DAVIDO NDANI YA NGOMA MOJA NA RIHANNA
![](http://api.ning.com:80/files/UJ8aoEZo49YLSDnQaKmJ-ZeioKbVKvK2SnYnm72zoBaEhtHKqAuMEcmqm9AKUw*z9gkZiKlJEaiCEOP3zd48bpNpt9ce*YRg/DavidoIII.gif?width=650)
Staa wa muziki kutoka Nigeria, David Adedeji Adeleke ‘Davido’. Lagos, Nigeria STAA wa muziki kutoka Nigeria, David Adedeji Adeleke ‘Davido’amefungukia ujio wake mpya kupitia mitandao ya kijamii kuwa yupo mbioni kufanya kolabo na Rihanna. Rihanna. Kupitia ukurasa wake wa Twitter, Davido aliulizwa na mashabiki baada ya kufanya kolabo la kimataifa na rapa kutoka Marekani, Meek Mill kupitia Ngoma ya Fans...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo505 Feb
Vanessa Mdee na Davido washirikishwa kwenye ngoma moja ya msanii wa Ghana, D-Black
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-3WgwXRk4gN8/VnOqXyh_NwI/AAAAAAAINNQ/0WWAjHgnBSg/s72-c/indexM.jpg)
Linah, Feza Kessy ndani ya jukwaa moja na Davido nchini Nigeria
![](http://1.bp.blogspot.com/-3WgwXRk4gN8/VnOqXyh_NwI/AAAAAAAINNQ/0WWAjHgnBSg/s400/indexM.jpg)
Wanamuziki nyota wa bongo fleva nchini, Estelina Peter Sanga maarufu kwa jina la Linah Sanga na Feza Kessy ijumaa watapanda jukwaa moja na nyota kibao wa Nigeria katika tamasha kubwa la mwaka la muziki lijulikanalo kwa jina la Soundcity Urban Festival.
Tamasha hilo pia litawashirikisha wasanii nyota wa Nigeria kama, Davido, Kiss Daniel, Iyanya na Olamide. Katika orodha hiyo wapo wasanii nyota wengine kama Victoria Kimani, Runtown, Sound Sultan, Lil Kesh, Ycee, Sean Tizzle...
9 years ago
Global Publishers18 Dec
Linah, Feza Kessy ndani ya jukwaa moja na Davido, Iyanya, Kiss Daniel Nigeria leo
Estelina Peter Sanga.
Na Mwandishi wetu
Wanamuziki nyota wa Bongo Fleva nchini, Estelina Peter Sanga maarufu kwa jina la Linah Sanga na Feza Kessy leo ijumaa watapanda jukwaa moja na nyota kibao wa Nigeria katika tamasha kubwa la mwaka la muziki lijulikanalo kwa jina la Soundcity Urban Festival.
Tamasha hilo pia litawashirikisha wasanii nyota wa Nigeria kama, Davido, Kiss Daniel, Iyanya na Olamide. Katika orodha hiyo wapo wasanii nyota wengine kama Victoria Kimani, Runtown, Sound Sultan,...
10 years ago
Bongo513 Oct
Tudd Thomas atengeneza ngoma zingine za Davido, Iyanya na KCEE
9 years ago
Bongo526 Nov
Album mpya ya Rihanna ‘ANTI’ itapatikana exclusive kwa wiki moja kwenye Tidal
![rihanna-anti-mama-gallery-2015-billboard-650](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/rihanna-anti-mama-gallery-2015-billboard-650-300x194.jpg)
Kuna tetesi kuwa album mpya na ya nane ya Rihanna, ANTI itatoka Ijumaa hii na kupatikana kwenye mtandao wa Tidal peke yake kwa kipindi cha wiki moja kabla ya kuwekwa kwingine.
Billboard wamedai kuwa hatua hiyo itaathiri mauzo ya wiki ya album hiyo. Rihanna ni miongoni mwa mastaa wenye hisa kwenye mtandao wa Tidal.
Hata hivyo kazi nyingi zilizowekwa kwenye mtandao huo zimeonesha kutokuwa na mapokezi makubwa kama zinazowekwa kwenye Spotify na YouTube.
Mfano mzuri ni wimbo wake ‘American...
9 years ago
Mtanzania18 Dec
Linah, Feza jukwaa moja na Davido Nigeria leo
NA MWANDISHI WETU
WANAMUZIKI nyota wa Bongo fleva nchini, Estelina Peter Sanga ‘Linah Sanga’ na Feza Kessy, leo watapanda jukwaa moja na nyota kibao wa Nigeria, katika tamasha kubwa la mwaka la muziki lijulikanalo kwa jina la Soundcity Urban Festival, litakalofanyika Lagos, Nigeria.
Tamasha hilo pia litawashirikisha wasanii wakali nchini humo kama vile Davido, Kiss Daniel, Iyanya na Olamide, huku wengine wakiwa Victoria Kimani, Runtown, Sound Sultan, Lil Kesh, Ycee, Sean Tizzle na...
9 years ago
Bongo504 Dec
Video: Davido na Wizkid watumbuiza pamoja kwenye jukwaa moja Lagos
![wizkid-davido2](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2014/10/wizkid-davido2-300x194.jpg)
Mastaa wa muziki wa Nigeria, Davido na Wizkid wamethibitisha kumaliza kabisa tofauti zozote zilizowahi kuwepo kati yao, baada ya kutumbuiza pamoja jukwaani kwenye show iliyofanyika Alhamisi Dec.3, 2015 jijini Lagos.
Kwa mujibu wa video iliyosambaa ya show hiyo ya club, Davido ndiye aliyekuwa wa kwanza kupanda jukwaani na kuimba wimbo wake wa ‘Dami Duro’, na wakati wimbo unaelekea kuisha ghafla Wizkid alitokea upande wa mashabiki na kuvutwa mkono na Davido kupanda jukwaani, wakaendelea...
9 years ago
Bongo517 Dec
Linah na Feza Kessy kupanda jukwaa moja na Davido, Iyanya Lagos
![12301250_207304429604231_67909760_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/12301250_207304429604231_67909760_n-300x194.jpg)
Feza Kessy na Linah watapanda jukwaa moja na wasanii wa Nigeria wakiwemo M.I, Davido, Phyno, Iyanya na Runtown kwenye show ya Soundcity Urban Blast Festival 2015 Ijumaa hii.
Msanii wa Kenya, Victoria Kimani naye atatumbuiza.
“Nigeria I hope your ready cos Ive been so ready. Tanzanian angels about to rock Lagos soon. Ayeee,” ameandika Feza kwenye Instagram.
Shilole pia ameongoza na wasanii hao japo haijulikani kama naye atatumbuiza.
Feza akiwa na meneja wa Panamusiq Doreen Estazia