Nbpdo/s640/unnamed1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-2GEhYX46rTA/VgBEPtdrSyI/AAAAAAAH6q0/arfiul1_wY8/s640/unnamed2.jpg)