Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Yanga yaipoka Simba mdogo wake Msuva

Straika wa Simba, James Msuva. Na Nicodemus Jonas
KLABU ya Yanga imetangaza nia ya kumuondoa kikosini straika wa Simba, James Msuva ambaye ni mdogo wa winga wa Yanga, Simon Msuva kwa kile walichosema Simba haina uhalali wa kummiliki mchezaji huyo ambaye bado yupo mikononi mwa Klabu ya Wakati Ujao. Katibu wa Yanga, Dk Jonas Tiboroha ambaye ni mwasisi wa Klabu ya Wakati Ujao, amesisitiza kuwa kwake ni muhimu kumuondoa mchezaji...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

Msuva alimzuia mdogo wake kusaini Yanga

JAMES Msuva ambaye ni mdogo wake kiungo mshambuliaji wa Yanga, Simon Msuva. Na Wilbert Molandi
JAMES Msuva ambaye ni mdogo wake kiungo mshambuliaji wa Yanga, Simon Msuva, ametamka kuwa angesaini muda mrefu kuichezea Jangwani, lakini kaka yake ndiye kizuizi kikubwa kwake. Simba hivi sasa ipo kwenye mazungumzo na James mwenye uwezo wa kucheza nafasi nyingi ndani ya uwanja ambazo ni namba 7, 10 na 11, kwa kumsainisha mkataba wa...

 

10 years ago

Mwananchi

Simba yaichokoza Yanga kwa Msuva

Wakati uongozi wa klabu ya Simba ukimwongezea mkataba kiungo wao, Jonas Mkude aliyekuwa akitakiwa na watani wao, Yanga, Wekundu wa Msimbazi wameichokonoa Yanga.

 

10 years ago

TheCitizen

Simba SC test Yanga resolve over Msuva

Simba SC are considering to raid Young Africans for the signature of striker Simon Msuva, a move that must send ripples of shock to the Jangwani Street giants.

 

10 years ago

Mwananchi

Yanga waibeza Simba SC sakata la usajili wa Msuva

Uongozi wa Yanga umeibeza Simba juu ya kauli waliyoitoa hivi karibuni ya kudai kuwa wanaiandikia Yanga barua ya kutaka kumsajili winga wao Simon Msuva.

 

10 years ago

Vijimambo

BAADA YA MAXIMO, SASA PHILI SIMBA OUT NA HUYU NDIYO MRITHI WA WAKE NAE SIJUI ATADUMU SIMBA NA YANGA NI SHIDA

Kocha Patrick Phiri amesema ametaarifiwa kuhusiana na kibarua chake kusitishwa.
Phiri raia wa Zambia amesema ni suala la kawaida kumtokea kocha, hivyo hana kinyongo na uongozi wa klabu hiyo.
"Wamenitaarifu kuhusiana na kuachishwa kazi, hili si jambo jipya, ingawa niliona tungeweza kubadilisha mambo.
"Najua Simba wanataka kufanya vizuri, hivyo siwezi kumlaumu mtu na utaona mwendo wa timu yetu ulivyokuwa," alisema Phiri.
Phiri amesema anasubiri kiasi cha fedha alichokuwa anadai ambacho hakueleza...

 

11 years ago

Bongo5

Diamond atoa sababu za kuwatumia wazungu kwenye video ya ‘Mdogo mdogo’, script iliandikwa na Adam Kuambiana na ‘baby’ wake (Wema)

Kumekuwa na maoni tofauti kuhusiana na video ya ‘Mdogo mdogo’ ya Diamond Platnumz iliyotoka Jumatatu ya wiki hii. Wapo ambao wamefurahishwa na story iliyoko kwenye video hiyo na wengine ambao hawajaiunga mkono moja kwa moja kutokana na kila mmoja kuwa na sababu tofauti hali ambayo imeleta mabishano mengi katika comments za youtube na kwingine. Lakini […]

 

10 years ago

Mwananchi

Yanga mdogo mdogo, Mtibwa kileleni

Yanga imeendelea kutoa dozi Ligi Kuu Bara baada ya kuichapa 2-1 JKT Ruvu katika mechi iliyochezwa jana kwenye Uwanja wa Taifa huku Mtibwa Sugar ikiichapa Mgambo Shooting 1-0 kwenye Uwanja wa Manungu, Morogoro na kujikita kileleni mwa msimamo wa ligi hiyo.

 

10 years ago

Mwananchi

Simba, Azam mdogo mdogo

Timu ya Simba imerudi katika kinyang’anyiro cha kuwania ubingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara baada ya kuichapa Ruvu Shooting 3-0 katika mechi iliyochezwa kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam jana.

 

5 years ago

BBCSwahili

Rais Magufuli aibua gumzo la ushabiki wake kati ya Simba na Yanga

Katika hali ambayo haikutarajiwa, leo kwa mara ya kwanza rais wa Tanzania John Pombe Magufuli ameshuhudiwa kuhudhuria mechi ya mpira wa mpira miguu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani