Jiji Dar es Salaam lahaha na dampo Pugu
HALMASHAURI ya Jiji la Dar es Salaam inahitaji zaidi ya Sh bilioni 15/- kuboresha dampo la Pugu Kinyamwezi katika Manispaa ya Ilala na kulifanya kuwa la kisasa, huku ikisisitiza waliovamia eneo hilo, lazima waondoke.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima08 May
Pugu waeleza kero ya dampo
WAKAZI wa eneo la Pugu Kinyamwezi, Manispaa ya Ilala, Dar es Salaam wameeleza kero na madhara wanayoyapata kutokana na dampo lililopo eneo hilo. Wakizungumza kwa nyakati tofauti na Tanzania Daima...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-5M-wCVz_vVg/VVSyscPeuWI/AAAAAAAHXUA/pDaHakT_mJk/s72-c/mbili.jpg)
kiwanja kinauzwa pugu, dar es salaam
![](http://2.bp.blogspot.com/-5M-wCVz_vVg/VVSyscPeuWI/AAAAAAAHXUA/pDaHakT_mJk/s640/mbili.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-5T1SGIda5rw/VVSysGXrcLI/AAAAAAAHXT8/zWchkVbhTzU/s640/unnamed%2B(46).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-mg02eWw3-hw/VBOJuSS8eKI/AAAAAAABIm4/DJKFAY0ugmw/s72-c/IMG-20140826-WA0006.jpg)
NYUMBA ZINAPANGISHWA PUGU JIJINI DAR ES SALAAM
![](http://2.bp.blogspot.com/-mg02eWw3-hw/VBOJuSS8eKI/AAAAAAABIm4/DJKFAY0ugmw/s1600/IMG-20140826-WA0006.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-wY5fI1yzqzs/VBOJu9tzbtI/AAAAAAABInA/730jfkkbbXU/s1600/IMG-20140826-WA0010.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-PQXIgAI3UEE/VBOJvpd8PEI/AAAAAAABInM/dSS6EqGH5po/s1600/IMG-20140826-WA0013.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-0yPyAzAnDNo/VBOJwgP7ksI/AAAAAAABInc/DOEMzGFcWS0/s1600/IMG-20140826-WA0015.jpg)
ENEO: Nyumba ipo PUGU-Umbali wa mita 100 toka Barabara Kuu ya lami. Nyumba 3 za familia zipo ndani ya eneo moja kila moja inajitegemea.
UKUBWA: Kila moja ina vyumba 3 vya kulala, jiko, siting room kubwa na daining ya kutosha.
UMEME: Kila moja inatumia Mita ya Luku kwa kujitegemea. pamoja na maji. PAKING: Eneo kubwa kwa zaidi ya magari 5 kwa wakati mmoja.
BEI. Ni maelewano kuanzia miezi 6 au zaidi kutegemea hitaji la mteja. kwa mawasiliano:...
10 years ago
BBCSwahili06 Jan
Dar es Salaam jiji ghali kuishi
11 years ago
Dewji Blog24 Apr
Jiji la Dar Es Salaam kuendelea kusafishwa
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Saidi Meck Sadiki akitoa taarifa ya kikao cha kamati ya ushauri ya mkoa (RCC) ofisini kwake jijini Dar es salaam.
Na. Aron Msigwa –MAELEZO.
Jumla ya kata 22 katika manispaa za Ilala, Kinondoni na Temeke zitaingizwa katika mpango wa utengaji wa maeneo maalum (smart area) kwa ajili ya kuboresha usafi wa mazingira jijini Dar es salaam.
Akitoa taarifa ya kikao cha kamati ya ushauri ya mkoa wa Dar es salaam (RCC) jijini Dar es salaam, Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam...
10 years ago
Michuzi18 May
10 years ago
Vijimambo29 Dec
MVUA KUBWA ‘YALILOWESHA’ JIJI LA DAR ES SALAAM
MTANDAO wetu leo umefanikiwa kuzunguka baadhi ya maeneo katika viunga vya jiji la Dar es Salaam na kujionea baadhi ya maeneo baada ya mvua kubwa ‘kuanguka’ katika jiji hili na maeneo ya jirani na kusababisha...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-ta_EnrsS8fA/UvccUMFKhvI/AAAAAAAFL4U/UIfwNLOGwpY/s72-c/unnamed+(28).jpg)
WAKAZI WA JIJI LA DAR ES SALAAM WATIMKA NA BODABODA
![](http://2.bp.blogspot.com/-ta_EnrsS8fA/UvccUMFKhvI/AAAAAAAFL4U/UIfwNLOGwpY/s1600/unnamed+(28).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-zjSusBh9Ge8/UvccUU1D1tI/AAAAAAAFL4c/zptspmpe43s/s1600/unnamed+(29).jpg)
10 years ago
Habarileo14 Jan
Wabunge wataka jiji Dar es Salaam livunjwe
KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali za Mitaa (LAAC), imehoji kwanini halmashauri ya jiji la Dar es Salaam isivunjwe na kuwa na kitengo kidogo kutokana na kutokuwa na majukumu ya moja kwa moja kwa wananchi.