Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


New Song: Dereva Makini-Banaba, Amini, Dayna & Mr.Blue

IMG-20140725-WA0006  Katika kuunga mkono jitihada za kupunguza ajali barabarani,wakali katika muziki wa bongo fleva Mr Blue, Amini, Banaba Boy na Dyna Nyange wamerekodi wimbo wa pamoja kuhamasisha uzingatiaji wa usalama barabarani na kwenye vyombo vya usafiri. Wimbo unaitwa Dereva Makini umetayarishwa na katika studio za C9. Kampeni hiyo ya dereva makini imeandaliwa na Transevents Marketing ambao ndio wamiliki wa tovuti ya Kariakoo Digital kwa lengo la kutoa hamasa kwa madereva kuwa makini wanapoendesha...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Dewji Blog

New Music: Dereva Makini-Banaba, Amini, Dayna & Mr.Blue

IMG-20140725-WA0006

Katika kuunga mkono jitihada za kupunguza ajali barabarani wakali katika muziki wa bongo fleva Mr Blue, Amini, Banaba Boy na Dyna Nyange wamerekodi wimbo wa pamoja kuhamasisha uzingatiaji wa usalama barabarani na kwenye vyombo vya usafiri. Wimbo unaitwa Dereva Makini umetayarishwa na katika studio za C9.

Kampeni hiyo ya dereva makini imeandaliwa na Transevents Marketing ambao ndio wamiliki wa tovuti ya Kariakoo Digital kwa lengo la kutoa hamasa kwa madereva kuwa makini wanapoendesha magari...

 

11 years ago

Michuzi

Video: Mr. Blue, Dyna, Barnaba Boy na Amini warekodi wimbo wa kampeni ya dereva makini 2014

Ni ukweli usiopingika kuwa ajali zimekuwa ni mwiba mchungu kwa familia, jamii na taifa kwa ujumla unaoacha kilio, walemavu, yatima, wajane na wagane kila kukicha. 
Katika kuunga mkono jitihada za kupunguza ajali barabarani wakali katika muziki wa bongo fleva Mr Blue, Amini, Barnaba Boy na Dyna Nyange wameshiriki kurekodi wimbo wao utakaotumika kwenye kampeni ya dereva makini inayolenga kuhamasisha uzingatiaji wa usalama barabarani na kwenye vyombo vya usafiri. 
Wimbo huo umerekodiwa na...

 

10 years ago

GPL

DAYNA AFUNGUKA SKENDO YA KUTOKA NA MR BLUE!

HUYU ANATAKA KUJUA
Dayna wewe ni mwenyeji wa wapi? Nakukubali sana katika fani kwa kukusikia, sijawahi kukuona, natamani sana nikuone. Selemani Alifa, Dar, 0718803204
DAYNA: Nimezaliwa Mwanza ila nimekulia Dodoma. Kuhusu kuniona karibu sana kwenye shoo zangu ndiyo njia rahisi ya kuniona. Mbongo Fleva, Dayna Nyange MICHEPUKO
Kila kizuri kinahitaji pongezi, kiukweli wewe ni mzuri na una mvuto, hivi unaepuka vipi vishawishi...

 

10 years ago

Vijimambo

New Song From Blue Sky Studio

I want you to know that now you can, with not string attached right from here Dar es salaam, download songs for free, listen at your pleasure, upload at your own accord any type of songs,at Home - zipakue   image     Home - zipakueHome - Tanzania music video free download bongo flava gospel website filamu songs and lyrics - zipakueView on www.zipakue.comPreview by Yahoo 
Best RegardsRay
Thanks for your support

 

10 years ago

Michuzi

DO IT - Song by Rossie eM featuring Joh Makini dropping out soon!


#NewSongAlert#supportgoodmusicCc @rossiempangala_ @johmakini

 

10 years ago

GPL

TAHADHARI: KONA HIZI ZA IYOVI NI KALI, DEREVA KUWA MAKINI, EPUSHA MAISHA YA ABIRIA

Wewe ni  dereva  wa basi la abiria ama gari  binafsi ? hebu  chukua  hatua ya  kupunguza ajali  leo kwa kujihadhari na  kona  hizi na Iyovi na Kitonga na  kona  nyingine kali kama  hizi nchini kwani maisha  yako ni  dhamani  kubwa na uhai  wake bado tunautamani.  Vema  kuheshimu alama  za barabarani na  kuacha mbwembwe  uwapo  barabarani katika kona kali kama...

 

11 years ago

CloudsFM

Brand New Song: Country Boy Ft. Blue Mchaka Mchaka

Hii ni ngoma nyingine mpya kutoka kwa Country Boy inaitwa Mchaka Mchaka, ngoma imefanyika chini ya producer Messen Selekta, Blue ameisimamia vya kutosha chorus ya ngoma hii…
unaweza kuiskiliza kwakubonyeza play

 

9 years ago

MillardAyo

Wanaomtaka Joh Makini kimataifa? Diamond na Nahreel kuhusu ‘Nana’? Simba ya Mr. Blue na Diamond? (+Audio)

Kama ulipitwa na stori kubwa tatu kwenye 255 iliyosikika kwenye show ya XXL Clouds FM, ninazo hapa za Joh Makini, Diamond na Afande Sele. Joh Makini kwenye level za kimataifa sasahivi… rapper huyo amesema kuna majina makubwa ya wanaotaka collabo ila hawezi kuyataja japo kwenye majina hayo yupo Davido pia kutoka Nigeria. Nahreel aliwahi kuzungumzia […]

The post Wanaomtaka Joh Makini kimataifa? Diamond na Nahreel kuhusu ‘Nana’? Simba ya Mr. Blue na Diamond? (+Audio) appeared first on...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani