Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ngassa, Samatta kugombea tuzo moja

Mchezaji wa Yanga, Mrisho Ngassa pamoja na Mbwana Samatta wa TP Mazembe, wanaumana katika kuwania tuzo za mwanamichezo anayependwa zaidi na watu 

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

TheCitizen

Samatta, Ulimwengu, Ngassa out

Tanzanian TP Mazembe duo Mbwana Samatta and Thomas Ulimwengu as well as Mrisho Ngassa who ply his trade with South African Free State Stars have been left out of the Kilimanjaro Stars squad that will take part in the forthcoming Cecafa Senior Challenge Cup to be held in Ethiopia.

 

10 years ago

Vijimambo

TUZO YA AFRICA YAMNUKIA NGASSA

Mrisho Ngassa Ngassa bado anaongoza kwenye orodha hiyo akiwa amefunga mabao sita katika michuano hiyo sambamba na El Hedi Belameiri wa Es Setif ya Algeria, Haythem Jouini wa Espérance de Tunis ya Tunisia na Ndombe Mubele wa As Vita ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo lakini yeye anawazidi MSHAMBULIAJI wa Yanga, Mrisho Ngassa, anatakiwa kusali sala moja pekee ili aweze kuchukua tuzo ya Mfungaji Bora katika Ligi ya Mabingwa Afrika baada ya michuano hiyo kufika fainali.

Ngassa bado anaongoza...

 

10 years ago

Vijimambo

Ngassa, Msuva, Niyonzima wabeba tuzo Yanga SC


KUNDI maarufu la Yanga Facebook Family leo asubuhi katika uwanja wa Karume, Ilala, Dar es salaam limekabidhi tuzo ya mchezaji bora wa klabu hiyo kwa Mrisho Khalfan Ngassa.Ngassa amechaguliwa mchezaji bora kutokana na mchango wake mkubwa alioonesha mwaka huu klabuni hapo.Pia Haruna Niyonzima amepewa tuzo ya mchezaji bora wa kigeni klabuni hapo wakati Simon Msuva amepewa tuzo ya mfungaji bora wa klabu mwaka msimu huu. Credit: ShaffihDauda number one sports blog.
Yanga facebook family wakipiga...

 

9 years ago

Habarileo

Samatta Inshallah tuzo za Afrika

MACHO na masikio ya wadau wa soka nchini leo yataelekezwa Abuja, Nigeria inapofanyika hafla ya kukabidhi tuzo za wanasoka bora wa Afrika kwa mwaka 2015.

 

9 years ago

Mtanzania

TFF kumsindikiza Samatta tuzo za Afrika

tffNA JUDITH PETER, DAR ES SALAAM

KATIBU Mkuu wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Selestine Mwesigwa, anatarajia kuongozana na mshambuliaji wa timu ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’, Mbwana Samatta, kuelekea kwenye sherehe za utoaji wa tuzo kwa wachezaji bora barani Afrika nchini Nigeria.

Samatta ambaye anakipiga katika klabu ya TP Mazembe ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ambao ni mabingwa wa Ligi ya Mabingwa Afrika, anawania tuzo ya mchezaji bora wa Afrika kwa wachezaji wa ndani.

Taarifa...

 

9 years ago

Mwananchi

Samatta, Toure kuwania tuzo ya mwaka Afrika

Mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania na TP Mazembe, Mbwana Samatta ametajwa katika orodha ya wachezaji wanaowania tuzo ya Mwanasoka Bora wa Afrika inayotolewana Shirikisho la Soka Afrika (CAF).

 

9 years ago

Habarileo

Samatta awania tuzo ya Mwanasoka Bora Afrika

MSHAMBULIAJI wa timu ya taifa ya Tanzania (Taifa Stars) na TP Mazembe ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), Mbwana Samatta ni miongoni mwa wachezaji 10 wanaowania tuzo ya Mchezaji Bora wa mwaka kwa wachezaji wanaocheza soka Afrika.

 

9 years ago

BBCSwahili

Samatta kuwania tuzo ya mchezaji bora wa CAF

Samatta anayechezea TP Mazembe ametajwa miongoni mwa wachezaji 24 watakaowania tuzo ya mchezaji bora Afrika anayechezea soka barani.

 

9 years ago

Global Publishers

Tuzo za Mchezaji Bora Afrika… Samatta Kukwea Pipa Kesho Kwenda Nigeria


SamataBwana580211.jpgMbwana Samatta

Katibu Mkuu wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Mwesigwa Selestine kesho Jumatano anatarajiwa kuongozana na mshambuliaji wa timu ya Taifa ya Tanzania na klabu ya TP Mazembe ya Congo DR, Mbwana Samatta kuelekea nchini Nigeria kwenye sherehe za utoaji wa tuzo kwa wachezaji bora barania Afrika.

samattanMbwana Samatta

Mwesigwa anatarajiwa kuondoka na Samatta kuelekea Nigeria katika mji wa Abuja ambapo sherehe za utoaji tuzo hizo zitafayika Alhamisi Januari 7, ambapo siku ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani