Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


David Luiz: Sijui tutafanya nini ili tuwaone tena Wabrazil wakitabasamu!

Nahodha wa muda wa Brazil, David Luiz amewataka mashabiki wa timu hiyo kote duniani kuwasamehe wachezaji waliokuwa uwanjani Selecao ilipoadhibiwa kichapo cha mabao 7-1 na Ujerumani katika mechi ya kwanza ya nusu fainali ya kombe la dunia huko Brazil. David Luiz akilia kwa uchungu baada ya kipigo cha goli 7-1 Luiz ambae alionekana akilia kwa […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

David Luiz:'Nimewahi kushiriki ngono'

Mlinzi wa klabu ya PSG David Luiz amevishtumu vyombo vya habari kwa kukosa heshima baada ya kukanusha madai kwamba yeye hajawahi kushiriki katika tendo la ngono.

 

10 years ago

Africanjam.Com

WATOTO WA BRAZIL WENYE MWONEKANO KAMA WA DAVID LUIZ NA THIAGO SILVA..


David Luiz na Thiago Silva ambao wakua marafiki tangu wapo wadogo hadi leo wamekua wachezaji wakubwa, sasa hawa watoto wawili ni kivutio kikubwa sana tangu mwaka jana wakati wa World Cup.
Siku ya mechi ya Mexico Vs Brazil ambapo Brazil walishinda kwa 2-0 ikiwa ni sehemu ya kujiandaa na mashindano ya Copa America. Kitu kilichovutia zaidi kwenye mechi hiyo ni watoto wawili ambao wanafanana sana na David na Thiago.
Majina yao ni Lyan na Murilo ambapo waliingia kama watoto wanaosindikiza...

 

10 years ago

Vijimambo

BAADA YA BEKI WA PSG DAVID LUIZ KUPIGWA MATOBO JANA NA SUAREZ HIKI NDICHO KINACHOENDELEA JUU YAKE.



Standing tall or rooted to the ground? This web jokester likens Luiz to Paris's famous Eiffel Tower
This is just nuts! Luiz holds a superimposed jar of Nutella in front of a Parisian skyline in another meme
Luiz is spared in this one as the PSG badge takes centre stage

Familiar faces went head-to-head as ex-Chelsea defender Luiz met ex-Liverpool star Suarez - Keanu Reeves' Neo from the Matrix films had the words - in French no less - to say it all

 

5 years ago

BBCSwahili

David Obala: Kwa nini mbunge wa Uganda alipeleka nzige bungeni?

Video ya mbunge mmoja wa Uganda aliyebeba na kupeleka nzige bungeni imesambaa katika mitandao ya kijamii.

 

10 years ago

Bongo Movies

Jamani jamani, hii nini tena jamani?? Shilole na Nuh mziwanda wachafua mtandao tena

LEO kupitia kwenye kwenye mtandao ule maarufu wa picha nchini, msanii Nuhu mziwanda a.k.a mume mtarajiwa wa mwanadada Shilole ameweke picha hiyo hapo juu ambayo imezua utata mkubwa sana kwa wadau wachache walioiona picha hiyo kwenye mtandao, kabla haijafutwa. Wengi wao wamehoji,

 je kuna umuhimu gani wa kutupia mambo mazito kama hayo kwenye mitandao ya kijamii??

 

Picha hiyo ilikuwa na maandishi yanayosema

 

“I’m just hold it tight, my favorite thing on her boy”

 

Kwanza kabisa...

 

10 years ago

GPL

WANAPENDANA, WEWE UNAWAFITISHA WAACHANE ILI UPATE NINI?

Namshukuru Mungu kwa kunifanya niione wiki hii nikiwa mzima wa afya huku nikiendelea vyema na shughuli zangu za kila siku kama kawaida. Natumaini nawe hujambo na uko tayari kukisoma kile nilichokuandalia. Hata hivyo, kabla ya kwenda kwenye mada ya leo, niwashukuru sana wasomaji wangu ambao wamekuwa wakinitumia sms na wakati mwingine kunipigia kunipongeza kwa yale ambayo nimekuwa nikiyaandika kupitia ukurasa huu. Namshukuru sana...

 

10 years ago

Mwananchi

Waogombea urais Ukawa wajitokeze tuwaone

Je, ni kutekeleza msemo wa kimya kingi kina mshindo? Kwamba Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), unasubiri kuja kuwashangaza Watanzania.

 

10 years ago

Michuzi

MHE.DAVID KAFULILA ACHUKUA FOMU YA KUGOMBEA UBUNGE TENA KATIKA JIMBO LA KIGOMA KASINI KUPITIA CHAMA CHA NCCR-MAGEUZI

 Mhe Kafulila akihutubia maelfu ya wakazi wa Nguruka mara baada ya kupokea fomu ya kugombea ubunge katika jimbo lake.aliyokabidhiwa na wazee wa jimbo hilo Mhe David Kafulila ikiingia katika viwanja vya shule ya msingi Nguruka kwaajili ya kuchukua fomu ya kugombea ubunge kwa awamu ya pili jimboni kwake.  Mhe Kafulila akiwaaga wananchi wa Nguruka baada ya kumaliza mkutano wake wa hadhara.Baadhi ya wananchi wa Nguruka waliohudhuria mkutano wa hadhara wa Mhe.David Kafulila na kushuhudia...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani