DC CHATO AANZA NA KILIMO
![](http://3.bp.blogspot.com/-oaf-ma48Cxw/VlXDLwPuNSI/AAAAAAAIIZI/QZaWSi0ynek/s72-c/1.jpg)
Mkuu wa Wilaya ya Chato Mhe. Shaaban Ntarambe akiongea na watendaji na maafisa ugani wa Tarafa ya Kachwamba.
Na Richard Bagolele- Chato.
Mkuu wa Wilaya ya Chato Bw. Shaaban Ntarambe amesema wataalamu wa kilimo vijijini wanao wajibu mkubwa katika kuhakikisha uzalishaji wa mazao ya chakula na Biashara unaongezeka na kukidhi mahitaji ya jamii na masoko.
Mkuu wa Wilaya ameyasema hayo kwenye ziara ya kuhamasisha shughuli za kilimo wilayani hapa ziara ambayo ameifanya kwenye tarafa zote tano ambapo...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-N_WwYfPepEQ/Uw9Xwqh0VxI/AAAAAAAFQCM/qAL6v3houMU/s72-c/unnamed+(1).jpg)
DC CHATO AZIHIMIZA KAMATI ZA ELIMU NA KILIMO
![](http://1.bp.blogspot.com/-N_WwYfPepEQ/Uw9Xwqh0VxI/AAAAAAAFQCM/qAL6v3houMU/s1600/unnamed+(1).jpg)
Mkuu wa Wilaya ameyasema hayo mjini Chato wakati akiwasilisha Taarifa ya utekelezaji wa ilani ya Uchaguzi wa chama cha Mapinduzi (CCM) kwa wajumbe wa Halmashauri kuu ya CCM Wilaya.
Mkuu wa Wilaya ya Amesema kuundwa kwa kamati za Kilimo na Elimu katika ngazi ya kata zinatoa fursa kwa wanakamati hao kusimamia masuala yote muhimu...
11 years ago
Michuzi19 Mar
WARSHA YA UBORESHAJI WA KILIMO CHA APPLES MAKETE KWA MAAFISA KILIMO YAFUNGULIWA
5 years ago
MichuziSHIRIKA LA KILIMO ENDELEVU TANZANIA LAKAMILISHA MTALAA MPYA WA KILIMO,VYUO 29 KUANZA KUUTUMIA
SHIRIKA la Kilimo Endelevu Tanzania(SAT) likamilisha mtaala mpya wa kilimo ambao unatarajiwa kuanza kutumia kwenye vyuo vya mafunzo ya kilimo 29 nchini ikiwa ni mkakati wa kuhakikisha mtaala huo unaendana na mahitaji ya sasa.
Akizungumza na waandishi wa habari za kilimohai wakati wa mafunzo maalumu ya kilimo hicho, Meneja wa Mradi wa SAT Mgeta Daud amesema mtaala huo wameufanikisha kwa kushirikiana na Wizara ya Kilimo kupitia Divisheni ya Mafunzo,...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-CEolNwkaNTo/Xud4p7LQT3I/AAAAAAALt6Q/615-yFRQRP8Jd-nT3_nZc-XS9toxJYbVACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200612_144439_2%2B%25281%2529.jpg)
MASAWE AGUSIA BAJETI 2020/2021 NA KUSISITIZA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA KILIMO ILI KUENDANA NA TEKNOLOJIA YA KILIMO CHA KIDIGITAL
![](https://1.bp.blogspot.com/-CEolNwkaNTo/Xud4p7LQT3I/AAAAAAALt6Q/615-yFRQRP8Jd-nT3_nZc-XS9toxJYbVACLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200612_144439_2%2B%25281%2529.jpg)
Aidha upande wa suala la uboreshaji wa kilimo kwa kuweka mazingira ya upatikanaji wa vifaa vya kilimo kwa gharama nafuu ikiwa ni...
5 years ago
MichuziWAZIRI WA KILIMO NA WAZIRI WA VIWANDA WAONGOZA KIKAO KAZI KUJADILI UFUNGAMANISHAJI SEKTA YA KILIMO NA MIKAKATI YA KUTAFUTA MASOKO
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-A9JNWBLu2bc/XtjetbaDUTI/AAAAAAALsms/oPT1AWznw0csjjgGVQ_aXzjQ6BtxpeknwCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200604-WA0078.jpg)
WANANCHI WASHAURIWA KULIMA KILIMO CHA MATONE BADALA YA KILIMO CHA MAZOEA KINACHOHARIBU MAZINGIRA
Na Pamela Mollel, Arusha.
KUELEKEA kilele Cha maadhimisho ya siku ya Mazingira Duniani ambayo hufanyika Juni 5 ya kila mwaka wananchi wameshauriwa kulima kilimo cha matone badala ya kilimo cha mazoea ambacho kimekuwa kikiharibu mmomonyoko wa ardhi na kusabisha uharibifu wa mazingira
Hayo yameelezwa leo Juni 4,2020 na Meneja wa NEMC Kanda ya Kaskazini Lweis Nzali alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari ambapo amewaomba kutumia vyombo vya habari kuelimisha wananchi kuhusu matumizi ya...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-DHnq2kaMQ-Q/U3TNnw5E_tI/AAAAAAAAFa8/3WLjrMld-ZY/s72-c/IMG_1363.jpg)
MKUU WA MKOA WA RUKWA AONANA NA WATAFITI KUTOKA TAASISI YA UTAFITI WA KILIMO UYOLE MBEYA KUJADILI KUINUA KILIMO CHA NGANO MKOANI RUKWA
![](http://3.bp.blogspot.com/-DHnq2kaMQ-Q/U3TNnw5E_tI/AAAAAAAAFa8/3WLjrMld-ZY/s1600/IMG_1363.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-m5vDqkfZBoo/U3TNvDNgCnI/AAAAAAAAFbE/V45SjPjcT7E/s1600/IMG_1358.jpg)
11 years ago
Michuzi18 Jun
9 years ago
GPLMAGUFULI AFUNIKA CHATO LEO
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10