Mkwara wake lazima Msuva na Ngassa watulie
By Doris Maliyaga Hata hivyo, Geofrey Mwashiuya, winga mpya wa Yanga anajipa moyo kuwa, mradi ametua Jangwani, yupo tayari kukabiliana na ushindani wowote wa namba.
Hata hivyo, Geofrey Mwashiuya, winga mpya wa Yanga anajipa moyo kuwa, mradi ametua Jangwani, yupo tayari kukabiliana na ushindani wowote wa namba.
Chipukizi huyo aliyesajiliwa mwishoni mwa mwaka jana, anasema anajua mwanzo utakuwa mgumu kwake, lakini kwa vile anajiamini na soka analiweza, atakula sahani moja na wakali hao wa...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/j5WbzQSo3h8AuPuodxp2Zwk6MqWPoFRfHVnDThDG*hUfIsjpqqIW7LHtVLbvxeC2J7q8pO4sl6jx*FdZ5K3uuHwZRCNL35RU/max.jpg)
Maximo awaandaa Msuva, Ngassa kuwamaliza Simba
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-yTJgUuvZu1o/VSkXdINmVoI/AAAAAAAAHgs/iCFEyfW3Azs/s72-c/11032014_368588460005633_6821834669348042007_n.jpg)
Ngassa, Msuva, Niyonzima wabeba tuzo Yanga SC
![](http://shaffihdauda.co.tz/wp-content/uploads/2015/04/11150198_368610266670119_6707735268238217996_n.jpg)
KUNDI maarufu la Yanga Facebook Family leo asubuhi katika uwanja wa Karume, Ilala, Dar es salaam limekabidhi tuzo ya mchezaji bora wa klabu hiyo kwa Mrisho Khalfan Ngassa.Ngassa amechaguliwa mchezaji bora kutokana na mchango wake mkubwa alioonesha mwaka huu klabuni hapo.Pia Haruna Niyonzima amepewa tuzo ya mchezaji bora wa kigeni klabuni hapo wakati Simon Msuva amepewa tuzo ya mfungaji bora wa klabu mwaka msimu huu. Credit: ShaffihDauda number one sports blog.
![](http://1.bp.blogspot.com/-yTJgUuvZu1o/VSkXdINmVoI/AAAAAAAAHgs/iCFEyfW3Azs/s640/11032014_368588460005633_6821834669348042007_n.jpg)
Yanga facebook family wakipiga...
10 years ago
Vijimambo08 Jan
KIWANGO CHA NGASSA KIMESHUKA, LAKINI NI MCHEZAJI MWENYE AKILI, LAZIMA ATARUDI KATIKA KIWANGO CHAKE-PLUIJM
![](http://shaffihdauda.co.tz/wp-content/uploads/2015/01/NGASSA-MRISHO.jpg)
Pluijm alikiri wazi kuwa nyota huyo ameshuka kiwango kwa sasa na ndio maana anaanzia benchi katika mechi mbalimbali, lakini anaonesha juhudi kubwa mazoezini kitendo kinachoonesha wazi ametambua alipo sasa.
“Kiwango cha Ngassa kimeshuka, lakini ni mchezaji mwenye akili, lazima atarudi katika kiwango chake”. Alisema Pluijm.Kocha huyo anayependa soka la kushambulia...
11 years ago
Mwananchi07 Jan
Yanga yachimba mkwara nyota wake
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/rkFK1BYzsGjs6*Wd0SIUPF-d2oOgWJRDkxjA0guUdqFPxByNhQST6O7*XeB8pvj3SNfFIPZsnc48UeT-l6QfGcNht4jMawwG/msuva.jpg)
Msuva alimzuia mdogo wake kusaini Yanga
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/kPWAOYVbPQbFm2vdjp0faKAiWYKCTaj62FikCzBtBbdcG88GvWvhy1qS2q5ORrfN6Bmj3Pa2-nDP76TmFQnSbPpf1n0RE-He/yanga.jpg)
Yanga yaipoka Simba mdogo wake Msuva
9 years ago
Mtanzania04 Nov
Wasanii wawataka Wazanzibari watulie
NA CHRISTOPHER MSEKENA
WASANII mbalimbali waliopo visiwani Zanzibar wameonyesha kuguswa na hali ya Zanzibar, huku wakiwataka mashabiki wao wanaoishi visiwani humo wawe watulivu kipindi hiki cha mgogoro wa kisiasa visiwani humo.
Wasanii hao waliliambia MTANZANIA kwa nyakati tofauti kwamba wameguswa na mgogoro huo, hivyo mashabiki wao hawatakiwi kuwa na papara kwa kuwa mgogoro huo unafanyiwa kazi na utapatiwa ufumbuzi.
Msanii Ally Ramadhan ‘AT’ alisema nchi nyingi huwa zinaingia kwenye...
9 years ago
Mwananchi11 Nov
Maalim Seif awataka Wazanzibari wasikubali kuvurugwa, watulie
11 years ago
Tanzania Daima18 Mar
Sitta achimba mkwara
MWENYEKITI wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta, amewaonya wajumbe wanaozungumza hovyo bungeni bila idhini ya kiti akisema wataingia kwenye matatizo bure. Sitta alitoa angalizo hilo bungeni jana alipokuwa akitoa...