LINAH NA SKENDO YA KUTOKA NA KIGOGO
![](http://api.ning.com:80/files/jF4-qtz-5QdKNmcz5tMzq7Q0xPgBKy44EshdSS6cHCaGZomlssYnUNMSL0hqwZaoU92qXvGQzpfBBcgOw9hrBGzG2Wu12*yf/linah.jpg?width=450)
Na Musa Mateja STAA wa Bongo Fleva, Estelinah Sanga ‘Linah’ amepangua skendo inayomtafuna ya kutoka na kigogo mmoja wa wizara nyeti ya Serikali ya Tanzania na kupachikwa ujauzito. Estelinah Sanga ‘Linah’. Akizungumza na mwandishi wetu, Januari 17, mwaka huu, Linah alisema shutuma hizo zimemwandama wakati siyo za kweli na hana uhusiano wa kimapenzi na kigogo yeyote wa serikalini. “Watu...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/7C-F8e0yGIYgx4ARHXmgq7JPa3FJjpN9vJj7VC1zlZJnL1dYsXtF5AvA1wpmt8-Z*tLGmQQj9GIS5ZHUIiK0mHbLZRgabphw/dynaa.jpg)
DAYNA AFUNGUKA SKENDO YA KUTOKA NA MR BLUE!
HUYU ANATAKA KUJUA
Dayna wewe ni mwenyeji wa wapi? Nakukubali sana katika fani kwa kukusikia, sijawahi kukuona, natamani sana nikuone. Selemani Alifa, Dar, 0718803204
DAYNA: Nimezaliwa Mwanza ila nimekulia Dodoma. Kuhusu kuniona karibu sana kwenye shoo zangu ndiyo njia rahisi ya kuniona. Mbongo Fleva, Dayna Nyange MICHEPUKO
Kila kizuri kinahitaji pongezi, kiukweli wewe ni mzuri na una mvuto, hivi unaepuka vipi vishawishi...
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/YjiLYtdNlNc/default.jpg)
KICHUPA KIPYA KUTOKA KWA LINAH FT BELLA
![](http://i0.wp.com/millardayo.com/wp-content/uploads/2015/03/lina.png?resize=433%2C184)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jF779BPAXfbIEIcZp*y2eb1*kzoYYRH1cs-vMdAqYjV4Rt5Mr0n8O5Cz7XrK6Qsqs2BZ8cDqwuVx6sx0IqngW0zoBHLQ127D/MASOGANGE.jpg)
MASOGANGE NA SKENDO YA UTAPELI
Stori: Imelda Mtema
VIDEO Queen matata Bongo, Agnes Jerald ‘Masogange’ amefungua mdomo wake na kuwaka kuwa anachukizwa na tabia ya baadhi ya watu ambao wanatumia jina lake kutapeli kwenye mtandao wa kijamii wa Facebook.Akizungumza na mwanahabari wetu, Masogange alisema kuwa watu wanaotumia jina lake wakome Video Queen matata Bongo, Agnes Jerald ‘Masogange’. kwa sababu wanamjengea hisia tofauti...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/0PKyB0rYTqrczGFnqqfm1MHta7oLvEG8Iog358i-*TNU1AY2*XIEQMVdutykDSjO3nYTMZAPwt0oixiBYcJf9hNMgtIEmMj*/amandaaaa.jpg?width=650)
UKWELI SKENDO YA AMANDA KUBAKWA
Stori: Sifael Paul na Gladness Mallya
MAMBO hadharani! Staa wa sinema za Kibongo, Tamrina Mohamed Poshi ‘Amanda’ ameanika ukweli juu ya skendo iliyoenea kama moto wa kifuu kuwa amebakwa jijini Arusha. Staa wa sinema za Kibongo, Tamrina Mohamed Poshi ‘Amanda’. Awali, Risasi Jumamosi lilipokea skendo hiyo kutoka kwa vyanzo vyake ambapo ilidaiwa kwamba Amanda alifanyiwa ‘unyambilisi’ huo...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/7TcBzbi1eXpgneBvjWGa48e6Bi2wFuWT*uKrOT7Y8XMgCzjuT*k3WMcu4pXzWvO6jYpdI8kPwy6lzjskR0G8k6Jeh1khsGXK/top10.jpg?width=650)
TOP 10 VINARA WA SKENDO 2013
Stori: Gladness Mallya
KATIKA ulimwengu wa mastaa kuna ambao wamekuwa wakitikisa kwa skendo mbalimbali kwa mwaka 2013 ambazo ziliwachefua mashabiki wao, Ijumaa Wikienda linakupa Top 10 ya skendo hizo.
AGNES GERALD ‘MASOGANGE’
Video Queen huyo alitikisa mwaka 2013 kwa skendo ya kukamatwa na dawa za kulevya huko Afrika Kusini na kuwekwa rumande kwa siku kadhaa.
Baadaye alifikishwa mahakamani ambapo...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/j2M1I3T7jzk3m2BiKwwVo*UCMi4LSOONUJXzzbSGyd1Hl5rQ3IGpcJKcfi*OX24SQxNMVV6AxQON6788nV1Jk0a*HgoAYIqW/woloper.jpg)
SKENDO YA FREEMASON YAMGANDA WOLPER
Stori: Gladness Mallya na Musa Mateja
BAADA ya hivi karibuni kunaswa akiingia katika jengo lao, staa mwenye mvuto kunako gemu la filamu Bongo, Jacqueline Wolper amezidi kugandwa na skendo ya Jamii ya Siri (Secret Society) ya Freemason akidaiwa kuishi kwa masharti ya taasisi hiyo huku nyumba yake ikiwa imejaa vitu vinavyodaiwa kuwa vya ‘Ki-freemason’. Staa mwenye mvuto kunako gemu la filamu Bongo, Jacqueline...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/0U8UQjwDEm9sxiBOwss-sQDUhzkcs4C5D1bOHVyxgNf66aVod8b*7lMvHX5yjOMwSo10RxQnlMdpiLZDf4DAuppLxb3DiVQi/MAI.jpg)
MAIMATHA AKWAA SKENDO YA UTAPELI
Stori: Gladness Mallya SKANDALI! Prizenta maarufu Bongo, Maimatha Jesse amejikuta katika wakati mgumu baada ya kukwaa skendo ya utapeli kutokana na dawa za kukuza maungo anazoziuza kuwa hazifanyi kazi.
Sosi ameibua utapeli huo wa Maimatha kwa kusema: Prizenta maarufu Bongo, Maimatha Jesse akipozi katika duka lake la vipodozi. “Maimatha anatapeli watu na dawa zake, yaani tumepaka mabinti wengi hazitusaidii chochote, ni...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania