Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


DAYNA AFUNGUKA SKENDO YA KUTOKA NA MR BLUE!

HUYU ANATAKA KUJUA
Dayna wewe ni mwenyeji wa wapi? Nakukubali sana katika fani kwa kukusikia, sijawahi kukuona, natamani sana nikuone. Selemani Alifa, Dar, 0718803204
DAYNA: Nimezaliwa Mwanza ila nimekulia Dodoma. Kuhusu kuniona karibu sana kwenye shoo zangu ndiyo njia rahisi ya kuniona. Mbongo Fleva, Dayna Nyange MICHEPUKO
Kila kizuri kinahitaji pongezi, kiukweli wewe ni mzuri na una mvuto, hivi unaepuka vipi vishawishi...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

New Song: Dereva Makini-Banaba, Amini, Dayna & Mr.Blue

IMG-20140725-WA0006  Katika kuunga mkono jitihada za kupunguza ajali barabarani,wakali katika muziki wa bongo fleva Mr Blue, Amini, Banaba Boy na Dyna Nyange wamerekodi wimbo wa pamoja kuhamasisha uzingatiaji wa usalama barabarani na kwenye vyombo vya usafiri. Wimbo unaitwa Dereva Makini umetayarishwa na katika studio za C9. Kampeni hiyo ya dereva makini imeandaliwa na Transevents Marketing ambao ndio wamiliki wa tovuti ya Kariakoo Digital kwa lengo la kutoa hamasa kwa madereva kuwa makini wanapoendesha...

 

11 years ago

Dewji Blog

New Music: Dereva Makini-Banaba, Amini, Dayna & Mr.Blue

IMG-20140725-WA0006

Katika kuunga mkono jitihada za kupunguza ajali barabarani wakali katika muziki wa bongo fleva Mr Blue, Amini, Banaba Boy na Dyna Nyange wamerekodi wimbo wa pamoja kuhamasisha uzingatiaji wa usalama barabarani na kwenye vyombo vya usafiri. Wimbo unaitwa Dereva Makini umetayarishwa na katika studio za C9.

Kampeni hiyo ya dereva makini imeandaliwa na Transevents Marketing ambao ndio wamiliki wa tovuti ya Kariakoo Digital kwa lengo la kutoa hamasa kwa madereva kuwa makini wanapoendesha magari...

 

10 years ago

GPL

MADAHA AFUNGUKA SKENDO YA KUJIUZA, KUTOKUWA NA PA’ KUISHI

Baby Joseph Madaha ndiye ambaye wiki hii yuko hapa kujibu maswali 10 ambayo mwandishi wetu Gladness Mallya alimuuliza. Ilikuwa hivi; Staa Baby Joseph Madaha. Ijumaa: Umekuwa ukitajwa kuwa wewe ni msanii wa kike unayeongoza kwa kubadilisha mabwana kila kukicha, hili likoje? Baby Madaha: Ukweli hiyo huwa inatokea tu na huwa sipendi kusumbuliwa na mwanaume, nikiona ananizingua nammwaga. Hata hivyo, kwa sasa nimeamua kutulia...

 

11 years ago

GPL

LINAH NA SKENDO YA KUTOKA NA KIGOGO

Na Musa Mateja
STAA wa Bongo Fleva, Estelinah Sanga ‘Linah’ amepangua skendo inayomtafuna ya kutoka na kigogo mmoja wa wizara nyeti ya Serikali ya Tanzania na kupachikwa ujauzito. Estelinah Sanga ‘Linah’. Akizungumza na mwandishi wetu, Januari 17, mwaka huu, Linah alisema shutuma hizo zimemwandama wakati siyo za kweli na hana uhusiano wa kimapenzi na kigogo yeyote wa serikalini. “Watu...

 

10 years ago

Bongo5

Beyonce na Jay Z kuhamia L.A kutoka New York, wamwandikisha Blue Ivy kwenye shule ya milioni 25 kwa mwaka

Beyonce na Jay Z wanahamia jijini Los Angeles baada ya kuishi jijini New York kwa miaka mingi, mtandao wa TMZ umedai. Umesema Beyonce na Jay Z kwa sasa wanaishi kwenye hoteli huko Beverly Hills na wanatafuta nyumba ya kununua. Mtandao huo pia umedai kuwa mastaa hao wamemwandikisha mtoto wao Blue Ivy mwenye miaka mitatu kwenye […]

 

11 years ago

Mwananchi

Dayna Sifugi madansa

Msanii wa muziki wa kizazi kipya nchini Mwanaisha Nyange maarufu kama Dayna amesema anamiliki madansa wawili tu kwa kuwa ana uwezo wa kuwahudumia katika kila hitaji lao la lazima.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani