Simba yaichokoza Yanga kwa Msuva
Wakati uongozi wa klabu ya Simba ukimwongezea mkataba kiungo wao, Jonas Mkude aliyekuwa akitakiwa na watani wao, Yanga, Wekundu wa Msimbazi wameichokonoa Yanga.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima11 Sep
Simba yaichokoza Yanga
KLABU ya Simba imewataka watani zao Yanga kwenda sehemu yoyote wanayohisi watapata ufumbuzi juu ya aliyekuwa mchezaji wao Emmanuel Okwi aliyeidhinishwa Simba siku chache zilizopita kupitia Kamati ya Sheria na...
10 years ago
TheCitizen13 Nov
Simba SC test Yanga resolve over Msuva
10 years ago
Mwananchi15 Nov
Yanga waibeza Simba SC sakata la usajili wa Msuva
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/kPWAOYVbPQbFm2vdjp0faKAiWYKCTaj62FikCzBtBbdcG88GvWvhy1qS2q5ORrfN6Bmj3Pa2-nDP76TmFQnSbPpf1n0RE-He/yanga.jpg)
Yanga yaipoka Simba mdogo wake Msuva
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-4oCOCI625Y0/Vga5yEO7rII/AAAAAAAD9kA/3Dd163fP7rk/s72-c/Simba-vs-Yanga-pic.png)
YANGA NI ZAIDI YA MCHARO WAWALIZA SIMBA KWEUPEEE GOLI 2 BILA MAJIBU UTEJA KWA SIMBA KWISHINEIIIIIII!!
![](http://4.bp.blogspot.com/-4oCOCI625Y0/Vga5yEO7rII/AAAAAAAD9kA/3Dd163fP7rk/s640/Simba-vs-Yanga-pic.png)
10 years ago
Vijimambo15 Apr
Yanga wamchanganya Msuva
![](http://www.mwanaspoti.co.tz/image/view/-/2685162/highRes/991420/-/maxw/600/-/ga0tf2/-/msuva+picha.jpg)
Straika wa Yanga, Simon Msuva, akiwa na zawadi yake ya mchele aliyopewa na shabiki wa timu yake kutokana na jitihada zake anazofanya uwanjani.
Msuva ambaye ni kinara wa mabao kwenye safu ya ufungaji bora baada ya kufunga 13, alizawadiwa kilo 30 za mchele wa Mbeya baada ya mechi yao na Mbeya City waliyoshinda 3-1 kumalizika. Zawadi hiyo imetolewa na shabiki maarufu wa Yanga, Ally Yanga.MASHABIKI wa soka wanamchanganya mshambuliaji wa Yanga, Simon Msuva lakini mwenyewe akasema kuwa...
10 years ago
Mtanzania16 May
Pluijm ambakisha Msuva Yanga
NA ABDUCADO EMMANUEL, DAR ES SALAAM
KOCHA Mkuu wa timu ya Yanga, Hans van Pluijm, amembakisha winga Simon Msuva kwenye timu hiyo kwa mwaka mmoja zaidi, ili kumtengeneza vyema kabla ya kutimkia Afrika Kusini.
Wiki iliyopita Msuva alikwenda kufanya majaribio katika timu ya Bidvest Wits ya Afrika Kusini, ambapo baada ya kurejea nchini ilielezwa amefaulu majaribio hayo.
Pluijm, aliyeongozana na Meneja wa timu hiyo, Hafidh Saleh, walifanya ziara maalumu kwenye Ofisi za Kampuni ya New Habari...
9 years ago
Mwananchi26 Oct
Kiwango champoteza Msuva Yanga
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/j5WbzQSo3h8AuPuodxp2Zwk6MqWPoFRfHVnDThDG*hUfIsjpqqIW7LHtVLbvxeC2J7q8pO4sl6jx*FdZ5K3uuHwZRCNL35RU/max.jpg)
Maximo awaandaa Msuva, Ngassa kuwamaliza Simba