TUZO YA AFRICA YAMNUKIA NGASSA
![](http://2.bp.blogspot.com/-E7laNvNwznQ/VDk6Y-ES6OI/AAAAAAADJWA/SEElTOiX2bM/s72-c/MRISHO%2BNGASSA.jpg)
Mrisho Ngassa Ngassa bado anaongoza kwenye orodha hiyo akiwa amefunga mabao sita katika michuano hiyo sambamba na El Hedi Belameiri wa Es Setif ya Algeria, Haythem Jouini wa Espérance de Tunis ya Tunisia na Ndombe Mubele wa As Vita ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo lakini yeye anawazidi MSHAMBULIAJI wa Yanga, Mrisho Ngassa, anatakiwa kusali sala moja pekee ili aweze kuchukua tuzo ya Mfungaji Bora katika Ligi ya Mabingwa Afrika baada ya michuano hiyo kufika fainali.
Ngassa bado anaongoza...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi22 May
Ngassa, Samatta kugombea tuzo moja
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-yTJgUuvZu1o/VSkXdINmVoI/AAAAAAAAHgs/iCFEyfW3Azs/s72-c/11032014_368588460005633_6821834669348042007_n.jpg)
Ngassa, Msuva, Niyonzima wabeba tuzo Yanga SC
![](http://shaffihdauda.co.tz/wp-content/uploads/2015/04/11150198_368610266670119_6707735268238217996_n.jpg)
KUNDI maarufu la Yanga Facebook Family leo asubuhi katika uwanja wa Karume, Ilala, Dar es salaam limekabidhi tuzo ya mchezaji bora wa klabu hiyo kwa Mrisho Khalfan Ngassa.Ngassa amechaguliwa mchezaji bora kutokana na mchango wake mkubwa alioonesha mwaka huu klabuni hapo.Pia Haruna Niyonzima amepewa tuzo ya mchezaji bora wa kigeni klabuni hapo wakati Simon Msuva amepewa tuzo ya mfungaji bora wa klabu mwaka msimu huu. Credit: ShaffihDauda number one sports blog.
![](http://1.bp.blogspot.com/-yTJgUuvZu1o/VSkXdINmVoI/AAAAAAAAHgs/iCFEyfW3Azs/s640/11032014_368588460005633_6821834669348042007_n.jpg)
Yanga facebook family wakipiga...
10 years ago
Dewji Blog24 Oct
Youth for Africa (YOA) yatambulisha tuzo za Under 30
Mwanzilishi na Mkurugenzi wa Youth For Africa (YOA) Harisson Anthony Mbugi akihojiwa na mwandishi wa habari mudamfupi baada ya kutambulisha rasmi tuzo za vijana chini ya miaka 30 na upendekezaji wa vijana hao, iliyofanyika Idara Maelezo jijini Dar es Salaam Oktoba 23.
Youth For Africa (YOA), Shirika la kitaifa linaloongozwa na vijana ambalo makao yake yapo Dar es Salaam linapenda kuwataarifu wanahabari na umma kuhusu tuzo za vijana chini ya miaka 30 kwa mwaka 2014 ( Under-30 youth...
10 years ago
GPLYOUTH FOR AFRICA (YOA) KUJA NA TUZO ZA UNDER 30 DAR
10 years ago
Bongo508 Dec
Diamond ashinda tuzo nyingine Nigeria ‘The Future Awards Africa’
10 years ago
MichuziYOUTH FOR AFRICA (YOA) YATAMBULISHA TUZO ZA VIJANA CHINI MIAKA 30
Youth For Africa (YOA), Shirika la kitaifa linaloongozwa na vijana ambalo makao yake yapo...
11 years ago
Michuzi10 Apr
ANGALIA LIVE TUZO YA AFRICA'S MOST IMPACTFUL LEADER OF THE YEAR KUTOKA WASHINGTON, DC
9 years ago
Dewji Blog10 Sep
JK apokea tuzo nyingine ya Uongozi na Utawala bora ya ‘Africa Achievers Award’
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete leo, Alhamisi, Septemba 10, 2015 amepokea tuzo nyingine ya kimataifa, siku mbili tu baada ya kupokea tuzo ya kutambua mchango wake katika kudumisha amani na utulivu katika Tanzania.
Rais amekabidhiwa tuzo hiyo ya Uongozi na Utawala Bora na Waziri wa Katiba na Sheria, Mheshimiwa AshaRose Migiro ambaye aliipokea kwa niaba ya Rais Kikwete katika...