Video: Beka (Natumaini) kuja na album aliyoimba kwa makabila zaidi ya matano
Muimbaji mahiri wa muziki aliyewahi kutamba na wimbo ‘Natumaini’, Beka Ibrozama, anatarajia kuja na album mpya iitwayo Kwetu aliyoimba kwa zaidi ya makabila matano.
Katika makabila hayo hakuna hata moja la kwake.
Ameiambia Bongo5 kuwa ukimya wake ulisababishwa na kuwa busy kuiandaa album hiyo na pia kutengeneza bendi yake itakayoanza hivi karibuni.
“Nimechukua muda mwingi kuitengeneza kwasababu nimeenda lugha kama tano tofauti,” amesema.
“Nimeimba Kinyakyusa, nimeimba Kichaga, nimeimba...
Bongo5
Habari Zinazoendana
11 years ago
Bongo503 Aug
Album mpya ya 2face ‘The Ascension’ yaingia kwenye orodha ya Billboard ya album zinazouza zaidi duniani
10 years ago
Bongo517 Sep
Jay Z na Beyonce kuja na album ya pamoja
9 years ago
Africanjam.ComNEW VIDEO: MWANA FA - AHSANTENI KWA KUJA / THANKS FOR COMING (Official Video)
Africanjam is website that was launched in December 2013 (with another domain) and on April 2014 the new domain Africanjam(dot)com came into use. It was found by John Kapela who is currently in Dar es Salaam Tanzania. This site provides news from Africa and all over the world in Politics, Sports and Entertainment. We also provide Technology tips, some Amazing Facts as well as Football updates from all over the world. Visit this site everyday for being in touch with everything happening in...
9 years ago
Bongo518 Nov
Video: Beka Ibrozama – Come Back
![beka ibrazama](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/beka-ibrazama-300x194.jpg)
Video mpya ya msanii Beka Ibrozama wimbo unaitwa “Come Back”. Video imeongozwa na Mr.Mahumu
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!
9 years ago
Bongo503 Oct
Ja Rule kuja na reality show, double album na ziara ya dunia na Ashanti
9 years ago
Bongo514 Aug
Tid na Q Chillah wamaliza tofauti zao, waahidi kuja na album ya pamoja
10 years ago
Michuzi29 Jun
9 years ago
Bongo505 Jan
New Video: Mwana FA – Asanteni Kwa Kuja
![fa asanteni](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2016/01/fa-asanteni-300x194.jpg)
Foleni kubwa ya wasanii kuachia video zao mwisho wa mwaka jana 2015, yaweza kuwa sababu iliyomfanya Mwana FA aishikilie video yake kwa muda hadi baada ya mwaka mpya licha ya kukamilika mapema.
‘Asanteni kwa kuja’ ni wimbo mpya wa rapper Mwana FA aka Binamu alioutoa mwishoni mwa mwaka jana na kwenda Afrika Kusini kushoot video yake.
Sasa the wait is over, na tayari Binamu ameachia video hiyo iliyoongozwa na Alessio Bettocchi wa kampuni ya Studio Space Pictures ya Afrika Kusini. Itazame...
9 years ago
MillardAyo23 Dec
Yemi alade kaisambaza hii single mpya aliyoimba kwa kiswahili..(+Audio)
Ni headlines za msanii kutoka Nigeria, Yemi Alade ambaye time hii ameamua kutuletea hii single ya ‘Na Gobe’ (Swahili Version) ambayo ameimba kwa lugha ya kiswahili ili watu wake wa East Africa waweze kumuelewa vizuri zaidi. Kukutana nayo bonyeza play hapa chini ikupeleke moja kwa moja, pia usiache kuniandikia maoni yako baada ya kuisikiliza version […]
The post Yemi alade kaisambaza hii single mpya aliyoimba kwa kiswahili..(+Audio) appeared first on TZA_MillardAyo.