DART yaonya madereva wazembe
![](http://4.bp.blogspot.com/-qgZeTWfNEKY/VoO2yz1g64I/AAAAAAAIPVk/D_tUWW-0Kzw/s72-c/logo-banner.jpg)
Zikiwa zimesalia siku chache kabla ya mradi wa Mabasi Yaendayo Haraka (BRT) kuanza jijini Dar es Salaam, baadhi ya madereva wasio makini wameanza kuharibu miundombinu ya mradi huo unaosubiriwa kwa hamu na wakazi wa jiji hilo.
Uharibifu wa hivi karibuni kabisa kutokea unahusu basi lenye usajili T430 (YUTONG) ikiendeshwa na Abuu Nassar mali ya Kampuni ya Fashion Tourism Investment Limited kugonga Kituo cha Kimara Baruti na kusababisha uharibifu.
Meneja Msimamizi wa Miundombinu wa wakala wa Mradi...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLKAMANDA MPINGA AWAKEMEA MADEREVA WAZEMBE
11 years ago
Tanzania Daima23 Jul
Strabag yaonya madereva
KAMPUNI ya ujenzi ya Strabag inayojenga barabara zitakazotumiwa na mabasi yaendayo kasi jijini Dar es Salaam (Dart), imewaonya madereva wanaotumia barabara ya Morogoro kutokukubali kutozwa ushuru wowote kwa ajili ya...
10 years ago
Dewji Blog22 Jun
PSPF watoa elimu kwa madereva taxi wa wilaya ya Ilala na madereva kujiunga na mpango wa hiari
Afisa Masoko wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF, Ismail Juma akitoa maelezo ya kina kuhusu faida na huduma zitolewazo na Mfuko wa Pensheni wa PSPF hasa katika uchangiaji wa hiari ambapo mtu yeyote anaweza kujionga alipokuwa akiongea na madereva wa taxi wa wilaya Ilala jijini Dar
Mkuu wa Kitengo Cha Elimu wa Jeshi la Polisi, Kikosi cha Usalama Barabarani Makao Makuu, Abel Swai akizungumza na madereva wa taxi wa wilaya ya Ilala(Hawapo pichani) kuhusu kutii sheria za barabarani na...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-zgkNptFx19A/Vb71jxUufMI/AAAAAAABTEo/Vn98NeYoA_Y/s72-c/Bwana%2BRashidi%2BSalehe.jpg)
CHAMA CHA MADEREVA KIMETANGAZA MGOMO WA MADEREVA NCHI NZIMA KUANZIA AGOSTI TISA MWAKA HUU.
![](http://3.bp.blogspot.com/-zgkNptFx19A/Vb71jxUufMI/AAAAAAABTEo/Vn98NeYoA_Y/s640/Bwana%2BRashidi%2BSalehe.jpg)
10 years ago
VijimamboMFUKO WA PENSHENI WA PSPF WATOA ELIMU KWA MADEREVA TAXI WA WILAYA YA ILALA NA MADEREVA KUJIUNGA NA MPANGO WA HIARI
10 years ago
MichuziMFUKO WA PESHNI WA PSPF WATOA ELIMU KWA MADEREVA TAXI WA WILAYA YA ILALA NA MADEREVA KUJIUNGA NA MPANGO WA HIARI
10 years ago
Habarileo26 Jun
Lowassa kukabiliana na viongozi wazembe
WAZIRI Mkuu wa zamani na Mbunge wa Jimbo la Monduli Edward Lowassa amesema endapo CCM itapitisha jina lake kugombea urais na baadaye kuingia Ikulu, atahakikisha anaendesha nchi kwa mchakamchaka na kiongozi ambaye hatafanya kazi atafukuzwa mara moja.
10 years ago
Mwananchi19 Dec
Dk Mwakyembe kuwatimua kazi wazembe
9 years ago
Mwananchi22 Dec
Muhongo kutimua wazembe Tanesco