Ngassa, Msuva, Niyonzima wabeba tuzo Yanga SC
![](http://1.bp.blogspot.com/-yTJgUuvZu1o/VSkXdINmVoI/AAAAAAAAHgs/iCFEyfW3Azs/s72-c/11032014_368588460005633_6821834669348042007_n.jpg)
KUNDI maarufu la Yanga Facebook Family leo asubuhi katika uwanja wa Karume, Ilala, Dar es salaam limekabidhi tuzo ya mchezaji bora wa klabu hiyo kwa Mrisho Khalfan Ngassa.Ngassa amechaguliwa mchezaji bora kutokana na mchango wake mkubwa alioonesha mwaka huu klabuni hapo.Pia Haruna Niyonzima amepewa tuzo ya mchezaji bora wa kigeni klabuni hapo wakati Simon Msuva amepewa tuzo ya mfungaji bora wa klabu mwaka msimu huu. Credit: ShaffihDauda number one sports blog.
Yanga facebook family wakipiga...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziTAWI LA FACEBOOK YANGA LAWAJAZA ZAWADI NIYONZIMA, NGASSA NA DIDA
Wachezaji wa Yanga wakiwa wameshika zawadi walizopewa na tawi la Facebook lenye makazi yake Buguruni jijini Dar es Salaam, baada ya kukabidhiwa kama shukurani kwa kushika nafasi ya pili kwenye msimu uliopita wa Ligi Kuu Tanzania Bara kwenye Uwanja wa Karume jijini Dar es Salaam
Wachezaji wakimsikiliza Mwenyekiti wa Tawi la Facebook
Mwenyekiti wa Tawi la Facebok Josephat Sinzobakwilaakiongea na wachezaji na benchi la ufundi la Yanga
Kocha wa Yanga, Pluijn akikabidhiwa zawadi yake na mlezi...
10 years ago
TheCitizen15 Nov
SOCCER: Ngassa, Niyonzima ‘staying put’
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/j5WbzQSo3h8AuPuodxp2Zwk6MqWPoFRfHVnDThDG*hUfIsjpqqIW7LHtVLbvxeC2J7q8pO4sl6jx*FdZ5K3uuHwZRCNL35RU/max.jpg)
Maximo awaandaa Msuva, Ngassa kuwamaliza Simba
10 years ago
Vijimambo15 Apr
Mkwara wake lazima Msuva na Ngassa watulie
![](http://www.mwanaspoti.co.tz/image/view/-/2685492/highRes/991789/-/maxw/600/-/11q0uc/-/mkwara+picha.jpg)
By Doris Maliyaga Hata hivyo, Geofrey Mwashiuya, winga mpya wa Yanga anajipa moyo kuwa, mradi ametua Jangwani, yupo tayari kukabiliana na ushindani wowote wa namba.
Hata hivyo, Geofrey Mwashiuya, winga mpya wa Yanga anajipa moyo kuwa, mradi ametua Jangwani, yupo tayari kukabiliana na ushindani wowote wa namba.
Chipukizi huyo aliyesajiliwa mwishoni mwa mwaka jana, anasema anajua mwanzo utakuwa mgumu kwake, lakini kwa vile anajiamini na soka analiweza, atakula sahani moja na wakali hao wa...
10 years ago
Mwananchi17 Oct
Dida, Jaja, wabeba jukumu zito Yanga
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-E7laNvNwznQ/VDk6Y-ES6OI/AAAAAAADJWA/SEElTOiX2bM/s72-c/MRISHO%2BNGASSA.jpg)
TUZO YA AFRICA YAMNUKIA NGASSA
![](http://2.bp.blogspot.com/-E7laNvNwznQ/VDk6Y-ES6OI/AAAAAAADJWA/SEElTOiX2bM/s1600/MRISHO%2BNGASSA.jpg)
Ngassa bado anaongoza...
11 years ago
Mwananchi22 May
Ngassa, Samatta kugombea tuzo moja
10 years ago
Mwananchi11 Jun
Tuzo ya pili yanukia kwa Msuva leo
10 years ago
Vijimambo15 Apr
Yanga wamchanganya Msuva
![](http://www.mwanaspoti.co.tz/image/view/-/2685162/highRes/991420/-/maxw/600/-/ga0tf2/-/msuva+picha.jpg)
Straika wa Yanga, Simon Msuva, akiwa na zawadi yake ya mchele aliyopewa na shabiki wa timu yake kutokana na jitihada zake anazofanya uwanjani.
Msuva ambaye ni kinara wa mabao kwenye safu ya ufungaji bora baada ya kufunga 13, alizawadiwa kilo 30 za mchele wa Mbeya baada ya mechi yao na Mbeya City waliyoshinda 3-1 kumalizika. Zawadi hiyo imetolewa na shabiki maarufu wa Yanga, Ally Yanga.MASHABIKI wa soka wanamchanganya mshambuliaji wa Yanga, Simon Msuva lakini mwenyewe akasema kuwa...