Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


David kuja na ‘Dunia Haina Siri’

MCHEZA filamu za Kibongo aliyevuma na sinema ya ‘Opportunity Love’ na ‘Binadamu Kigeugeu’, David Justine, anakamilisha kazi yake mpya aliyoipa jina la ‘Dunia Haina Siri’ inayozungumzia masuala ya usaliti kwenye...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Dunia Haina Siri yanukia sokoni

FILAMU iliyopewa jina la ‘Dunia Haina Siri’ iliyochezwa kwa ustadi na msanii David Justine, ipo katika hatua za mwisho za kukamilika na inatarajiwa kuingizwa sokoni mwanzoni mwa mwezi ujao. Akizungumza...

 

10 years ago

BBCSwahili

David Petraeus alitoa siri za Jeshi

Jaji wa Mahakama ya jimbo la North Carolina nchini Marekani ametakiwa kulipa faini ya dola laki moja za Marekani

 

9 years ago

Bongo5

Ja Rule kuja na reality show, double album na ziara ya dunia na Ashanti

Rapper Ja Rule aliyewahi kutumikia kifungo cha miezi 28 jela kuanzia mwaka 2011 anatarajia kuanza kuonekana zaidi kwa kuja na reality show, double album na ziara ya dunia na Ashanti. Kwa sasa Ja Rule anaishi na mke wake Aisha na watoto wao watatu, mama yake na mama mkwe watakaonekana kwenye reality show, Follow the Rules […]

 

9 years ago

Bongo5

Nick wa Pili kuja kuja na wimbo ‘Baba Swalehe’

nikki wa piliRapper wa kundi la Weusi, Nick wa Pili anatarajia kuachia wimbo uitwao Baba Swahele. Amedai kuwa wimbo huo unazungumzia mwanaume bachelor ‘anayeishi ndani ya ndoa.’ “Baba Swalehe ni mtu ambaye anaishi kibachela ndani ya ndoa,” Nick amekiambia kipindi cha XXL cha Clouds FM. “Wimbo ukitoka watajua unawezaje kuishi ndani ya ndoa lakini ukiwa unaishi kibachela? […]

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

CCM: YAANZA KUUZA UZA -HISA ZA PBL KWA $$$: milioni 80. SIRI SIRI

Asalamu Alaikhum Ndugu Watanzania Wa Zanzibar na Tanganyika natumai mumeamka salama na muko katika harakati za kutafuta KIJIO. Ama mimi sina budi ila kumshukuru Mwenyezi Mungu kwakunijaalia kunipa uzima, afay na muda huu mdogo wakufikisha ujumbe […]

The post CCM: YAANZA KUUZA UZA -HISA ZA PBL KWA $$$: milioni 80. SIRI SIRI appeared first on Mzalendo.net.

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

Waficha siri wanapozifichua siri

Na Rashid Abdallah Kule Zanzibar kulisemwa kuwa, hatutoi nchi kwa makaratasi (yaani ushindi hautolewi kwa kura),kisha Jakaya anakazia kwa kusema kuwa wao ni wazoefu wa kutumia mbinu, ni wazoefu wa kushinda kwa mbinu, Nape Nauye anashindia […]

The post Waficha siri wanapozifichua siri appeared first on Mzalendo.net.

 

10 years ago

BBCSwahili

Liverpool haina mashaka na Gerrard

Kocha wa Liverpool Brendan Rodgers amesema ana imani na Steven Gerrard ingawa walipoteza mchezo

 

9 years ago

BBCSwahili

WHO:Sierra Leone haina Ebola

Maelfu ya watu wa Sierra Leone wameteremka katika barabara za mji mkuu, Freetown, kusherehekea kuwa zimepita siku 42 bila ya mtu yeyote kuuguwa ugonjwa wa Ebola.

 

10 years ago

Mwananchi

Laif ni denja, haina mjanja

Ule mzuka ambao sikuwa nao wa kwenda mamtoni, unaanza kama kutoweka taratibu. 

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani