Dar’s Yanga soften stance on Ngassa transfer
Young Africans Sports Club are ready to discuss the deal with South African premier league side, Free State Stars in order to sell their lethal striker, Mrisho Ngassa.
TheCitizen
Habari Zinazoendana
5 years ago
Birmingham Live05 Mar
Jack Grealish transfer latest: Manchester United's stance, wage demand and potential fee
10 years ago
BBCSwahili22 Jun
Ngassa aibukia Yanga
10 years ago
Mtanzania09 Feb
Ngassa aipa raha Yanga
JENIFFER ULLEMBO NA ABDUCADO EMMANUEL, DAR ES SALAAM
TIMU ya Yanga jana ilifanikiwa kurejea kileleni kwenye msimamo wa Ligi Kuu Tanzania Bara, baada ya kuichapa Mtibwa Sugar mabao 2-0 mchezo uliofanyika Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.Yanga imewashusha waliokuwa vinara Azam wenye pointi 22 baada ya kufikisha jumla ya pointi 25, lakini wanalambalamba hao wana mchezo mmoja mkononi.Winga wa Yanga, Mrisho Ngassa ndiye aliyeibuka shujaa kwa timu yake baada ya kuifungia mabao hayo yote, akiwa...
10 years ago
Mtanzania13 May
Yanga: Ngassa kila la heri
NA MWALI IBRAHIM, DAR ES SALAAM
UONGOZI wa Klabu ya Yanga umemtakia kila la heri aliyekuwa mchezaji wao, Mrisho Ngassa, baada ya kupata ulaji nchini Afrika Kusini.
Ngassa jana ameingia mkataba wa miaka minne kuichezea timu Free State Stars, inayocheza Ligi Kuu nchini humo, baada ya kufuzu majaribio na kukabidhiwa jezi rasmi.
Akizungumza na MTANZANIA jana, Katibu Mkuu wa Yanga, Jonas Tiboroha, alisema ni jambo la kujivunia kwa klabu kutoa mchezaji kucheza soka la kulipwa la kimataifa na...
10 years ago
Vijimambo21 Jan
Milioni ya Yanga yamvuruga Ngassa
![](http://api.ning.com/files/BM3*tIQqFL*7SB5AdPCC61kg1c-sDhE6w8QjUNdkrKBj20X7902ALxn0Mil5Tr8W2u37gDOXAjX0h7a1mqU3R4nOeevRHnq*/NGASSAMRISHO.jpg?width=650)
Na Wilbert MolandiSIRI kubwa ya kiungo mshambuliaji wa Yanga, Mrisho Ngassa, kucheza chini ya kiwango imefahamika.Ngassa amekuwa kwenye kiwango cha chini msimu huu ikiwa ni tofauti na misimu mingine yote iliyotangulia.Kiungo huyo, alitua kuichezea timu hiyo kwenye msimu wa 2013/2014, kwa makubaliano ya kulipa fedha shilingi milioni 45, ikiwa ni deni la shilingi milioni 30 pamoja na faini ya milioni 15 za Simba ili aweze kuitumikia timu yake ya...
10 years ago
Vijimambo04 Oct
Maximo amgeuka Ngassa Yanga
![](http://www.mwanaspoti.co.tz/image/view/-/2473816/highRes/843142/-/maxw/600/-/uf3jb0z/-/maxi.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/p9piKYn1mVL1uqtpfZZLtcBZC4hy*WOGqTdtPMvOKZRNJsXze3HZuUbm2Z7Wyt0DLGTiRlZx1WchLg6OhOUfV*i8wAyjyvT*/NGASA.jpg?width=650)
Ngassa atoa saa 24 Yanga
10 years ago
Mwananchi23 Jun
Ngassa arejea Yanga kiaina
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-yTJgUuvZu1o/VSkXdINmVoI/AAAAAAAAHgs/iCFEyfW3Azs/s72-c/11032014_368588460005633_6821834669348042007_n.jpg)
Ngassa, Msuva, Niyonzima wabeba tuzo Yanga SC
![](http://shaffihdauda.co.tz/wp-content/uploads/2015/04/11150198_368610266670119_6707735268238217996_n.jpg)
KUNDI maarufu la Yanga Facebook Family leo asubuhi katika uwanja wa Karume, Ilala, Dar es salaam limekabidhi tuzo ya mchezaji bora wa klabu hiyo kwa Mrisho Khalfan Ngassa.Ngassa amechaguliwa mchezaji bora kutokana na mchango wake mkubwa alioonesha mwaka huu klabuni hapo.Pia Haruna Niyonzima amepewa tuzo ya mchezaji bora wa kigeni klabuni hapo wakati Simon Msuva amepewa tuzo ya mfungaji bora wa klabu mwaka msimu huu. Credit: ShaffihDauda number one sports blog.
![](http://1.bp.blogspot.com/-yTJgUuvZu1o/VSkXdINmVoI/AAAAAAAAHgs/iCFEyfW3Azs/s640/11032014_368588460005633_6821834669348042007_n.jpg)
Yanga facebook family wakipiga...