Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ja Rule kuja na reality show, double album na ziara ya dunia na Ashanti

Rapper Ja Rule aliyewahi kutumikia kifungo cha miezi 28 jela kuanzia mwaka 2011 anatarajia kuanza kuonekana zaidi kwa kuja na reality show, double album na ziara ya dunia na Ashanti. Kwa sasa Ja Rule anaishi na mke wake Aisha na watoto wao watatu, mama yake na mama mkwe watakaonekana kwenye reality show, Follow the Rules […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo5

Couple ya Pokello na Elikem kuja na Reality Tv show ya maisha yao baada ya BBA ‘Our World After’

Reality show ya Big Brother Africa imekuwa ikiwafungulia milango washiriki ambao wengi wao baada ya kutoka hupata fursa mbalimbali za kuwatoa kimaisha, kutokana na kuonekana katika nchi nyingi za Afrika hivyo kujenga majina yao kwa miezi mitatu wanayokaa mjengoni. Couple ya Elikem Kumordzi (Ghana) na Pokello Nare (Zimbabwe) iliyozaliwa kwenye BBA, ambao November mwaka jana […]

 

10 years ago

Vijimambo

11 years ago

Michuzi

KISHAKILENA REALITY TV SHOW FIRST EPISODE


KISHAKILENA Reality TV Show LikeBrothaz Production.

KISHAKILENA Reality TV Show is geared towards exploring the complexity of life particularly when beautiful girls referred to as ‘Kishakilena’ come under one roof. Though they share cultural heritage they have different personalities that set out serious life dramas. Episode‐#1 establishes the show’s characters by zeroing in on; Jestina, CoCo Diva, Kim, Nusrat and Linda the four complex personalities.
JESTINA, an educated and...

 

10 years ago

Bongo5

Jay Z na Beyonce kuja na album ya pamoja

Jay Z na Beyonce wameanza kurekodi album ya pamoja, kwa mujibu DJ Skee. DJ huyo amedai kuthibitisha suala hilo kutoka kwa chanzo zaidi ya kimoja. “Couple kubwa kwenye muziki, pengine kwenye burudani, pengine duniani, wanatengeneza album ya pamoja,” alisema. “You know who I’m talking about, Jay Z and Beyonce . I have confirmed and talked […]

 

11 years ago

Michuzi

AFRICA’S BIGGEST REALITY SHOW IS BACK!!!

Are you ready for the drama, loads of laughter and tears? Big Brother Africa will never disappoint! Get ready to be dazzled when Africa’s biggest reality series hits the screens on 7 September 2014!
It’s Big Brother Time and since the first season, the reality series has attracted some funny, dramatic, weird and wonderful characters that have kept viewers glued to the screens 24/7. Some housemates who have been part of this huge show have had their talents realized and have gone on...

 

9 years ago

Bongo5

Tid na Q Chillah wamaliza tofauti zao, waahidi kuja na album ya pamoja

Habari njema kwa mashabiki wa muziki Tanzania ni kuwa hatimaye wanamuziki nguli wa Bongo fleva, Aboubakar Shaaban Katwila a.k.a Q-Chillah na Khalid Mohamed a.k.a Tid Mnyama wamemaliza tofauti zao zilizodumu kwa muda mrefu. Tid na Q Chief walipokuwa kwenye kipindi cha XXL Wasanii hao ambao waliwahi kufanya kazi pamoja katika Top Band ya Tid kabla […]

 

9 years ago

Bongo5

Video: Beka (Natumaini) kuja na album aliyoimba kwa makabila zaidi ya matano

Beka_1

Muimbaji mahiri wa muziki aliyewahi kutamba na wimbo ‘Natumaini’, Beka Ibrozama, anatarajia kuja na album mpya iitwayo Kwetu aliyoimba kwa zaidi ya makabila matano.

Katika makabila hayo hakuna hata moja la kwake.

Ameiambia Bongo5 kuwa ukimya wake ulisababishwa na kuwa busy kuiandaa album hiyo na pia kutengeneza bendi yake itakayoanza hivi karibuni.

“Nimechukua muda mwingi kuitengeneza kwasababu nimeenda lugha kama tano tofauti,” amesema.

“Nimeimba Kinyakyusa, nimeimba Kichaga, nimeimba...

 

10 years ago

Bongo5

Watu 10 wapoteza maisha baada ya helikopta mbili kugongana hewani wakati wakishoot reality show

Watu 10 wakiwemo wanamichezo wa olimpiki wa Ufaransa walioshindana kwenye mashindano hayo ya London 2012 wamekufa baada ya helikopta mbili kugongana hewani nchini Argentina jana. Watu hao walikuwa kwenye mchakato wa kutengeza kipindi cha TV. Washindi wa Olimpiki Camille Muffat, katikati, Florence Arthaud, wa pili kutoka kulia na Alexis Vastine wa mwisho kulia wakiwa pamoja […]

 

9 years ago

Bongo5

Tyga kuonekana kwenye reality Tv show ya Kardashians ‘KUWTK’, na atalipwa $25,000 kwa kila episode

Mapenzi ya Tyga na girlfriend wake Kylie yanazidi kushamiri, rapper huyo anatarajiwa kuonekana kwenye msimu mpya wa reality tv show ya familia ya Kardashians, ‘Keeping Up With The Kardashian’ (KUWTK). Rapper huyo ambaye amekua akionekana na Kylie sehemu nyingi atakuwa analipwa $25,000 kwa kila episode atakayoonekana kwenye kipindi hicho. Tyga aliungana na girlfriend wake Kylie […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani