Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Simba yaichokoza Yanga kwa Msuva

Wakati uongozi wa klabu ya Simba ukimwongezea mkataba kiungo wao, Jonas Mkude aliyekuwa akitakiwa na watani wao, Yanga, Wekundu wa Msimbazi wameichokonoa Yanga.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

Simba yaichokoza Yanga

KLABU ya Simba imewataka watani zao Yanga kwenda sehemu yoyote wanayohisi watapata ufumbuzi juu ya aliyekuwa mchezaji wao Emmanuel Okwi aliyeidhinishwa Simba siku chache zilizopita kupitia Kamati ya Sheria na...

 

10 years ago

TheCitizen

Simba SC test Yanga resolve over Msuva

Simba SC are considering to raid Young Africans for the signature of striker Simon Msuva, a move that must send ripples of shock to the Jangwani Street giants.

 

10 years ago

Mwananchi

Yanga waibeza Simba SC sakata la usajili wa Msuva

Uongozi wa Yanga umeibeza Simba juu ya kauli waliyoitoa hivi karibuni ya kudai kuwa wanaiandikia Yanga barua ya kutaka kumsajili winga wao Simon Msuva.

 

10 years ago

GPL

Yanga yaipoka Simba mdogo wake Msuva

Straika wa Simba, James Msuva. Na Nicodemus Jonas
KLABU ya Yanga imetangaza nia ya kumuondoa kikosini straika wa Simba, James Msuva ambaye ni mdogo wa winga wa Yanga, Simon Msuva kwa kile walichosema Simba haina uhalali wa kummiliki mchezaji huyo ambaye bado yupo mikononi mwa Klabu ya Wakati Ujao. Katibu wa Yanga, Dk Jonas Tiboroha ambaye ni mwasisi wa Klabu ya Wakati Ujao, amesisitiza kuwa kwake ni muhimu kumuondoa mchezaji...

 

9 years ago

Vijimambo

YANGA NI ZAIDI YA MCHARO WAWALIZA SIMBA KWEUPEEE GOLI 2 BILA MAJIBU UTEJA KWA SIMBA KWISHINEIIIIIII!!

Yanga ni zaidi ya Mcharo Simba wametepweta baada ya kukubali goli moja kila kipindi alikuwa Tambwe aliandika bao la kwanza dk ya 44 ya kipindi cha kwanza, ikumbukwe kuwa Tambwe alikuwa kipenzi cha wana msimbazi hao na wakampotezea na kunyakuliwa na Yanga. Kipindi cha pili Busungu aliesajiliwa kutoka kwa wafunga buti wa mgambo aliiandikia Yanga bao la 2 dk ya 79. Yanga sasa imefuta uteja uliodumu zaidi ya miaka 5 kila wanavyo kutana na Simbanilikuwa ni kilio tu cha kusanga meno safari hii ni...

 

10 years ago

Vijimambo

Yanga wamchanganya Msuva


Straika wa Yanga, Simon Msuva, akiwa na zawadi yake ya mchele aliyopewa na shabiki wa timu yake kutokana na jitihada zake anazofanya uwanjani. 
Msuva ambaye ni kinara wa mabao kwenye safu ya ufungaji bora baada ya kufunga 13, alizawadiwa kilo 30 za mchele wa Mbeya baada ya mechi yao na Mbeya City waliyoshinda 3-1 kumalizika. Zawadi hiyo imetolewa na shabiki maarufu wa Yanga, Ally Yanga.MASHABIKI wa soka wanamchanganya mshambuliaji wa Yanga, Simon Msuva lakini mwenyewe akasema kuwa...

 

10 years ago

Mtanzania

Pluijm ambakisha Msuva Yanga

NA ABDUCADO EMMANUEL, DAR ES SALAAM
KOCHA Mkuu wa timu ya Yanga, Hans van Pluijm, amembakisha winga Simon Msuva kwenye timu hiyo kwa mwaka mmoja zaidi, ili kumtengeneza vyema kabla ya kutimkia Afrika Kusini.
Wiki iliyopita Msuva alikwenda kufanya majaribio katika timu ya Bidvest Wits ya Afrika Kusini, ambapo baada ya kurejea nchini ilielezwa amefaulu majaribio hayo.
Pluijm, aliyeongozana na Meneja wa timu hiyo, Hafidh Saleh, walifanya ziara maalumu kwenye Ofisi za Kampuni ya New Habari...

 

9 years ago

Mwananchi

Kiwango champoteza Msuva Yanga

Ni nini kinachomsumbua Simon Msuva? Hili ni swali ambalo wadau wa soka nchini wanajiuliza.

 

10 years ago

GPL

Maximo awaandaa Msuva, Ngassa kuwamaliza Simba

Kocha Mkuu wa Yanga, Mbrazil, Marcio Maximo. Goodluck Ngai na Nassor Gallu
KOCHA Mkuu wa Yanga, Mbrazil, Marcio Maximo, amewaandaa viungo washambuliaji Mrisho Ngassa na Simon Msuva kuwa ndiyo chachu kubwa ya ushindi wake dhidi ya watani wao wa jadi Simba, katika mchezo wao wa Oktoba 18, kwenye Uwanja wa Taifa. Simba na Yanga watakutana katika mchezo wa raundi ya nne wa Ligi Kuu Bara, huku zikiwa na kumbukumbu ya sare ya bao...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani